Je, mwaka 1993 Simba ilicheza fainali za michuano ipi Afrika na Stella ya Ivory Coast?

Huwa nadhani unajuwa mpira kumbe magumashi tu, mwaka 1993 Pamba ya Mwanza ndio ilishiriki kombe la washindi na Malindi walishiriki club bingwa.

Hivi MNA matatizo gani kichwani?
mbumbumbu wanatafuta faraja isiyokuwepo wasameheni bure
 
Mashabiki wengi wa simba wamepaniki Yanga kufuzu hatua ya nusu fainali.
Hata humo kwenye dalala ukiongea habari za mpira hasa Yanga kufuzu na wao kuishia mikononi mwa waarabu,Simba wanapanick lugha yao wanaiga ya ya yule mlopokaji wao ile sizitaki mbichi hizi kwa Yanga kuingia nusu fainal ya shirikisho.
 
Asante saaana kwa majibu mazuri mkuu. Japo hili kwa mikia yoyote hatataka kuipitia. Hata mlete mada ataikimbia hii
 
Sasa unabishana na CAF wenye kombe lao?

Wao ndio wanasema hayo maneno na wala sio Yanga.
 
√ . Hiyo ilikuwa Karne ya 20
√. Karne hii ya 21 ni YANGA.
√. CAF waliubadili mfumo na kuachana na huo mfumo wa Karne ya 20
 
Kwenye mashindano ambayo Simba na Stella wakicheza fainali, je nchi gani za Afrika ya Kaskazini zilishiriki?
Simba kwenye nusu fainali ya kombe la CAF mwaka huo ilikutana na USM El Harach ya Algeria na kuitoa kwa jumla ya magoli 3-1,hii tu inaonesha timu za Kaskazini mwa Afrika zilishiriki tofauti na uongo anaoeneza ndugu Manara
 
nchi hii ina wajinga wengi sana,
kwaio kagame cup sio kombe kwa sababu kagame ndio anafadhili?
hata hii total caf cl nalo sio kombe kisa total wanafadhili?
nadhani manara alikua sahihi, kule wenye akili ni wawili tu
kuna vitu havihitaj ushabiki, mwaka 1993 bingwa wa clab bingwa alikua zamalek na shirikisho alikua al ahly, mpaka hapo ushajua simba hakucheza fainali ya shirikisho
 
nchi hii ina wajinga wengi sana,
kwaio kagame cup sio kombe kwa sababu kagame ndio anafadhili?
hata hii total caf cl nalo sio kombe kisa total wanafadhili?
nadhani manara alikua sahihi, kule wenye akili ni wawili tu
Wewe huna akili, NBC wanadhamini ligi ya Tanzania na siyo wao ndio wametowa kombe lisimamiwe na TFF, pumbavu kabisa.
 
Swali langu ni kwanini Stella hakucheza mechi ya CAF super cup katika ufunguzi wa pazia jipya la mashindano ya CAF? kama ingekuwa ni mashindano yenye hadhi kwa CAF baada ya klabu bingwa basi bingwa wa CAF cup angeshiriki kwenye CAF super cup lakoni badala yake CAF super cup ilikuwa ikishirikisha bingwa wa Africa cup winner's cup VS Africa cup of champions club. Swali langu ni kwanini?

Halafu hilo neno second lisikuchanganye ukachukulia kama walimaanisha ukubwa wa michuano bali walimaanisha ni msimu wa pili kwa maana msimu wa kwanza ilikuwa mwaka 1992 na ndio mwaka ambao yalianzishwa hayo mashindano
 
kuna vitu havihitaj ushabiki, mwaka 1993 bingwa wa clab bingwa alikua zamalek na shirikisho alikua al ahly, mpaka hapo ushajua simba hakucheza fainali ya shirikisho
Onesha ushahidi kuwa Bingwa wa Shirikisho alikuwa Al Ahly sio kuleta maneno matupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…