Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Je, Mwanamke anaweza kupata ujauzito baada ya kutolewa kizazi kwa kuombewa na Manabii na Mitume?

Habari za wakati huu wanajamiiforums!

Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli.

Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi!


Wengi wa hao wanawake wanadai washatolewa vizazi vyao kutokana na matatizo ya kiafya.

Sasa Wauuguzi na Madaktari naomba mje mnipe ufafanuzi, wanapata mimba kweli bila vizazi au tunapangwa tu?
Jiepushe na Matapeli mkuu
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
hehhehehehehe nachka kama mazuri vile, ila Mungu anaweza yote
 
Habari za wakati huu wanajamiiforums!

Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli.

Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi!


Wengi wa hao wanawake wanadai washatolewa vizazi vyao kutokana na matatizo ya kiafya.

Sasa Wauuguzi na Madaktari naomba mje mnipe ufafanuzi, wanapata mimba kweli bila vizazi au tunapangwa tu?
hivi gari inaweza kutembea kama ikitolewa mataili na engine
 
Hii imekaa kiroho zaidi.Kama Wewe Sio mtaalam wa Imani za Mambo ya rohoni,UTAONA haiwezekani.ILA UKWELI INAWEZEKANA.Kila Kitu unachokiona physically,muonekano hUO wa physical umeanza kiroho(spiritual)kwanza.Ukumbuke Mungu aliumba kila unachokiona physically kwa kutamka tuu!.Mwanga uwepo,na ukawepo,maji,Giza vitu vyote duniani viwepo na vikawepo,Bila ya kutumia physical material yoyote.Je hii nayo huiamini ?
May be....
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
tutolee upumbavu hapa
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Ngoja tuamini huu ushuhuda....... 😅
 
Habari za wakati huu wanajamiiforums!

Jamani mimi binafsi kuna jambo napata ukakasi kuamini kama ni kweli.

Ipo hivi kuna muda huwa naangalia channel za manabii na mitume maaraufu hapa Tanzania, Sasa kuna shuhuda huwa nazisikia mwanamke anadai kupata ujauzito bila ya kuwa na kizazi!


Wengi wa hao wanawake wanadai washatolewa vizazi vyao kutokana na matatizo ya kiafya.

Sasa Wauuguzi na Madaktari naomba mje mnipe ufafanuzi, wanapata mimba kweli bila vizazi au tunapangwa tu?
Mwamposa na fyongo zake.
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Chai
 
Imani sio Biology mkuu...Mungu ni muweza sana kama Sarah katika umri ya kikongwe alipata mimba ambapo kwa biologia ya kawaida haiwezekani...Mungu huweza kurudisha na kurepair kila kitu
 
Nina ushuhuda. Mtoto wa Shangazi yangu alibakwa na watu zaidi ya 10, miaka ya tisini akapata maambukizi ya ugonjwa wa zinaa. Kwakuwa alikuwa mdogo wa umri (14yrs by the time) likashughulikiwa swala la yeye kubakwa, watuhumiwa walikamatwa na wakaadhibiwa vifungo virtually gerezani.

Lakini yule binamu alipata infection, kizazi kikaoza na hakukuwa na namna nyingine isipokuwa kukitoa.

Alifanyiwa upasuaji na akatolewa na kuambiwa hatozaa tena. Baada ya miaka mingi akapata jamaa, auntie akamjulisha kabisa jamaa kuwa atafute mtu mwingine maana yeye hana kabisa uwezo wa kuzaa. Jamaa akakomaa naye wakaoana.

Walipooana wakawa watu wa maombi sana, aiseee, binamu alipigwa maombi hadi kizazi kikaota, sasa ana watoto wanne
Naomba maelezo juu Ya vitafunwa vya kutumia na chai hii,
Ni vitumbua au sambusa ?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom