Je, Musa hakuandika kitabu cha Mwanzo??

Nimefuatilia kidogo mjadali huu ili nijifunze,Ila nimegundua watu hawaonyeshi mistari kutetea hoja zao wanaleta story nyingi sana kichwani mwao,wacha niendelee kujifunza
 
Nakubaliana na hoja yako, na hii inatokana uelewa wa watu, si kweli kwamba Musa aliandika kitabu kinaitwa mwanzo la hasha, ni jina lilopewa na waliofanya collections ya maaandashi hayo ya neno la Mungu.
 
kuielewa biblia unahitaji KARAMA NA UJAZO WA ROHO MT.
Na Wala SIYO machapisho ya maproffersor
ni ajabu MTU kama wewe na mwanaume kuamin maproffersor ZAIDI kuliko ROHO MTAKATIFU.
na wengi wamekuwa wagumu kuelwa/kutambua
kuhusu ROHO MTAKATIFU
Kuna mawili hapa.

Kuna imani. Kuna fact.

Imani siwezi kubisha. Una haki ya kuamini unavyotaka.


Kwa fact. Roho Mtakatifu hujaweza kuthibitisha yupo.

Kama unaweza, thibitisha.
 
Kuna mawili hapa.

Kuna imani. Kuna fact.

Imani siwezi kubisha. Una haki ya kuamini unavyotaka.


Kwa fact. Roho Mtakatifu hujaweza kuthibitisha yupo.

Kama unaweza, thibitisha.
sasa hapo Mr kiranga utataka mabishano.
hata nikikupa Verse za kwenye Bible bado hutokaa uamini kuwa huyo roho yupo.
kuelwa ufalme wa mbinguni/mambo ya rohoni inaitaji Sanaa uwe MTU wa rohoni wengi huwa wanashindwa kuelwa mambo ya rohoni coz huyachukulia ki mwili.ndipo hapo mnaanza kusema kuwa fact/mkanganyiko upo HAPANA.
 
Kuna mawili hapa.

Kuna imani. Kuna fact.

Imani siwezi kubisha. Una haki ya kuamini unavyotaka.


Kwa fact. Roho Mtakatifu hujaweza kuthibitisha yupo.

Kama unaweza, thibitisha.
Swali la Roho Mtakatifu ni la kiimani kwa maelezo yako umekubali uwezi kubisha

Sasa swali la kutaka kuthibitishiwa la Nini?
 
Musa alipokuwa mlima Sinai siku 40 Mungu alimweleza habari zote tangu mwanzo. Yaani alimweleza asili ya mwanadamu ilianzia kwa Adamu! Alimpa mtiririko wote jinsi mambo yalivyokuwa. Musa aliandika kile alicho ambiwa.
Unajuaje kama hakujitungia mkuu
 
Musa alipokuwa mlima Sinai siku 40 Mungu alimweleza habari zote tangu mwanzo. Yaani alimweleza asili ya mwanadamu ilianzia kwa Adamu! Alimpa mtiririko wote jinsi mambo yalivyokuwa. Musa aliandika kile alicho ambiwa.
Una ushahidi wa kimaandiko ku support hoja yako?
 
Bora zibaki tu kuwa firka zako..Maana tuna ambiwa Musa alipotoka kuonana na Mungu alikuja akiwa amebeba zile mbao mbili zenye amri za Mungu tu na sio kingine
 
wewe nawe stori yako bila kuweka deuterenomy 34(kumbukumbu la torati 34) inakuwa haijakamilika
hivi umeshindwa kuona kuwa sio tu kitabu cha mwanzo isipokuwa vitabu vyote vinavyosemwa vimeandikwa na musa ni feki?
musa hakuandika kitabu chochote,stori zake zimejaa third person narrations
 
jua,nyota na mwezi viliumbwa siku ya nne(kwa mujibu wa biblia)
siku tatu kabla mungu wako wa israeli alikuwa anaonaje wakati kulikuwa na giza?
 
jua,nyota na mwezi viliumbwa siku ya nne(kwa mujibu wa biblia)
siku tatu kabla mungu wako wa israeli alikuwa anaonaje wakati kulikuwa na giza?
Wewe mungu wako aliumba nini? Na kabla ya hilo giza mungu wako alikuwa wapi?
 
Wewe mungu wako aliumba nini? Na kabla ya hilo giza mungu wako alikuwa wapi?
wewe ndio umtetee mungu wako hapa
alionaje wakati kulikuwa na giza?
watu weusi acheni kujidhalilisha na vitabu visivyowahusu,unaona unavyoshindwa kumtetea mungu wa wayahudi ambaye hakuhusu!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…