Je mwanaume akiwa na U.T.I anashindwa kusimamisha?

Je mwanaume akiwa na U.T.I anashindwa kusimamisha?

UTI ni Maambukizi ya Mfumo wa Mkojo kuanzia kwenye Figo mpaka kwenye Urethra...

Na Kupata Hamu Ya kufanya Ngono/Mapenzi inakuwa Controlled by Hormones Mbalimbali zinazozalishwa Kweny Ubongo na Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanaume/Mwanamke..

Ambao kwa mwanaume Huanzia kwenye Korodanu mpaka Urethra..

The only thing ambayo zinaweza kuconnect hii mifumo miwili Ni Urethra peke yake..
Na urethra haina uwezo wa Kuzuia Hashki au hamu ya kufanya Tendo la ndoa..

Na huenda akawa na Maambukizi ya RTI (Reproductive Tract infection) ambayo mara nyingi ukipima Mkojo utaambiwa UTI..

Japo ukitoa maelezo vizuri kwa Daktari Atajua hasa tatizo ni nini na Kupitia culture and sensitivity ya Mkojo kuangalia wadudu walioathiri kunaweza kutoa Picha kuhusu Mdudu huyo Ni wa UTI au RTI..

LAKINI KUMBUKA

UTI Kwa Mwanaume Ni Uncommon (sio kawaida)..
So whatever you see UTI in mwanaume Fikiria Kuhsu Ugonjwa wa zinaaa..
Sasa hapa kutishana kwamba UTI kwa mwanaume ni uncommon sasa hii kwangu imetoka wap
 
Maambukizi ya UTI kwa kawaida huwapata zaidi wanawake, ingawa wanaume wanaweza pia kupata. Wewe ni kati ya wanaume wachache wanaougua magonjwa ya kike
Au cyo?? UTI si ugonjwa wa kike ndo maana haukai kwene via vya kike
Urinary Track Infection umeona kuna kitu kimeandikwa woman hapo au kinaendana na ke?
 
Sasa hapa kutishana kwamba UTI kwa mwanaume ni uncommon sasa hii kwangu imetoka wap
Nop Sio Kutishana Mifumo ya Magonjwa Ya UTI na upatikanaji wake Anatomically Ni vigumu sana Kumpata Mwanaume hasa kutokana na Chanzo cha Bacteria anayesababisha UTI ya kawaida..

Mwanaume akupata UTI huenda Sio UTI ya kawaida na mara Nyingi Huwa tunaichukulia kama UTI inayotokana na magonjwa na Ngono!..

Kama una swali karibu
 
Nop Sio Kutishana Mifumo ya Magonjwa Ya UTI na upatikanaji wake Anatomically Ni vigumu sana Kumpata Mwanaume hasa kutokana na Chanzo cha Bacteria anayesababisha UTI ya kawaida..

Mwanaume akupata UTI huenda Sio UTI ya kawaida na mara Nyingi Huwa tunaichukulia kama UTI inayotokana na magonjwa na Ngono!..

Kama una swali karibu
Aisee kwaiyo nitakua ni gonorrohea patient mm
 
Ila wanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unaumwa nguvu za kusimamisha hovyo unazikuta wapi??
Inategemea na homa uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hujui?
 
Hiyo ni kweli mkuu, kuna muda inafikia upo na manzi yako geto imesimama ile ukitaka kuingiza hivi inasinyaa.... Hiyo kitu siyo ya kuletea mchezo
 
UTI inaweza kuwa moja ya sababu nyingi zinazokusababishia tatizo hilo.Una matatizo mengine zaidi kuliko UTI.Ukifunguka vizuri unaweza kusaidika kuliko kujifichia kwenye UTI
 
Back
Top Bottom