Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

wiser1,
Mmoja namfahamu alilipiwa mahari na mkewe. Siku hizi wakigombana kidogo tu bwana anamwambia "kwanza hata mimi sikukutaka ulijilazimishia tu hapa, kama umechoka si usepe?"
 
Saint anne,
Unadhani kuumwa ukiwa kwa wazazi ni sawa na kuumwa ukiwa kwa mmeo ? Na mnavyojua kudeka sasa. Hicho kichwa tu utafikiri mtu anumwa Cancer vile.

Ndio, inabidi nikuchukue bure sababu naenda kukulea, naenda kubeba majukumu ya wazazi wako pale walipoishia.

Kwenye maandiko kuna sehemu imeandikwa kuwa ni lazima kila mwanaume aoe ?

Kudos to your parents for your upbringing.

Asante kwa wazazi haipaswi sasa kuandamana na mahari. Hapo inakuwa as if you're paying them for their service. Kama ambavyo unaenda lipa ada shule kwa ajili ya mwanao kufundishwa.
 
Ukiamua kuoa lazima ukubali kubeba jukumu..ndiyo Maana ya kula kwa jasho [emoji23][emoji23].
Hakuna sehemu mtu anakulazimisha kuoa..
Kudeka Ni muhimu jamani[emoji1787]..mume ajiandae tu.
Kitendo Cha kubadili ukoo Ni Cha thamani kuliko vyote,mahari Ni muhimu
Mahari haiwezi ikalipa fadhila zote alizofanya mzazi kwa mtoto..ndiyo Maana nimekwambia mahari Ni aksante tu
 
Mmhhh!! Hapana kwa kweli kujioa, nakumbuka shemeji angu alioa dada angu kwa 50000 kwa sababu hali yake kiuchumi haikua nzuri, hivyo dada aliwaeleza ukweli wazazi na wazazi wakapanga mahari kulingana na hali halisi ya muoaji
Mkuu
Ukipata Pesa Nipe Nikakulipie Japo Hata Robo 😁😀
 
Ukiamua kuoa lazima ukubali kubeba jukumu..ndiyo Maana ya kula kwa jasho [emoji23][emoji23].
Hakuna sehemu mtu anakulazimisha kuoa..
Kudeka Ni muhimu jamani[emoji1787]..mume ajiandae tu.
Kitendo Cha kubadili ukoo Ni Cha thamani kuliko vyote,mahari Ni muhimu
Mahari haiwezi ikalipa fadhila zote alizofanya mzazi kwa mtoto..ndiyo Maana nimekwambia mahari Ni aksante tu
Ndio na mimi nimesema asante yangu haipaswi kuandamana na mahari.

Naona ukifikiria siku moja unaenda kubadili ukoo huwa inatamani Kama usiolewe vile. Ukiambiwa ubadili dini je?

Fikiria siku hiyo umeenda kwa boyfriend wako, baada ya muunganiko wa kimwili anakupa laki 2 kama zawadi. Je, utaichukulia kama ni zawadi au utatafsiri huo ni ujira kwa kazi nzito uliyoifanya kwake ?
 
Ndio na mimi nimesema asante yangu haipaswi kuandamana na mahari.

Naona ukifikiria siku moja unaenda kubadili ukoo huwa inatamani Kama usiolewe vile. Ukiambiwa ubadili dini je?

Fikiria siku hiyo umeenda kwa boyfriend wako, baada ya muunganiko wa kimwili anakupa laki 2 kama zawadi. Je, utaichukulia kama ni zawadi au utatafsiri huo ni ujira kwa kazi nzito uliyoifanya kwake ?
Yeye kunipa hela Ni zawadi Wala SI ujira.
Sina mpango wa kuja kubadili dini hata iweje.
Wasioolewa kwa mahari hii dunia haipo.
Kuna dada pale juu amesema walikwenda na WWII na Bora tu walikwenda Maana walikuwa wanawake wapumbavu kuwahi kutoka[emoji1787]
 
Yeye kunipa hela Ni zawadi Wala SI ujira.
Sina mpango wa kuja kubadili dini hata iweje.
Wasioolewa kwa mahari hii dunia haipo.
Kuna dada pale juu amesema walikwenda na WWII na Bora tu walikwenda Maana walikuwa wanawake wapumbavu kuwahi kutoka[emoji1787]
Nna wasiwasi na hilo. Kwamba hakuna wanolewa bila mahari ?

Sawa ni zawadi Ila kwa nini asikupe muda mwingine hiyo zawadi aamue kukupa pindi tu mmalizapo tendo kama huo sio ujira ?

Kwa upande wangu ningependelea kutoa asante yangu kwa wazazi wa binti muda wowote ntakaojisikia ila sio wakati nnaomchukua binti yao mikononi mwao. Sema ndo hivyo kukutana na hii bahati Basi ni nadra sana japo zipo.
 
Nna wasiwasi na hilo. Kwamba hakuna wanolewa bila mahari ?

Sawa ni zawadi Ila kwa nini asikupe muda mwingine hiyo zawadi aamue kukupa pindi tu mmalizapo tendo kama huo sio ujira ?

Kwa upande wangu ningependelea kutoa asante yangu kwa wazazi wa binti muda wowote ntakaojisikia ila sio wakati nnaomchukua binti yao mikononi mwao. Sema ndo hivyo kukutana na hii bahati Basi ni nadra sana japo zipo.
Yeye Kama atanipa Ni maamuzi yake tu..na sio lazima anipe huo muda.

Asante wazazi unaruhusiwa kuwapa muda wowote tu utakaotaka..Ila ile aksante wakati wa kunichukua Ni lazima.
Ndo Kama Yale maswali yanayokuwaga compulsory kufanya kwenye paper[emoji2]
 
Hata usemeje siwz mtolea mwanaume mahari, na naolewa vzr tu...mwanaume atakayekubali mahari ya mwanamke hajielewi, ww km ndo unakaa unategemea mwanamke wko aje akulipie bx hujielewi, wanaume wanapenda kujijengea heshima, asa ww kaa ngoja mahari apo ya huyo mschn wko, najiheshimu na sichezew mwl wng ht siku moja...rekebisha kauli yako.
Ndiyo ukae hapo utombeke wenzio wanaolewa unawaona..!
 
Naona unajifanya unanijua sana kuliko ninavyojijua mwenyewe eeh?, we vp umetoka milembe au?, kila mtu anaelezea kile anachokiona mn ni uwanja mpana ndo mn tumekutana apa na ndo mn mada zinaletwa, au unaforce urfk na mimi?, siwi na mrfk wapuuz km ww na wafinyu wa akili plus kupenda mteremko km ww
Utakuwa lichagga wewe
 
Naona unajifanya unanijua sana kuliko ninavyojijua mwenyewe eeh?, we vp umetoka milembe au?, kila mtu anaelezea kile anachokiona mn ni uwanja mpana ndo mn tumekutana apa na ndo mn mada zinaletwa, au unaforce urfk na mimi?, siwi na mrfk wapuuz km ww na wafinyu wa akili plus kupenda mteremko km ww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] naona anataka kunipanda kichwani, na kuforce urfk nimjibu...wkt hii ni mada imeletwa kila mtu anachangia vile anavyoona kwa upande wake, yeye km anasubiri kuolewa ni yeye lkn atambue wanaume wanaoa sio kuolewa...hayo mengine ni makubaliano tu kati ya mke na mume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] naona anataka kunipanda kichwani, na kuforce urfk nimjibu...wkt hii ni mada imeletwa kila mtu anachangia vile anavyoona kwa upande wake, yeye km anasubiri kuolewa ni yeye lkn atambue wanaume wanaoa sio kuolewa...hayo mengine ni makubaliano tu kati ya mke na mume.
Umeona eeeh..
Kuna watu wa ajabu Sana[emoji23][emoji23]
 
Yeye Kama atanipa Ni maamuzi yake tu..na sio lazima anipe huo muda.

Asante wazazi unaruhusiwa kuwapa muda wowote tu utakaotaka..Ila ile aksante wakati wa kunichukua Ni lazima.
Ndo Kama Yale maswali yanayokuwaga compulsory kufanya kwenye paper[emoji2]
Naona umegoma kabisa kuolewa bila mahari.
 
Back
Top Bottom