Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Mungu hajawahi kudeal na kundi kubwa la watu, yeye sikuzote anakuwa nakikundi kidogo pemben kinachomuamini
Atakama ni wa chache
Kipind cha nuhu alikuwa na wanne
Kipind cha ruth sodoma na gomora alikiwa na nane tuu
Kipind cha yesu vile vile
Usizan kanisa lako kusali watu mashuhuri basi mungu atakuwepo umo.
Ama kisa ni watu wengi.
Mara mtume na nabii.

Inabidi umuombe mungu akuonyeshe ukweli.
Usimuwekee mpaka
Mara mbona kanisa letu halisemi hvyo, padri wetu hajawah kutufundisha ayo

Luka 12:32
[32]Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.

Mithali 14:12
[12]Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,
Lakini mwisho wake ni njia za mauti.
There is a way which seemeth right unto a man, but the end thereof are the ways of death.

.
Wewe mungu alishawahi kukupnesha ukweli gani na kwa namna gani? Unaweza kuwathibitshia kwa mantiki jinsi mungu amekuonesha? Mnasema kuwa mungu anadeal nawatu wachache anaacha wengi kwann? Kwamba wengi wanamzidia yeye uwezo wake ni mdogo yaan kama gar linabeba tani200 huwez kulibebesha tan 500 au ndio mbigu ni ndogo sana haiwatoshi watu wote? Najua tu unaongelea upande wa kanisa lako tofaut na roman catholic haya tuambie, huko kwenu mnatakiwa muwaue mashoga? Au msiwazae mashoga?
Tueleweshe tu kuhusu hayo mambo ya akina nuhu tuachane nayo kwanza nitakuuliza kesho.
 
Wewe mungu alishawahi kukupnesha ukweli gani na kwa namna gani? Unaweza kuwathibitshia kwa mantiki jinsi mungu amekuonesha? Mnasema kuwa mungu anadeal nawatu wachache anaacha wengi kwann? Kwamba wengi wanamzidia yeye uwezo wake ni mdogo yaan kama gar linabeba tani200 huwez kulibebesha tan 500 au ndio mbigu ni ndogo sana haiwatoshi watu wote? Najua tu unaongelea upande wa kanisa lako tofaut na roman catholic haya tuambie, huko kwenu mnatakiwa muwaue mashoga? Au msiwazae mashoga?
Tueleweshe tu kuhusu hayo mambo ya akina nuhu tuachane nayo kwanza nitakuuliza kesho.
Luka 12:32
[32]Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.

Hv mbona maandiko yapo wazi
Soma biblia yako kila kitu kipo umo
Usisubiri kusomewa
Ufalme wamungu unapatikana kwa nguvu
Pambana kujua ukweli

Mm sina kanisa usidhan nakuambia nikuvute kanisa fulani
Dhehebu halitakuokoa kama hutamjua unaemwamini
 
haya tuambie, huko kwenu mnatakiwa muwaue mashoga? Au msiwazae mashoga?
Hilo ni tatizo la kutojua Biblia au kuliipuuza Neno.

Ungekuwa unalisoma na kuliamini, usingekuwa unauliza swali kama hili.

Soma hapa 👇👇👇
Warumi 1
20 Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani uwezo wake wa milele na Uungu wake, umedhihirika wazi wazi kutokana na vitu alivyoviumba. Kwa hiyo watu hawana kisingizio.

21 Ingawa walimjua Mungu, hawakumpa heshima na utukufu anaostahili wala kumshukuru. Badala yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao zilizopumbaa zikatiwa giza. 22 Huku wakijidai kuwa ni werevu, wakawa wajinga. 23 Wakauacha utukufu wa Mungu aishiye milele wakageukia sanamu zinazofanana na mwanadamu ambaye hufa, na ndege na wanyama na viumbe vitambaavyo.

24 Kwa hiyo, Mungu aliwaacha waendelee kufuata tamaa mbaya za mioyo yao na kutenda matendo ya unajisi nakufanyiana mambo ya aibu katika miili yao. 25 Hii ni kwa sababu walikataa ukweli kuhusu Mungu wakaamua kuamini uongo; wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba ahimidiwaye milele! Amina.
 
Mkuu ungechukua muda ukajifunza falsafa za RC usingeandika hiki ulichokiandika

1. Kanisa haliamini kuwa biblia ndo muongozo pekee wa kusimamia hilo kanisa, wana vyanzo vingine vya mambo mambo yao

2. Wanaamini pope ni mungu, yupo daraja la juu kuliko binadamu, ni muakilishi wa Mungu hapa duniani

3. Kanisa linaweza kufuta amri yoyote unayoijua kwenye biblia wakaweka ya kwao. mfano walifuta ile inayokataza kuchonga sanamu na wakagawanya ile ya kutamani ikawa mbili ili mradi kuzuga kuwa ni kumi
Pale unapodhani kunakitu unajua, kumbe empty set, unaandika utumbo tu
 
Mimi nilianza jiuliza baada ya kuona sala zinabadilika na hiyo nu 2008/9 nkaanza kuona dhehebu langu limekuwa na miyeyusho.

Iweje tubadili saka kulizokuwa tunazisali daily, iba maana hazikuenda popote?

Anyway ni maswala ya thiolojia tu haya.
 
Makasisi mashoga, mapadri mashoga, unategemea waumini wao waweje?

Ni kama kumpigia mbuzi gita.


Uislam ni mwema sana.
 
Wewe mungu alishawahi kukupnesha ukweli gani na kwa namna gani? Unaweza kuwathibitshia kwa mantiki jinsi mungu amekuonesha? Mnasema kuwa mungu anadeal nawatu wachache anaacha wengi kwann? Kwamba wengi wanamzidia yeye uwezo wake ni mdogo yaan kama gar linabeba tani200 huwez kulibebesha tan 500 au ndio mbigu ni ndogo sana haiwatoshi watu wote? Najua tu unaongelea upande wa kanisa lako tofaut na roman catholic haya tuambie, huko kwenu mnatakiwa muwaue mashoga? Au msiwazae mashoga?
Tueleweshe tu kuhusu hayo mambo ya akina nuhu tuachane nayo kwanza nitakuuliza kesho.
Isaya 35:8
[8]Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.

And an highway shall be there, and a way, and it shall be called The way of holiness; the unclean shall not pass over it; but it shall be for those: the wayfaring men, though fools, shall not err therein.

Kuna njia kuu ambayi inapitwa na umati mkubwa
Alafu kuna njia(kanjia) ambako ndo kanjia kauzima
Kukaona ni kazi
Maana weng wanapita kwenye njia kubwa
Anamuamini yesu kwa sabab alizaliwa familia ya kikristo
Ila yeye mwnye hajawah kukutana nae akamwamini
Anaenda kanisan kwakuwa ni utaratibu kwenda kila jumapili au jumamosi

Kuuona io njia ya uzima ndio kazi
Kuna mtu apa alitetea dhehebu lake kisa wanasali watu mashuhuri
Io haitakusaidia kitu
Mambo meng yapo wazi apa
Kama ni neno la biblia usibishe, usiweke nukta kwa yale unayoyajua
Omba ujue ukwel zaidi.
 
Makasisi mashoga, mapadri mashoga, unategemea waumini wao waweje?

Ni kama kumpigia mbuzi gita.


Uislam ni mwema sana.
Ki upagani uislamu ni bora kuliko ukatoliki
Ila ukristo ni bora kuliko hivyo vyote

Ibilisi haangaiki na uislam kwa sababu hauna uhai ndani yake.
Kuanzia ulipianzishwa.
Na hata vitabu vyake ni vile vya manabii wa israel wakaongezea vya mtume
Hata mungu wakiislam hana nguvu ya kujitetea mpaka atetewe na watu
Akawawekea kijumba maka akawaambia wakielekee wanaposali dunia nzima
Mungu kamwe hakai kwenye kijumba kile cheusi
Mjiulize mnamuabudu nani aliemo mule kama mungu hayupo mule

Ukristo ndio imani pekee ambayo muanzilishi wake yupo hai mpaka sasa.
Hakuna imani nyingine
 
Uislam ni mwema sana.
Surah 2:191: ^And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims).^

This is how Winston Churchill understood the problem with Islam:

👉^How dreadful are the curses which Muhammadism lays on its votaries! … Individual Muslims may show splendid qualities, but the influence of the religion paralyses the social development of those who follow it. No stronger retrograde force exists in this world.^

Islam is a religion in which god (Islam's Allah) requires you to send your son to die for him.

Christianity is a faith in which God sends His Son (Jesus) to die for you.
 
Uislam hauna tofaut sana na uroman
Wote wanaabudu vitu.
Isipokuwa mromani anaabudu miungu yake mitatu(baba, mwana na mama) wazi wazi na kusujudu na kubusu na kuwaomba kwenye sala zao
Ila uislamu waliwekewa hvyo ndni ya kijumba wao wasali nje kukielekea kijumba iko

Ni wale wale wote ni waabudu vtu na masanamu.

Biblia inasema mungu ni mmoja
Na hakuna kamwe miungu watatu
Ila mungu mmoja tu apa anafanya kazi kama baba apa km mwana apa anaporudi kama roho mtakatifu
Katoliki ndio ilimgawa mungu vipande vitatu ili waendane na imani zao za awali za kipagani zakuwa na miungu mitatu.
Na wameiaminisha dunia hvyoo



1 Wakorintho 8:6
[6]lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.

1 Timotheo 2:5
[5]Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;

Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6
[6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Uyo mtoto ni baba piaa


Yohana 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?


Mungu yule yule na ni mmoja
 
Ki upagani uislamu ni bora kuliko ukatoliki
Ila ukristo ni bora kuliko hivyo vyote

Ibilisi haangaiki na uislam kwa sababu hauna uhai ndani yake.
Kuanzia ulipianzishwa.
Na hata vitabu vyake ni vile vya manabii wa israel wakaongezea vya mtume
Hata mungu wakiislam hana nguvu ya kujitetea mpaka atetewe na watu
Akawawekea kijumba maka akawaambia wakielekee wanaposali dunia nzima
Mungu kamwe hakai kwenye kijumba kile cheusi
Mjiulize mnamuabudu nani aliemo mule kama mungu hayupo mule

Ukristo ndio imani pekee ambayo muanzilishi wake yupo hai mpaka sasa.
Hakuna imani nyingine
Unaufahamu ukweli, unajidanganya tu nafsi yako.
 
Uislam hauna tofaut sana na uroman
Wote wanaabudu vitu.
Isipokuwa mromani anaabudu miungu yake mitatu(baba, mwana na mama) wazi wazi na kusujudu na kubusu na kuwaomba kwenye sala zao
Ila uislamu waliwekewa hvyo ndni ya kijumba wao wasali nje kukielekea kijumba iko

Ni wale wale wote ni waabudu vtu na masanamu.

Biblia inasema mungu ni mmoja
Na hakuna kamwe miungu watatu
Ila mungu mmoja tu apa anafanya kazi kama baba apa km mwana apa anaporudi kama roho mtakatifu
Katoliki ndio ilimgawa mungu vipande vitatu ili waendane na imani zao za awali za kipagani zakuwa na miungu mitatu.
Na wameiaminisha dunia hvyoo



1 Wakorintho 8:6
[6]lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.

1 Timotheo 2:5
[5]Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;

Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6
[6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Uyo mtoto ni baba piaa


Yohana 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?


Mungu yule yule na ni mmoja
Soma hii vizur utafumbuka kitu kingine
Mambo ni mengi mnoo
 
Surah 2:191: ^And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims).^

This is how Winston Churchill understood the problem with Islam:

👉^How dreadful are the curses which Muhammadism lays on its votaries! … Individual Muslims may show splendid qualities, but the influence of the religion paralyses the social development of those who follow it. No stronger retrograde force exists in this world.^

Islam is a religion in which god (Islam's Allah) requires you to send your son to die for him.

Christianity is a faith in which God sends His Son (Jesus) to die for you.
Why quoting out of context? Read:

(2:191) Kill them whenever you confront them and drive them out from where they drove you out. (For though killing is sinful) wrongful persecution is even worse than killing. Do not fight against them near the Holy Mosque unless they fight against you; but if they fight against you kill them, for that is the reward of such unbelievers.
 
Uislam hauna tofaut sana na uroman
Wote wanaabudu vitu.
Isipokuwa mromani anaabudu miungu yake mitatu(baba, mwana na mama) wazi wazi na kusujudu na kubusu na kuwaomba kwenye sala zao
Ila uislamu waliwekewa hvyo ndni ya kijumba wao wasali nje kukielekea kijumba iko

Ni wale wale wote ni waabudu vtu na masanamu.

Biblia inasema mungu ni mmoja
Na hakuna kamwe miungu watatu
Ila mungu mmoja tu apa anafanya kazi kama baba apa km mwana apa anaporudi kama roho mtakatifu
Katoliki ndio ilimgawa mungu vipande vitatu ili waendane na imani zao za awali za kipagani zakuwa na miungu mitatu.
Na wameiaminisha dunia hvyoo



1 Wakorintho 8:6
[6]lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.

1 Timotheo 2:5
[5]Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;

Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6
[6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Uyo mtoto ni baba piaa


Yohana 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?


Mungu yule yule na ni mmoja

Ahsante mtumishi. [emoji120]
 
Back
Top Bottom