Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #21
😂😂Nyeto inahusianana nini na U.T.I..!?
Tuachie my wetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Nyeto inahusianana nini na U.T.I..!?
Tuachie my wetu...
pamoja na kwamba una UTI but hiyo ni miongni mwa athari za punyeto kwa muda mrefu zimeanza kujionyesha...Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!
Nikawa najiuliza nimepatww na nn?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….
Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.
Je, ni kawaida?
pia njoo chama chetu nofap. Linda ela nguvu za mwili roho na akilihamna wala
DR Mambo Jambo unalizungumziaje hili?Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!
Nikawa najiuliza nimepatww na nn?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….
Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.
Je, ni kawaida?
Aisee nilikua sijuiNdivyo ilivyo na hata zikiwepo zile ndogo ukiomba game unapiga kimoja Cha pili hapa na kibaha ndio kinarejea tena Cha udhaifu sana
Ukiwa na UTI usiombe show kabisa
tende na maziwa ndo dawa ya uti au?afadhali....sasa kula tende na maziwa fresh siku tatu utabaka nakuambia..
pia njoo chama chetu nofap. Linda ela nguvu za mwili roho na akili
kaka mbona mm sinyetukipamoja na kwamba una UTI but hiyo ni miongni mwa athari za punyeto kwa muda mrefu zimeanza kujionyesha...
kesho kwamfano ukaugua mafua au malaria mshedede utalala fofofo na utanyauka zaidi 🐒
acha nyeto mara moja,sawa gentleman!🐒
yaan we acha tuIla wanaume 😂😂😂😂
Sasa unaumwa nguvu za kusimamisha hovyo unazikuta wapi??
kheeTatizo lako sio UTI kama unavyodhani, Tatizo lako ni HAUNA FWEDHAAAA
AsantePole sana mkuu
Maambukizi ya UTI kwa kawaida huwapata zaidi wanawake, ingawa wanaume wanaweza pia kupata. Wewe ni kati ya wanaume wachache wanaougua magonjwa ya kikeNi kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!
Nikawa najiuliza nimepatww na nn?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….
Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.
Je, ni kawaida?
dawa ya U.T.I ni AZUMA hio hapo ni starter mkuutende na maziwa ndo dawa ya uti au?
UTI ni Maambukizi ya Mfumo wa Mkojo kuanzia kwenye Figo mpaka kwenye Urethra...DR Mambo Jambo unalizungumziaje hili?
oohdawa ya U.T.I ni AZUMA hio hapo ni starter mkuu
sawaUTI ni Maambukizi ya Mfumo wa Mkojo kuanzia kwenye Figo mpaka kwenye Urethra...
Na Kupata Hamu Ya kufanya Ngono/Mapenzi inakuwa Controlled by Hormones Mbalimbali zinazozalishwa Kweny Ubongo na Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume/Mwanamke..
Ambao kwa mwanaume Huanzia kwenye Korodanu mpaka Urethra..
The only thing ambayo zinaweza kuconnect hii mifumo miwili Ni Urethra peke yake..
Na urethra haina uwezo wa Kuzuia Hashki au hamu ya kufanya Tendo la ndoa..
Na huenda akawa na Maambukizi ya RTI (Reproductive Tract infection) ambayo mara nyingi ukipima Mkojo utaambiwa UTI..
Japo ukitoa maelezo vizuri kwa Daktari Atajua hasa tatizo ni nini na Kupitia culture and sensitivity ya Mkojo kuangalia wadudu walioathiri kunaweza kutoa Picha kuhusu Mdudu huyo Ni wa UTI au RTI..
LAKINI KUMBUKA
UTI Kwa Mwanaume Ni Uncommon (sio kawaida)..
So whatever you see UTI in mwanaume Fikiria Kuhsu Ugonjwa wa zinaaa..