Je mwanaume akiwa na U.T.I anashindwa kusimamisha?

Je mwanaume akiwa na U.T.I anashindwa kusimamisha?

Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!

Nikawa najiuliza nimepatww na nn?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….

Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.

Je, ni kawaida?
pamoja na kwamba una UTI but hiyo ni miongni mwa athari za punyeto kwa muda mrefu zimeanza kujionyesha...

kesho kwamfano ukaugua mafua au malaria mshedede utalala fofofo na utanyauka zaidi 🐒

acha nyeto mara moja,sawa gentleman!🐒
 
Ni kama wiki hivi sina hamu ya tendo la ndoa, wala nikiamka asubuhi sioni kama mshedede unasimama!

Nikawa najiuliza nimepatww na nn?
yaan unakuta kanyamakazi kamesinyaaw😳….

Sasa juzi homa imechochea leo nimeendaa naambiww nina UTI.

Je, ni kawaida?
Maambukizi ya UTI kwa kawaida huwapata zaidi wanawake, ingawa wanaume wanaweza pia kupata. Wewe ni kati ya wanaume wachache wanaougua magonjwa ya kike
 
DR Mambo Jambo unalizungumziaje hili?
UTI ni Maambukizi ya Mfumo wa Mkojo kuanzia kwenye Figo mpaka kwenye Urethra...

Na Kupata Hamu Ya kufanya Ngono/Mapenzi inakuwa Controlled by Hormones Mbalimbali zinazozalishwa Kweny Ubongo na Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume/Mwanamke..

Ambao kwa mwanaume Huanzia kwenye Korodanu mpaka Urethra..

The only thing ambayo zinaweza kuconnect hii mifumo miwili Ni Urethra peke yake..
Na urethra haina uwezo wa Kuzuia Hashki au hamu ya kufanya Tendo la ndoa..

Na huenda akawa na Maambukizi ya RTI (Reproductive Tract infection) ambayo mara nyingi ukipima Mkojo utaambiwa UTI..

Japo ukitoa maelezo vizuri kwa Daktari Atajua hasa tatizo ni nini na Kupitia culture and sensitivity ya Mkojo kuangalia wadudu walioathiri kunaweza kutoa Picha kuhusu Mdudu huyo Ni wa UTI au RTI..

LAKINI KUMBUKA

UTI Kwa Mwanaume Ni Uncommon (sio kawaida)..
So whatever you see UTI in mwanaume Fikiria Kuhsu Ugonjwa wa zinaaa..
 
UTI ni Maambukizi ya Mfumo wa Mkojo kuanzia kwenye Figo mpaka kwenye Urethra...

Na Kupata Hamu Ya kufanya Ngono/Mapenzi inakuwa Controlled by Hormones Mbalimbali zinazozalishwa Kweny Ubongo na Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume/Mwanamke..

Ambao kwa mwanaume Huanzia kwenye Korodanu mpaka Urethra..

The only thing ambayo zinaweza kuconnect hii mifumo miwili Ni Urethra peke yake..
Na urethra haina uwezo wa Kuzuia Hashki au hamu ya kufanya Tendo la ndoa..

Na huenda akawa na Maambukizi ya RTI (Reproductive Tract infection) ambayo mara nyingi ukipima Mkojo utaambiwa UTI..

Japo ukitoa maelezo vizuri kwa Daktari Atajua hasa tatizo ni nini na Kupitia culture and sensitivity ya Mkojo kuangalia wadudu walioathiri kunaweza kutoa Picha kuhusu Mdudu huyo Ni wa UTI au RTI..

LAKINI KUMBUKA

UTI Kwa Mwanaume Ni Uncommon (sio kawaida)..
So whatever you see UTI in mwanaume Fikiria Kuhsu Ugonjwa wa zinaaa..
sawa
 
Back
Top Bottom