Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

Nshaelewa umeuliza kwa mantiki ipi ila japo kwenye hili siko upande wowote na sijaonyesha hilo maana kuna tamaduni mfano wahindi mwanamke anatoa mahari,au familia nyengine za ki Africa hazikubali mahari kupokea wala kutoa zikiamini kufanya hvyo nikumuuza mtoto zinatoa baraka tu kikubwa maridhiano ila sidhani pia kuna ubaya mwanamke kujilipia kama familia inalazimisha na jamaa hana uwezo akiamua kumsaidia ili afanikishe haraka hilo jambo la baraka ukute mume mwenyewe wa kisulisuli ni sawa tu
Vipi unaweza pokea hela kutoka kwa mwanamke kwa ajili ya mahari yake?
Swali lako kwa upande wangu

Mimi siwezi kukubali mwanamke ajilipie mahari nitatoa mwenyewe
 
Nshaelewa umeuliza kwa mantiki ipi ila japo kwenye hili siko upande wowote na sijaonyesha hilo maana kuna tamaduni mfano wahindi mwanamke anatoa mahari,au familia nyengine za ki Africa hazikubali mahari kupokea wala kutoa zikiamini kufanya hvyo nikumuuza mtoto zinatoa baraka tu kikubwa maridhiano ila sidhani pia kuna ubaya mwanamke kujilipia kama familia inalazimisha na jamaa hana uwezo akiamua kumsaidia ili afanikishe haraka hilo jambo la baraka ukute mume mwenyewe wa kisulisuli ni sawa tuSwali lako kwa upande wangu

Mimi siwezi kukubali mwanamke ajilipie mahari nitatoa mwenyewe
Oh sawa
 
Baharia bado hajakuteka vizuri maana nyie mkitekwa kwisha kazi


"Utaskia beby nimemuibia baba pesa tuchange tufanye mradi au katengeneze ile pikipiki yako nakuonea huruma unavyotembea kwa miguu makalio yote yameisha ""
Siwezi kufanya huo upuuzi ata siku moja...hiyo tu tuko kwenye uchumba afu aniambie tufungue mradi fulani kakope nami nikope siwezi...sembuse kumlipia mahari? Looooh [emoji50][emoji50]
Mkipenda wanawake mnaweuka sana mnajisahau
 
Mmhhh!! Hapana kwa kweli kujioa, nakumbuka shemeji angu alioa dada angu kwa 50000 kwa sababu hali yake kiuchumi haikua nzuri, hivyo dada aliwaeleza ukweli wazazi na wazazi wakapanga mahari kulingana na hali halisi ya muoaji
Mwanamke mwenye akili atanegotiate na familia yake baada ya wewe kusema una kiasi gani! Na ukiona mwanamke hachangii mahari, huyo hakufai Achana naye unless hana hela na kama hana hela anaburgain na wazazi wake wapunguze. Mie binti yangu anaolewa kwa mahari ya elfu kumi tu
 
Baharia bado hajakuteka vizuri maana nyie mkitekwa kwisha kazi


"Utaskia beby nimemuibia baba pesa tuchange tufanye mradi au katengeneze ile pikipiki yako nakuonea huruma unavyotembea kwa miguu makalio yote yameisha ""Mkipenda wanawake mnaweuka sana mnajisahau
Heee sio kwenye pesa nyingi kiasi iko...ata mahali sitaki aniambie apunguziwe...iyo iyo aliyotajiwa agangamale alipe
 
Tatizo ni wadada wenyewe ndiyo wanaomshinikiza mwanaume amuoe wakati mwanaume bado hajawa tayari kiuchumi [emoji108][emoji108]

Wadada wanalazimisha ndoa, mdada akiona wenzie wameolewa nae analazimisha hata kwa kutegesha mimba ili iwe sababu ya kuolewa, wengine wameishia usingo maza!
 
Iliwahi chambuliwa kibiblia kuwa mwanamke kujitolea mahari wewe mwenyewe siyo sahihi hata kidogo !

Tena ndoa za hivyo wengi wameishia majuto !

Mwanaume anakuwa tegemezi hakununulii hata chup.

Mwanamke hata kama unafanyakazi nzuri unaingiza hela nyingi lakini hela ya mume nayo inautamu wake!
 
Iliwahi chambuliwa kibiblia kuwa mwanamke kujitolea mahari wewe mwenyewe siyo sahihi hata kidogo !

Tena ndoa za hivyo wengi wameishia majuto !

Mwanaume anakuwa tegemezi hakununulii hata chup.

Mwanamke hata kama unafanyakazi nzuri unaingiza hela nyingi lakini hela ya mume nayo inautamu wake!
Bora umsaidie mwanaume matumizi mengine yoyote pale anapokwama na Kuna ulazima wa kumsaidia,kuliko ujinga wa kumpa hela ya mahari.

Mahari inatakiwa asipewe hata na baba yake,maana anaoa yeye.
 
Back
Top Bottom