Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Je, Mungu wa Wakatoliki amebadilika au Wakatoliki wamepata Mungu mwingine?

Makasisi mashoga, mapadri mashoga, unategemea waumini wao waweje?

Ni kama kumpigia mbuzi gita.


Uislam ni mwema sana.

Uislam huu unaotegemea ugaidi ili kueneza dini?!
Labda haujui maana ya neno mwema.
 
Na wala hilo halishangazi sana. Kinachosikitisha na kuumiza zaidi ni pale ambapo, waumini wake wasiojua vizuri ulaghai wa Ukatoliki, wanaukumbatia kama kanisa halisi la Mungu duniani![emoji24][emoji24][emoji24]
INASIKITISHA SANA,NA MUNGU ANASEMA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA WAO! WAMO TU,BIBLIA IPO SI WASOME TU KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO WATAGUNDUA? NA WAMUOMBE MUNGU KWANZA AWAFUNULIE KABLA YA KUSOMA WATAELEWA NA WATATOKA HUKO BABELI KWENYE MACHAFUKO
 
Tunapenda sana dini zetu kuliko kumpenda MUNGU.

"Mkinipenda mtazishika amri zangu" Yohana 14:15
 
Na wala hilo halishangazi sana. Kinachosikitisha na kuumiza zaidi ni pale ambapo, waumini wake wasiojua vizuri ulaghai wa Ukatoliki, wanaukumbatia kama kanisa halisi la Mungu duniani![emoji24][emoji24][emoji24]
Unajuaje kama hawajui?
Kwani mchawi hajui kwamba uchawi ni mbaya?
Wanajua sana kuwa walishaingizwa chaka,lakini hawawezi kuachana na dini hiyo kwani inawaunganisha na kutokana na fahari ya uwekezaji wake,watu wengi wanaona fahari kuwa sehemu ya dini. hiyo.
Kuna hata wengine pamoja na mapungufu hayo,bado wanatamani kuwa wakatoliki,ili wawe sehemu za jumuia zenye nguvu sana mitaani.Wanashirikiana sana katika matukio ya kijamii

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Leta Ushahidi wa Kanisa Katoliki kupinga hivyo vifungu.
Soma kwa umakini, ili uelewe hoja. Usiharakishe kujibu kabla hujaelewa msingi wa swali.

Hoja na swali lenyewe hivi hapa:👇
Mathayo 16 inayohusu mwamba, kanisa, ufunguo, na Petro Ukatoliki unaing'ang'ania 100% kwamba inahusu upapa na taasisi yao duniani.

Vipi kuhusu Maandiko yanayosema wokovu haupatikani kwa mwingine yeyote isipokuwa Kristu pekee? Matendo 4:12.

Vipi kuhusu Kristu kuwa ndiye pekee Njia, Kweli, na Uzima?

Kwa nini basi inatokea Ukatoliki unaomba sala zake kwa wafu, akiwemo ^Bikra^ Maria?

Ni kwa msingi gani Ukatoliki unakubali Maandiko kama vile Mathayo 16:18, 19 wakati huohuo unatupilia mbali mavuvio mengine ya Maandiko kama vile Matendo 4:12?

Nyongeza:
^Ulimwengu wote wa Ukristo uko katika hatari kuu.... Nendeni, kairejesheni Bethlehemu mahali alipozaliwa Bwana wetu na kaburi Lake Yerusalemu. Wote waendao nitawapa msamaha kamili wa dhambi zao na hakikisho la kuingia mbinguni.^

Hiyo ni sehemu ya waraka mojawapo mashuhuri wa Ukatoliki.

Hivi unaona maneno hayo ni kama sauti ya Mkristu anayemwamini Yesu kuwa ndiye pekee Njia, Kweli na Uzima?

Hivi siyo sauti ya mtu ambaye amepoka mamlaka ya Mungu na kujidai anasamehe dhambi?

👉^Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mmoja, Mungu?^ Marko 2:7
 
Mwisho wa siku itapendeza ukimtafuta Mungu zaidi kuliko kutafuta kanisa lipi linafanya sahihi kuliko lingine.
Unajua kweli maana ya Kanisa la Mungu? Je, unajua kazi zake na umuhimu wa washarika kuwa pamoja katika umoja?

Kumtafuta Mungu na kulijua Kanisa sahihi la Mungu ni mambo mawili yanayotegemeana kikamilifu.

Kanisa ni mwili mmoja wa Kristu, na ndiye kichwa cha kanisa. Efeso 2:16; 1:23; 5:23; Kolosai 1:18.

👉 wala tusiache kukusanyika pamoja,
kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia. -Waebrania 10:25
 
INASIKITISHA SANA,NA MUNGU ANASEMA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA WAO! WAMO TU,BIBLIA IPO SI WASOME TU KUANZIA MWANZO MPAKA UFUNUO WATAGUNDUA? NA WAMUOMBE MUNGU KWANZA AWAFUNULIE KABLA YA KUSOMA WATAELEWA NA WATATOKA HUKO BABELI KWENYE MACHAFUKO
👉Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili. - Mathayo 15:14
 
Why quoting out of context? Read:

(2:191) Kill them whenever you confront them and drive them out from where they drove you out. (For though killing is sinful) wrongful persecution is even worse than killing. Do not fight against them near the Holy Mosque unless they fight against you; but if they fight against you kill them, for that is the reward of such unbelievers.
When Muhamad the prophet of Islam started preaching his new religion in Mecca, he was conciliatory to Christians and Jews. He told them:

👉^We believe in what has been sent down to us and sent down to you, our God is the same as your God.^ Surah 29:46.

This attitude changed completely after he gained strength.

Allah then tells him to ^Fight People of the Book (Christians and Jews), who do not accept the religion of the truth (Islam), until they pay tribute (penalty tax) by hand, being inferior.^ Surah 9:29.
 
Uislam hauna tofaut sana na uroman
Wote wanaabudu vitu.
Isipokuwa mromani anaabudu miungu yake mitatu(baba, mwana na mama) wazi wazi na kusujudu na kubusu na kuwaomba kwenye sala zao
Ila uislamu waliwekewa hvyo ndni ya kijumba wao wasali nje kukielekea kijumba iko

Ni wale wale wote ni waabudu vtu na masanamu.

Biblia inasema mungu ni mmoja
Na hakuna kamwe miungu watatu
Ila mungu mmoja tu apa anafanya kazi kama baba apa km mwana apa anaporudi kama roho mtakatifu
Katoliki ndio ilimgawa mungu vipande vitatu ili waendane na imani zao za awali za kipagani zakuwa na miungu mitatu.
Na wameiaminisha dunia hvyoo



1 Wakorintho 8:6
[6]lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.

1 Timotheo 2:5
[5]Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;

Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.

Isaya 9:6
[6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Uyo mtoto ni baba piaa


Yohana 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?


Mungu yule yule na ni mmoja
Soma hii
 
Kuoa mke zaidi ya mmoja, hiyo ni zinaa. Dhambi moja haiwezi kufidia, kufuta au kuhalalisha dhambi nyingine.

Usalama wa Ukatoliki na waumini Wakatoliki ni kurudi kwenye Neno la kweli, na kuachana na mapokeo, mafundisho ya mabaraza na maamrisho ya papa.

[emoji117]^Ninyi mkikaa katika neno Langu, mmekuwa wanafunzi Wangu kweli kweli.^ Yohana 8:31.

Zinaa kuoa mke zaidi ya mmoja,mbona umepotoshwa sana,kwahiyo yakobo alikua mzizi?[emoji28]
 
Kuoa mke zaidi ya mmoja, hiyo ni zinaa. Dhambi moja haiwezi kufidia, kufuta au kuhalalisha dhambi nyingine.

Usalama wa Ukatoliki na waumini Wakatoliki ni kurudi kwenye Neno la kweli, na kuachana na mapokeo, mafundisho ya mabaraza na maamrisho ya papa.

[emoji117]^Ninyi mkikaa katika neno Langu, mmekuwa wanafunzi Wangu kweli kweli.^ Yohana 8:31.

Mkuu rumi ya katoliki ilishawahi kutawala ni dola kamili,hivi unadhani kusimama na kiendesha dola ni suala la mchezo,walifanya hivyo ili kulinda dola yao,ebu niambie wewe na kanisa lako liwa na wapi mlishawahi kuwa na dola kamili?
 
Luka 12:32
[32]Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.

Hv mbona maandiko yapo wazi
Soma biblia yako kila kitu kipo umo
Usisubiri kusomewa
Ufalme wamungu unapatikana kwa nguvu
Pambana kujua ukweli

Mm sina kanisa usidhan nakuambia nikuvute kanisa fulani
Dhehebu halitakuokoa kama hutamjua unaemwamini

Mkuu unajifariji sana na unaonyesha jinsi gani huyo mungu aunayemuamini hanauwezo wa kuhandle watu wengi.
 
Kwa Roma kawaida nilitegemea hivyo mpinga Kristu
Ndiye huyo haswa baba wa uongo, wakala wa ufalme wa kuzimu.

👉 mtu yeyote akiwahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. Wagalatia 1:7-9

Sasa kwani mkuu hujui, taasisi za kidini ni kama vyama vya siasa ni kuangalia wapi kwenye maslahi.
Kwa gharama ya roho za watu? Kwa gharama ya kupuuza na kupotosha Neno? Hell no!

Hiyo siyo taasisi ya dini halisi, bali shirika la huduma kwa jamii.

Zinaa kuoa mke zaidi ya mmoja, mbona umepotoshwa sana, kwa hiyo Yakobo alikua mzinzi?
Kwa hiyo Mfalme Daudi kipenzi cha Mungu (Acts 13:22) aliyeamuru Uria mumewe Bathsheba awekwe mstari wa mbele vitani ili auawe (2 Samuel 11:15) hakuwa muuaji?

Sikiliza hapa:👇
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Matendo ya Mitume 17:30

Rumi ya Katoliki ilishawahi kutawala ni dola kamili, hivi unadhani kusimama na kiendesha dola ni suala la mchezo,walifanya hivyo ili kulinda dola yao
Basi iache kuwalaghai watu kwamba lenyewe ni kanisa la Mungu.

Kaisari abaki kuwa Kaisari; ^Mgalatia^ abaki kuwa ^Mgalatia.^

Kitendo cha Kaisari Papa kujifanya Mkristu na Kristu, ndiyo maana anaonekana tapeli wa kiroho.
 
Ndiye huyo haswa baba wa uongo, wakala wa ufalme wa kuzimu.

[emoji117] mtu yeyote akiwahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. Wagalatia 1:7-9


Kwa gharama ya roho za watu? Kwa gharama ya kupuuza na kupotosha Neno? Hell no!

Hiyo siyo taasisi ya dini halisi, bali shirika la huduma kwa jamii.


Kwa hiyo Mfalme Daudi kipenzi cha Mungu (Acts 13:22) aliyeamru Uria mumewe Bathsheba awekwe mstari wa mbele vitani ili afe (2 Samuel 11:15) hakuwa muuaji?

Sikiliza hapa:[emoji116]
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Matendo ya Mitume 17:30


Basi iache kuwalaghai watu kwamba lenyewe ni kanisa la Mungu.

Kaisari abaki kuwa Kaisari; ^Mgalatia^ abaki kuwa ^Mgalatia.^

Kitendo cha Kaisari Papa kujifanya Mkristu na Kristu, ndiyo maana anaonekana tapeli wa kiroho.

Mkuu tambua hiyo biblia unayoiamini walio itunza na kuilinda ni wakatoliki ukiristo bila ukatoliki ungekua umepotea siku nyingi.

Kwangu mimi ukatoliki ndio mlizi wa ukristo duniani.
 
Back
Top Bottom