sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Haiwezekani kutoa kidogo kwani ni suala la kijamii zaidi wala sio la baba na mama mzazi, mfano kuna mbuzi ya shangazi au mjomba, bibi, babu, branketi na shuka la bibi au babu vyote hivo ni hela, hataivo hao wote walikuwa walezi wa huyo binti unayempenda ndio maana wanataka wafanye sherehe ya kujipongeza kwa kumtunza vizuri hadi wewe ukampenda binti yao,Na kama una watoto wa kike utaona ni sahihi, watoto wa kike wanachangamoto kubwa mpaka kumfikisha hapo.Pamoja na kuwa MAHAMUZI na wala si maamuzi, bado mahari kubwa ni utapeli wa kutupwa. Mtoze mwanaume kiasi ambacho hakitamuathiri kiuchumi. Na hicho kiasi, mwanamke angalau achangie hata ikiwa ni elfu moja, au potelea mbali miambili. Kwani hakuna kijana miaka 18 na zaidi atakosa 200.