Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
- Thread starter
-
- #21
hapo kwenye kupendana msema kweli ni mpenzi wa mungu... labda mtoto ndio atufanye tupendane sana.. ila yeye ana wivu sanaKiufupi mwanamke mwenye mimba yako na anakupenda kweli
Hatumii mtoto tumboni kama defense mechanism yake.
Hapo utapigwa sana mizinga japokuwa ni lazima ulee lakini utakuwa unalazimishwa yaani
Kwa ninavojua mimi yeye ndio mwanaume wake tunaoenda nyama kwa nyamaKama mwanamke anarukaruka hatajua ni nani, ila kama katulia na mmoja atajua. Mf. Siku za kushika mimba katembea na watatu,, atajua ni nani?
Sasa Lea mtoto tu hakuna namba usiende kupima DNA wala ninihapo kwenye kupendana msema kweli ni mpenzi wa mungu... labda mtoto ndio atufanye tupendane sana.. ila yeye ana wivu sana
Mimi ndio nilimkosea... Na muda mwingi huwa naongea kupenda watoto... Anasemaga hivyo kupata attention yanguInawezekana akawa ni wako au sio wako muda tu ndio utaongea lakini kwa nini akwambie "I will kill this kid" mtoto kamkosea nini
hii comment itakurudia ipo sikuImagine unalea mtoto sio wako π π π π
Daah, naomba isiwe kwa huyuhii comment itakurudia ipo siku
Kwani hukupokea simu kwa makusudiMimi ndio nilimkosea... Na muda mwingi huwa naongea kupenda watoto... Anasemaga hivyo kupata attention yangu
Hii ni message bora kabisaMwanamke akipata ujauzito anangalia kati ya wanaume zake nani ana uwezo wa kumlea mtoto ndiyo anamsakizia hata kama hakumpa mimba hyo.
Nikiwa kaziniKwani hukupokea simu kwa makusudi
Muangalie vizuri huyo mwanamke tuNikiwa kazini
π π π πumemwaga ndani ?
HAKUNA kumwamini mwanamke/ msichana, wasiwasi wako kwake ndio akili yakoπ π π π
Hiyo siku nilishindwa kumwaga nje
True.. kabisaHAKUNA kumwamini mwanamke/ msichana, wasiwasi wako kwake ndio akili yako