Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Usichokijua ni kama usiku wa giza, hapo kuna sarakasi na sintofahamu.
Kwanza tujiulize ni kweli huyo binti alitolewa kizazi?

Kizazi ni nini? Kwa mwanamke/msichana tunaongelea kuhusu uterus mfuko/kiungo ambacho unajumuisha ovari, mirija, neva, mishipa ya damu na sehemu ya uuke( k au vagina), hadi matiti hapo ni kwa kifupi tu nimejaribu kueleza.

Kutolewa kizazi chote kitaalamu kwa kufanyiwa upasuaji ni total hysterectomy( yaani kizazi chote hutolewa na viungo vingine vinavyosapoti mfuko wa uzazi), hapa mwanamke/msichana hawezi na hataweza kushika mimba/ujauzito.

Kutegemea na kiwango, aina ya maambukizi na complications alizopata pia kuna uwezekano hakutolewa kizazi chote bali walitoa pengine upande mmoja wa mirija wakaacha upande mwingine, baadhi ya magonjwa ya zinaa husababisha madhara katika kizazi kupelekea mirija kuziba kabisa, kwa hiyo kitaalamu mimi na wewe hatujui na hatuna uhakika wa hili isipokuwa daktari na timu waliyofanya upasuaji.

Maandiko yanasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
 
Hamuijui Kun faya kun ninyi

trumpsmirk.png
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Huyo alimeza haragwe na mbolea au kwa sababu ALIKUWA mdogo kakizazi kake kalikuja kuota na kustawi tena.
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Kesi kama hii haiwezi kueleweka kama hakuna Cheti kutoka kwa Daktari,kinachoonyesha namna amabvyo muhusika kizazi kiliondolewa kabisa, na akabaki bila kizazi, vinginevyo ni vigumu mtu kuamini maana Haiwezekani.
 
Usichokijua ni kama usiku wa giza, hapo kuna sarakasi na sintofahamu.
Kwanza tujiulize ni kweli huyo binti alitolewa kizazi?

Kizazi ni nini? Kwa mwanamke/msichana tunaongelea kuhusu uterus mfuko/kiungo ambacho unajumuisha ovari, mirija, neva, mishipa ya damu na sehemu ya uuke( k au vagina), hadi matiti hapo ni kwa kifupi tu nimejaribu kueleza.

Kutolewa kizazi chote kitaalamu kwa kufanyiwa upasuaji ni total hysterectomy( yaani kizazi chote hutolewa na viungo vingine vinavyosapoti mfuko wa uzazi), hapa mwanamke/msichana hawezi na hataweza kushika mimba/ujauzito.

Kutegemea na kiwango, aina ya maambukizi na complications alizopata pia kuna uwezekano hakutolewa kizazi chote bali walitoa pengine upande mmoja wa mirija wakaacha upande mwingine, baadhi ya magonjwa ya zinaa husababisha madhara katika kizazi kupelekea mirija kuziba kabisa, kwa hiyo kitaalamu mimi na wewe hatujui na hatuna uhakika wa hili isipokuwa daktari na timu waliyofanya upasuaji.

Maandiko yanasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa".
Embu tuelezee na bahari ya shamu kugawika kwa kuchapwa na fimbo iliwezekanikaje kisayansi?
 
Embu tuelezee na bahari ya shamu kugawika kwa kuchapwa na fimbo iliwezekanikaje kisayansi?
Ukishakatwa pua ikaondolewa yote ukabakia toinyo ukaenda kuombewa ili pua irudi itarudi?

Jibu kwanza hilo swali kisha njoo tujadiri
 
Back
Top Bottom