Mimi nipo bae wangu mzoa taka kitaa kwetu nampenda mno.Hahahahahahah ngumu sana kwa mwanamke kugundua huu ujinga akiwa kakunwa sawa sawa.
Mbona we hudate na mzibua choo mama, kwa haraka haraka utakuwa single. Sijawahi ona mwanamke ana wish ku date na mzibua vyoo au mtembeza karanga humu pamoja na matangazo yote.
Pongezi kwa Serikali ya awamu ya 5Duh....na siku hzi Marioo wamejazana mtaani
Ya Tanganyika na wala si ya TANZANIAKama ya Kenya hamna tatizo mkuu
Kwa imani yangu katika Uislamu mahali ipo kisheria.Uislamu ulivyo mzuri hapa anayetalajia kuolewa hata akitaja mahari yangu sh. Kumi ndoa imepita.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hahahahahahah ngumu sana kwa mwanamke kugundua huu ujinga akiwa kakunwa sawa sawa.
Mbona we hudate na mzibua choo mama, kwa haraka haraka utakuwa single. Sijawahi ona mwanamke ana wish ku date na mzibua vyoo au mtembeza karanga humu pamoja na matangazo yote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pongezi kwa Serikali ya awamu ya 5
Hahahah ndio unavyonipanga sio π€£π€£π€£,,,mngekuwa na upendo kiasi hicho nisingekuwa single..wacha niendelee kuokota screpaMimi nipo bae wangu mzoa taka kitaa kwatu nampenda mno.
Hizo za upendo unakuta hata mahari hamna, muhimu mmependana na mmefanya mambo yenu kirasmi mnapewa tu baraka za wazazi. Ila ukishakutana na mzazi anapiga hesabu ya ile ada aliyomlipia ada mwanae Feza girls kuanzia form one hadi form 6, kisha akampeleka Oxford University sijui huko. Jiandae kuumia. Binti utapoanza oh unajua Ben wangu saizi ndo kwanza katoka kununua kiwanja hivyo saizi hana hela mpangie mahari ya laki 6, utaulizwa unajua ada uliyolipigwa form one ukiwa pale Feza ?Basi Mimi nimezungumzia familia zinazoishi kwa upendo ikiwepo ya kwetu.
Sizungumzii familia zinazoishi maisha ya kisimba Simba [emoji23].
Kwani unataka kuwowa Single mama sema tuyajenge ππππHahahah ndio unavyonipanga sio π€£π€£π€£,,,mngekuwa na upendo kiasi hicho nisingekuwa single..wacha niendelee kuokota screpa
Hakuna mahari????Hizo za upendo unakuta hata mahari hamna, muhimu mmependana na mmefanya mambo yenu kirasmi mnapewa tu baraka za wazazi. Ila ukishakutana na mzazi anapiga hesabu ya ile ada aliyomlipia ada mwanae Feza girls kuanzia form one hadi form 6, kisha akampeleka Oxford University sijui huko. Jiandae kuumia. Binti utapoanza oh unajua Ben wangu saizi ndo kwanza katoka kununua kiwanja hivyo saizi hana hela mpangie mahari ya laki 6, utaulizwa unajua ada uliyolipigwa form one ukiwa pale Feza ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwani kuuza karanga sio kazi jamani??
Kazi Ni kazi tu hata Kama Ni kuzibua choo...hiyo inamfanya mwanaume aonekane mwanaume na Anakuwa anakamikisha maandiko ya kula kwa jasho.
Kikubwa Ni upendo...Kama Kuna chemistry nzuri Kati yenu mnadate tu,,,Kama hujampenda Basi hudeti nae maana huwezi Anza kudeti na mtu kwa huruma eti kisa tu Ni muuza karanga.
Mi baba mkwe anitoze mahari kwa kwenda kumlea binti yake, siku akija kulala nyumbani kwangu lazima alipie kama ambavyo angelipia akilala hotelini.Hakuna mahari????
Haiwezekani hiyo...baraka zitatolewa na mahari lazima itolewe.
Si mambo ya chemistry tu my dia π€£π€£π€£Kwani unataka kuwowa Single mama sema tuyajenge ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£ we jamaa kauzu kama ng'onda!Mi baba mkwe anitoze mahari kwa kwenda kumlea binti yake, siku akija kulala nyumbani kwangu lazima alipie kama ambavyo angelipia akilala hotelini.
ππππMi baba mkwe anitoze mahari kwa kwenda kumlea binti yake, siku akija kulala nyumbani kwangu lazima alipie kama ambavyo angelipia akilala hotelini.
Mbona si ngumu hata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hio chemistry huwa nyepesi sana kwa wastaafu ama vigogo wa serikalini ila kwa vijana fukara mbona huwa ngumu sana.
π€£π€£π€£π€£π€£ hahahah mzee anataka mawe.Hizo za upendo unakuta hata mahari hamna, muhimu mmependana na mmefanya mambo yenu kirasmi mnapewa tu baraka za wazazi. Ila ukishakutana na mzazi anapiga hesabu ya ile ada aliyomlipia ada mwanae Feza girls kuanzia form one hadi form 6, kisha akampeleka Oxford University sijui huko. Jiandae kuumia. Binti utapoanza oh unajua Ben wangu saizi ndo kwanza katoka kununua kiwanja hivyo saizi hana hela mpangie mahari ya laki 6, utaulizwa unajua ada uliyolipigwa form one ukiwa pale Feza ?
Mzee alifanya uwekezaji. Ni wakati wake sasa kupata Return On Investment.π€£π€£π€£π€£π€£ hahahah mzee anataka mawe.