lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,741
NAOMBA NIJARIBIE KWAKO.. NIKUPE MIMBA HALAFU NIWE SINA IMANI NA WEWE ILI NIFANYE UCHUNGUZI KAMAKWELI NI YANGU AU SIO YANGUinaweza saidia japo kidogo em jaribu ww ndg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAOMBA NIJARIBIE KWAKO.. NIKUPE MIMBA HALAFU NIWE SINA IMANI NA WEWE ILI NIFANYE UCHUNGUZI KAMAKWELI NI YANGU AU SIO YANGUinaweza saidia japo kidogo em jaribu ww ndg
[emoji3][emoji3]Fanya vile moyo wako unakutuma
Ungeandika tu kwa herufi ndogo ningekuelewa,,,,,huo mwandiko wako hausomeki mkuuNAOMBA NIJARIBIE KWAKO.. NIKUPE MIMBA HALAFU NIWE SINA IMANI NA WEWE ILI NIFANYE UCHUNGUZI KAMAKWELI NI YANGU AU SIO YANGU
UTAUSOMA KESHO SIO MBAYAUngeandika tu kwa herufi ndogo ningekuelewa,,,,,huo mwandiko wako hausomeki mkuu
Unazid kunipoteza unatumia lugha gani et[emoji41]UTAUSOMA KESHO SIO MBAYA
[emoji3][emoji3][emoji3]Unazid kunipoteza unatumia lugha gani et[emoji41]
NATUMIA KIHA NA KISUKUMA, WEWE UNATUMIA LUGHA GANI KWANI,Unazid kunipoteza unatumia lugha gani et[emoji41]
Ingekuwa wewe ...ungefanyaje?Mwanamke akipata ujauzito anangalia kati ya wanaume zake nani ana uwezo wa kumlea mtoto ndiyo anamsakizia hata kama hakumpa mimba hyo.
Daah haya mambo bhana ukianza kufikiria maumivu unayopata siyo ya nchi hii maana yanatonesha Roho zaidi sio mwili wala akili! Na maumivu ya Roho ndo the MOST TRUE PAINS EVER EXISTED SINCE THE CREATION OF THE EARTH😀Kwa daktari inaonesha kipindi kile kile nilicho mdo, sema sikai nae all the time.. ndio najiuliza vipi kama nilipokuwa sipo alido the same time
Naomba iwe yangu tuDaah haya mambo bhana ukianza kufikiria maumivu unayopata siyo ya nchi hii maana yanatonesha Roho zaidi sio mwili wala akili! Na maumivu ya Roho ndo the MOST TRUE PAINS EVER EXISTED SINCE THE CREATION OF THE EARTH[emoji3]
Nilikutana na wawili stationery wanakopi kutoka kwenye taarifa ya daktari ya mama mjamzito. Na ultrasound kabisa. Kisha jamaa akapigiwa simu akapewa gharama kama laki tatu hv. Mwingine yeye alikuwa anataka mimba feki itolewe kwahiyo anahitaji laki saba za kuitoa. Tuishi nao kwa akiliHebu nipange mkuu... Hofu yangu ni kusikia Mimba imeharibika.. Isije ikawa manzi anaangalia kati ya washikaji zake yupi afadhali
maana hapo roho ina pwita pwita yangu au siyo yangu maana wanawake hawaaminiki Dont trust anyone in this world except GOD!Naomba iwe yangu tu
🤣 🤣 🤣 I can't you bro![emoji16][emoji16][emoji16] mtoto wa kuibia.
HiYaani this is the greatest concern nimefungua moyo kwenye malezi ya mtoto, lakini hofu yangu asije akaniletea huo ushenzi eti mimba iliharibika
Umejuaje[emoji3][emoji3][emoji3]Huyo mwanamke ana gubu!
Words...huo ni mtego unaonyesha una uhitji wwa mtoto kuliko yeye akipita sponser hapo mauaji yanafanyika
Umejuaje[emoji3][emoji3][emoji3]