Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Huwa nadhani unajuwa mpira kumbe magumashi tu, mwaka 1993 Pamba ya Mwanza ndio ilishiriki kombe la washindi na Malindi walishiriki club bingwa.Simba ilicheza nusu Fainali CAFCL 1974.
ikacheza Fainali kombe la washindi 1993.
SIMBA NDIO BABA WA MPIRA WA TANZANIA.
MkiaaWachambuzi mbuzi hawajui hayo. Wenye akili Yanga wawili tu.
AaahhaaHuwa nadhani unajuwa mpira kumbe magumashi tu, mwaka 1993 Pamba ya Mwanza ndio ilishiriki kombe la washindi na Malindi walishiriki club bingwa.
Hivi MNA matatizo gani kichwani?
bingwa wa shirikisho mwaka huo alikua al ahly na clab bingwa alikua zamalek, sijui ugum wa kuelewa jambo dogo hili mnaupata wapiKwahiyo Simba alishiriki kombe ambalo ni sawia na kombe lipi hapo?
mbumbumbu wanatafuta faraja isiyokuwepo wasameheni bureHuwa nadhani unajuwa mpira kumbe magumashi tu, mwaka 1993 Pamba ya Mwanza ndio ilishiriki kombe la washindi na Malindi walishiriki club bingwa.
Hivi MNA matatizo gani kichwani?
Hata humo kwenye dalala ukiongea habari za mpira hasa Yanga kufuzu na wao kuishia mikononi mwa waarabu,Simba wanapanick lugha yao wanaiga ya ya yule mlopokaji wao ile sizitaki mbichi hizi kwa Yanga kuingia nusu fainal ya shirikisho.Mashabiki wengi wa simba wamepaniki Yanga kufuzu hatua ya nusu fainali.
Asante saaana kwa majibu mazuri mkuu. Japo hili kwa mikia yoyote hatataka kuipitia. Hata mlete mada ataikimbia hiiSimba ilifika fainali ya kombe la CAF cup
Hapo zamani kulikuwa na michuano miwili Africa cup of champions club ambayo kwasasa inaitwa CAF champions league na shindano la pili ilikuwa ni Africa cup winner's cup ambayo kwasasa ni CAF confederation cup. Lakini mwaka 1992 Caf wakaanzia mashindano mengine ambayo yalikuwa kwa timu ambazo hazifuzu mashindano ya CAF interclub championship ( klabu bingwa na shirikisho) na mashindano hayo yalidumu kwa miaka 12 tu (1992-2003)
Wakati Simba anacheza fainali ya CAF cup mwaka 1993 dhidi ya Stella club, timu ya Zamalek alikuwa ndio bingwa wa klabu bingwa mwaka huo 1993 huku Al Ahly akiwa ndio bingwa wa kombe la shirikisho mwaka 1993 na hivyo wakakutana kwenye CAF super cup na Zamalek kuwa bingwa wa jumla.
Kwahiyo CAF cup aliyocheza Simba sio sawasawa na kombe la shirikisho kwasasa. View attachment 2605466
Sasa unabishana na CAF wenye kombe lao?The 1993 CAF Cup was the second football club tournament season that took place for the runners-up of each African country's domestic league. It was won by Stella Adjamé in two-legged final victory against Simba SC.
Sasa kwa maelezo hayo, mbona hiyo ndio Kombe la Shirikisho la CAF?
Na Simba alifika hadi fainali? Kwanini mseme Tz haijawahi kufikisha timu fainali? Malishusha CV taifa letu, mimi sio Simba, ila Tz lazima ijivunie kwamba iliwahi kufikisha timu fainali
Ni sawa na kombe la kuingia mwanamke kutoka kufa kiumeKwahiyo Simba alishiriki kombe ambalo ni sawia na kombe lipi hapo?
PoleSimba ilicheza nusu Fainali CAFCL 1974.
ikacheza Fainali kombe la washindi 1993.
SIMBA NDIO BABA WA MPIRA WA TANZANIA.
√ . Hiyo ilikuwa Karne ya 20Simba ina historia ya kuchezà mara nyingi robo fainali za mashindano mbalimbali ya CAF.
Mwaka 1993 kuna mashindano ambayo Simba ilifika fainali, je yale yalikuwa ni mashindano gani?
Kwanini Yanga itajwe kwamba ni nchi ya kwanza Afrika Mashariki kufika hatua ya Nusu fainali ya mashindano ya CAF?
Simba kwenye nusu fainali ya kombe la CAF mwaka huo ilikutana na USM El Harach ya Algeria na kuitoa kwa jumla ya magoli 3-1,hii tu inaonesha timu za Kaskazini mwa Afrika zilishiriki tofauti na uongo anaoeneza ndugu ManaraKwenye mashindano ambayo Simba na Stella wakicheza fainali, je nchi gani za Afrika ya Kaskazini zilishiriki?
kuna vitu havihitaj ushabiki, mwaka 1993 bingwa wa clab bingwa alikua zamalek na shirikisho alikua al ahly, mpaka hapo ushajua simba hakucheza fainali ya shirikishonchi hii ina wajinga wengi sana,
kwaio kagame cup sio kombe kwa sababu kagame ndio anafadhili?
hata hii total caf cl nalo sio kombe kisa total wanafadhili?
nadhani manara alikua sahihi, kule wenye akili ni wawili tu
Wewe huna akili, NBC wanadhamini ligi ya Tanzania na siyo wao ndio wametowa kombe lisimamiwe na TFF, pumbavu kabisa.nchi hii ina wajinga wengi sana,
kwaio kagame cup sio kombe kwa sababu kagame ndio anafadhili?
hata hii total caf cl nalo sio kombe kisa total wanafadhili?
nadhani manara alikua sahihi, kule wenye akili ni wawili tu
Swali langu ni kwanini Stella hakucheza mechi ya CAF super cup katika ufunguzi wa pazia jipya la mashindano ya CAF? kama ingekuwa ni mashindano yenye hadhi kwa CAF baada ya klabu bingwa basi bingwa wa CAF cup angeshiriki kwenye CAF super cup lakoni badala yake CAF super cup ilikuwa ikishirikisha bingwa wa Africa cup winner's cup VS Africa cup of champions club. Swali langu ni kwanini?The 1993 CAF Cup was the second football club tournament season that took place for the runners-up of each African country's domestic league. It was won by Stella Adjamé in two-legged final victory against Simba SC.
Sasa kwa maelezo hayo, mbona hiyo ndio Kombe la Shirikisho la CAF?
Na Simba alifika hadi fainali? Kwanini mseme Tz haijawahi kufikisha timu fainali? Malishusha CV taifa letu, mimi sio Simba, ila Tz lazima ijivunie kwamba iliwahi kufikisha timu fainali
Onesha ushahidi kuwa Bingwa wa Shirikisho alikuwa Al Ahly sio kuleta maneno matupukuna vitu havihitaj ushabiki, mwaka 1993 bingwa wa clab bingwa alikua zamalek na shirikisho alikua al ahly, mpaka hapo ushajua simba hakucheza fainali ya shirikisho
Kwa hiyo hata kombe la Klabu Bingwa nalo ni bonanza tu Kwa vile lilitolewa na Kwame Nkurumah?hoja za kitoto kabisaLile kombe lilikuwa ni bonanza la Mashood Abiola likisimamiwa na CAF.
Mfano leo Tanzania Jitu Patel atowe kombe lake lisimamiwe na TFF.
Huu hapa,Onesha ushahidi kuwa Bingwa wa Shirikisho alikuwa Al Ahly sio kuleta maneno matupu
Ni timu ya wananchiYanga ni nchi?