Je, mwanamke anamjua mwanaume halisi aliyempa mimba?

Naendelea kusisitiza Kuna kila dalili ya kupigwa atakula vihela vyako na hiyo mimba utaambiwa imeharibika
Ha ha haaaaa eti "I will kill this kid" hapo umepigwa pia huyo ManZi ni mjinga sana pia hata wewe usipokuwa makini atakufanyia hvyo hvyo kama anavyotaka huyo mtoto aliye tumboni mwake.
Am done. ✅
Del
 
Nawataka sana watishiaji namwambia twende nikupeleke akanunue dawa za kutoa kisha narekodi mazingumzo yote na sms na na charts na print kisha napiga makofi na namkabidhi police, serikali za mitaa, mwenyekiti na warning kwa ndugu. Tuone kama atatoa hio mimba nani anataka mikosi. Natandika kweli pimbi wa aina hii
 
Naendelea kusisitiza Kuna kila dalili ya kupigwa atakula vihela vyako na hiyo mimba utaambiwa imeharibika

Del
Yaani this is the greatest concern nimefungua moyo kwenye malezi ya mtoto, lakini hofu yangu asije akaniletea huo ushenzi eti mimba iliharibika
 
I will kill this wizkid. Hii ni ishara kuwa huyu mtoto si wako ila kati ya wote aliokutana nao wewe ndio chaguo la kwamza

Darlin
 
Kitanda hakizai Haram

1. Lea mimba

2. Kama vipi... mchukuwe kabisa awe mke

3. Lea mtoto

Familia zetu asilimia kubwa kupigwa na kupiga kupo.
1 na 3 ni reasonable 2 inategemea hayo mengine na mtoto
 
Fatherhood is a social thing, not biological "Palamagamba Kabudi - 2020"
 
I will kill this wizkid. Hii ni ishara kuwa huyu mtoto si wako ila kati ya wote aliokutana nao wewe ndio chaguo la kwamza

Darlin
Baada ya kukwazana na hasira zake za Mimba... baada ya muda mfupi akanitumia message hiyo so ikawa ni njia ya kupata attention yangu upya baada ya hapo ikabidi tujadili what happened.

My concern ni either naweza nikawa mtu mwingine au baba halisi na mimba ndio njia yake kupata attention kila akiwa anashida also what if akitoa akasema imeharibika..
 
Ulienda nae kupima ukapewa majibu au alikuletea majibu nyunbani
 
Wewe ulipita kavu...umeambiwa matokeo ya yake..unaanza kujifaragua..

Lea mimba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…