Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Hypershulemia

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2021
Posts
275
Reaction score
841
Habari za wakati huu wanajamiiforums!

Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli.

Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi!


Wengi wa hao wanawake wanadai washatolewa vizazi vyao kutokana na matatizo ya kiafya.

Sasa Wauuguzi na Madaktari naomba mje mnipe ufafanuzi, wanapata mimba kweli bila vizazi au tunapangwa tu?


MREJESHO
kutokana ni maoni ya wadau mbalimbali ni kwamba hata kama kafanyiwa total hysterectomy ila kwa Imani anaweza pata mimba!

🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
 
Habari za wakati huu wanajamiiforums!

Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli.

Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi!


Wengi wa hao wanawake wanadai washatolewa vizazi vyao kutokana na matatizo ya kiafya.

Sasa Wauuguzi na Madaktari naomba mje mnipe ufafanuzi, wanapata mimba kweli bila vizazi au tunapangwa tu??
Haiwezdkani
 
Nina ushuhuda. Mtoro wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa.
Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akayolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Eeeeh Imani huponya
 
Nina ushuhuda. Mtoro wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa.
Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akayolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Hili swala ni kweli na inawezekana,

Aisee Mungu yupo na anatenda.
 
Hii imekaa kiroho zaidi. Kama Wewe Sio mtaalam wa Imani za Mambo ya rohoni, UTAONA haiwezekani. ILA UKWELI INAWEZEKANA. Kila Kitu unachokiona physically, muonekano hUO wa physical umeanza kiroho (spiritual)kwanza.

Ukumbuke Mungu aliumba kila unachokiona physically kwa kutamka tuu!. Mwanga uwepo,na ukawepo, maji, Giza vitu vyote duniani viwepo na vikawepo, Bila ya kutumia physical material yoyote.

Je hii nayo huiamini ?
 
Back
Top Bottom