Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mimi nazani mwanaume kama kweli anayonia na utayari wa kuoa hawezi kukosa kutafuta hela ya mahari kama amedhamiria.
Kwani ndoa si inaanza kwa mipangilio?
Tuseme inashindikana kutafuta vibarua hata vya dei worker January to December kupata hela ya kwenda kulipa mahari?
Ni kwamba ile willingness na utayari siyo wa kutosha kwa mwanaume!
Kwani ndoa si inaanza kwa mipangilio?
Tuseme inashindikana kutafuta vibarua hata vya dei worker January to December kupata hela ya kwenda kulipa mahari?
Ni kwamba ile willingness na utayari siyo wa kutosha kwa mwanaume!