Je, mwanamke anamjua mwanaume halisi aliyempa mimba?

Je, mwanamke anamjua mwanaume halisi aliyempa mimba?

Kwa daktari inaonesha kipindi kile kile nilicho mdo, sema sikai nae all the time.. ndio najiuliza vipi kama nilipokuwa sipo alido the same time
Daah haya mambo bhana ukianza kufikiria maumivu unayopata siyo ya nchi hii maana yanatonesha Roho zaidi sio mwili wala akili! Na maumivu ya Roho ndo the MOST TRUE PAINS EVER EXISTED SINCE THE CREATION OF THE EARTH😀
 
Daah haya mambo bhana ukianza kufikiria maumivu unayopata siyo ya nchi hii maana yanatonesha Roho zaidi sio mwili wala akili! Na maumivu ya Roho ndo the MOST TRUE PAINS EVER EXISTED SINCE THE CREATION OF THE EARTH[emoji3]
Naomba iwe yangu tu
 
Hebu nipange mkuu... Hofu yangu ni kusikia Mimba imeharibika.. Isije ikawa manzi anaangalia kati ya washikaji zake yupi afadhali
Nilikutana na wawili stationery wanakopi kutoka kwenye taarifa ya daktari ya mama mjamzito. Na ultrasound kabisa. Kisha jamaa akapigiwa simu akapewa gharama kama laki tatu hv. Mwingine yeye alikuwa anataka mimba feki itolewe kwahiyo anahitaji laki saba za kuitoa. Tuishi nao kwa akili
 
huo ni mtego unaonyesha una uhitji wwa mtoto kuliko yeye akipita sponser hapo mauaji yanafanyika
 
Akisha kuchuna hyo akitoa atabeba nyingine yaweza kuwa yako. Ila usijali panapo uhai nicheki November 15,2021 kwa ajili ya zawadi za mtoto akatayezaliwa, life matters
Yaani this is the greatest concern nimefungua moyo kwenye malezi ya mtoto, lakini hofu yangu asije akaniletea huo ushenzi eti mimba iliharibika
Hi
 
Back
Top Bottom