Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Wee hata kama humjui kaa kimya watumihi wanamjua watajibuNgoja kwanza, karanga ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee hata kama humjui kaa kimya watumihi wanamjua watajibuNgoja kwanza, karanga ni nani?
PoaSijaona kitu mkuu, sijaona hoja wala kiroja
NOMINO plural virangaNgoja kwanza, karanga ni nani?
huyo ameshazoea kushinda kwenye majukwaa ya umbea atajua wapi kama kuna mtu anayeitwa kiranga humu Jf ...Wee hata kama humjui kaa kimya watumihi wanamjua watajibu
Hahahahah mkuu ni kweli mkabisa ,huwezi pita majukwaa yanayojitambua hapa JF ukashindwa kumsikia Kiranga kabisahuyo ameshazoea kushinda kwenye majukwaa ya umbea atajua wapi kama kuna mtu anayeitwa kiranga humu Jf ...
ungemwambia kuhusu kina shunie .mzigua90 hapo sawa
Me japo ni MROMA ila hoja za Kiranga siziwezi kuzijibu.Huwa natulia nasubiri wataalamu waje kujibu ila nao wanakuja kusema amini tu yupoHAKUNA ANAYEWEZA KUMJIBU KIRANGA HOJA ZAKE ....WOTE WANAOJARIBU KUZIJIBU WAMEKUWA WANAISHIA KUONGEA BLAAA BLAA TU "''Jamaa ana maswali mazito mtu ambayo mtu mwenye upeo mdogo hawezi kung'amua kitu
Umebaka dini pumbavuMe japo ni MROMA ila hoja za Kiranga siziwezi kuzijibu.Huwa natulia nasubiri wataalamu waje kujibu ila nao wanakuja kusema amini tu yupo
umeona eeehhh ...yaani unaanzaje kutomjua kiranga ..wakati ma genius wakubwa wakubwa wote waliopo humu wanamtambuaHahahahah mkuu ni kweli mkabisa ,huwezi pita majukwaa yanayojitambua hapa JF ukashindwa kumsikia Kiranga kabisa
hahaa utaskia wewe amini tu yupo "" kwani huoni vitu kama peni ..magari .nyumba etc uwepo wa hvyo vitu unabainisha kuwa kuna aliyeviweka ambaye ni binaadamu "" kwa hiyo na uwepo wetu wa binaadamu hapa duniani kuna ambaye amehusika kutuweka......anatokea kiranga anajibu KWAHOJA YAKO HIYO INAMAANA UNADHIHIRISHA WAZI KUWA HUYO ALYEKUWEKA NAYE KUNA AMBAYE ALIMUWEKA .....!!!!Me japo ni MROMA ila hoja za Kiranga siziwezi kuzijibu.Huwa natulia nasubiri wataalamu waje kujibu ila nao wanakuja kusema amini tu yupo
binafsi mimi ni Muslim ..lakini nasema dhahiri kabisaaa Mungu wa hivi vitabu vyetu hivi anamushkeri kwakweli anapaswa kutazamwa kwa jicho LA 3 ...kuna maswali mengi mnooo ukianza kuyauliza kam uko timamu huwezi kupatiwa majibu yakeMe japo ni MROMA ila hoja za Kiranga siziwezi kuzijibu.Huwa natulia nasubiri wataalamu waje kujibu ila nao wanakuja kusema amini tu yupo
Mleta mada tako lako moja limevimba,lingine limeumuka
Hiyo avatar yangu,uufute acha kuigahahaa utaskia wewe amino tu yupo "" kwani huoni vitu kama peni ..magari .nyumba etc uwepo wa hvyo vitu unabainisha kuwa kuna aliyeviweka ambaye ni binaadamu "" kwa hiyo na uwepo wetu wa binaadamu hapa duniani kuna ambaye amehusika kutuweka......anatokea kiranga anajibu KWAHOJA YAKO HIYO INAMAANA UNADHIHIRISHA WAZI KUWA HUYO AKIYEKUWEKA NAYE KUNA AMBAYE ALIMUWEKA .....!!!!
HAHAAA mwisho wa siku wanaomuamini MUNGU wanaishia kula chochoro ...kiranga acha kabisaaa yule mtu
umepungukiwa akili wewe sio bure ....Hiyo avatar yangu,uufute acha kuiga