Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,728
Saint anne,
Nasubiri ushuhuda wako uzeeni hapo kwenye huo mstari wa mwisho.
Nasubiri ushuhuda wako uzeeni hapo kwenye huo mstari wa mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alete hata kuku ? Mahari unapanga wewe au wazazi ?Hapana hiyo mkuu, lete hata kuku tu kama umeshindwa kabisaa[emoji3]
Labda Kama hawakutaki.Okay basi msimkomoe kijana wa watu mkamwambia alete milioni na ng'ombe kama wote hili asishindwe kukuchukua kwa wazazi wakoMaana wengi wanajilipia Mara nyingi wazazi wanataja kiwango ambacho ni too much mnoo mlengwa anashindwa kutoa
Kumbe ushawahi kupenda hivyoo hadi ukaoza kabisaa naona umesisitiza kwa experienceNdo kupenda uko mkuu...wanawake wakipenda wanapenda haswa...yani apo haoni ata kama anateseka , anaona tu heri
Wanakukomoa halafu kesho kaumwa simu nyingi utasikia "mwanangu baba ako naumwa na hali yetu na mama ako hapa nyumbani sio nzuri".Wanayumba sana huko ni kuuza mtoto sasa
DAWA NI KUWAPA MIMBA LAZIMA UPEWE BURE BILA MAHARI
Hahahahaha..kwa Imani sitegemei kufika huko bila kuolewa.Nasubiri ushuhuda wako uzeeni hapo kwenye huo mstari wa mwisho.
Tunashirikishwa..sijajua kwa familia nyingine hili liloje.Okay kumbe nyie ndo mnashawishi kwenye upangaj wa MAHARI mi nilijua hilo jukumu ni la wazazi nyie hamshirikishwi kabisa
Kwa imani yangu katika Uislamu mahali ipo kisheria.Uislamu ulivyo mzuri hapa anayetalajia kuolewa hata akitaja mahari yangu sh. Kumi ndoa imepita.
Wanakukomoa halafu kesho kaumwa simu nyingi utasikia "mwanangu baba ako naumwa na hali yetu na mama ako hapa nyumbani sio nzuri".
Waowaji tupo mbona!Hahahahaha..kwa Imani sitegemei kufika huko bila kuolewa.
Naamini atakuja tu mume kabla sijazeeka.
Naam mkuu hata msaafu binti akitamka hii ni mahari yangu ndoa inapita.Binti Wengine wanasema MAHARI msaafu na binti anaolewa kabisa wanajua umuhimu wa hilo jambo mko vizuri sana kisheria
Kweli kabisa mko wengi.Waowaji tupo mbona!
Nadhani hapo unazungumzia zile familia ambazo baba, mama na watoto wanaweza wakala meza moja au kukaa sebuleni pamoja na kupiga story. Zipo familia baba akiwepo sebuleni basi mwenye uthubutu wa kusogea hapo ni mama tu. Hapa unafikiri bibi harusi mtarajiwa utaanza kuzungumza sijui hali ya kiuchumi ya boifurendi wako ? LLabda Kama hawakutaki.
Mwanamke ndiye anakujua vema ulivyo kiuchumi.
Yeye ndiye mwenye wajibu wa kuongea na wazazi kuwauliza kuhusu mahari..
Nadhani Mambo ya kukomoana siku hizi hayapo..labda kwa familia zenye njaa zinazochukulia mahari Kama mtaji wa kujinufaisha/utajiri.
Basi Mimi nimezungumzia familia zinazoishi kwa upendo ikiwepo ya kwetu.Nadhani hapo unazungumzia zile familia ambazo baba, mama na watoto wanaweza wakala meza moja au kukaa sebuleni pamoja na kupiga story. Zipo familia baba akiwepo sebuleni basi mwenye uthubutu wa kusogea hapo ni mama tu. Hapa unafikiri bibi harusi mtarajiwa utaanza kuzungumza sijui hali ya kiuchumi ya boifurendi wako ? L
Alipe tu hata mbuzi 1 kama vipi ,ila kujitolea mwenyewe khaa, hapanaa
Hahahahahahah ngumu sana kwa mwanamke kugundua huu ujinga akiwa kakunwa sawa sawa.Mwanaume kupewa mahari Ni umama..
Mwanaume wa hivi Mimi simtaki kwa kweli,,,apite tu pembeni,,yaani ameshindwa hata kuzibua vyoo au kuzungusha karanga??
Huu sio upendo,Ni ujinga
Mwanaume kaliyekamilika hawezi kukubali kulipiwa mahari ili ndoa ipite hata kama hana uwezo,wengi wanaume wa hivyo ni Mario na wanakuwa na dharau kiwango kikubwa