Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

AshaDii Tafsiri ya kubaka inamuondoa mwanaume kwenye uwezekano wa kubakwa kwamba ili tendo la kubaka ili liwe kubaka ni pale ambapo hiyari ya upande mmoja haipo! Sasa kwa mwanaume ambaye hana hiyari yake uume wake huwa ni vigumu kuamka!

Kwa hiyo basi ikiwa amelazimishwa mpaka kufikia uume kuamka basi kuna dalili za kuridhia hivyo anakuwa hajabakwa ila ameridhia.

Labda kama mbakaji wa kike atatumia toys kubaka mwanaume, tunaweza kuweka kwenye uwezekano huo.
 
We wifi wew, mim sijui hiyo mambo, mim nachagua mtu sahih kwa wakati sahihi, sitaki kubakwa.

Hahahaaaaa mweee kumbe nishakuwa wifi tena, haya wifi wa hiari, sasa mbona unang'ang'ania mie nikabakwe?
 
We bakwa tu wifi, mmeambiwa mvumiliane kwenye shida na raha. Hahahahaha!!

Daaah!! Kweli nimeamini damu nzito kuliko uji, yaani unamtetea ndugu yako tu, wellbeing yangu haikuhusu kabisaaa!! Mie mwanamke mwenzio wifi ujue!
 
Daaah!! Kweli nimeamini damu nzito kuliko uji, yaani unamtetea ndugu yako tu, wellbeing yangu haikuhusu kabisaaa!! Mie mwanamke mwenzio wifi ujue!

Wifi jamani, wanaobakana hawapendani, watu wakipendana kila siku siku,
Wewe sisi tunakupenda nyang'anyang'a .
 
"Kupendana" oooh kumbe unajua lazima iwe two way traffic?

Hivi wifi mbona unamdomo kama chuchunge???

Nakusubiria ukisia mdogo wangu anatoka na karembo fulani, uje na chozi hadi mguuni, nitakubarasa hadi utajuta kuwa wifi. Unanitesea sana mdogo wangu.
 
Hivi wifi mbona unamdomo kama chuchunge???

Nakusubiria ukisia mdogo wangu anatoka na karembo fulani, uje na chozi hadi mguuni, nitakubarasa hadi utajuta kuwa wifi. Unanitesea sana mdogo wangu.

Hahahaaaaa!! Eti mdomo kama chuchunge!! Nilishakuambia siji ng'oooo, nitaugulia mwenyewe kimya kimya.
 
Makubaliano yashafanyika wakati wa ndoa basi kilichobaki ni kutimiza tu mwanzo mwisho labda awe katika siku zake ndo off
 
Hahahaaaaa!! Eti mdomo kama chuchunge!! Nilishakuambia siji ng'oooo, nitaugulia mwenyewe kimya kimya.


Hahahahahaha!!! Wewe ole wake nisikie anapepesa macho kwa akina rubii, nitamsema kama mzaramo, hadi atakufa.
 
Last edited by a moderator:

AshaDii;
Wewe una muda gani katika ndoa? Inaonesha weye upo kwenye nadharia zaidi kuliko matendo. Kusema ukweli, kama ndoa yenu ni Sound, yaani haina mafigisufigisu yoyote. Mnapendana, hakuna kubakana.

Wengi hawavai nguo ya ndani. Mzee akimgusa tu huacha hata kupika akaenda chumbani akampa ndio arudi tena kuongeza moto sufuria isiungue. Upo hapo.

Ubakaji hutokea, pale mwenzi ke anapokuwa amepoteza mapenzi. Mke atasemaje ati hana hamu? Unataka me aende wapi? Unataka akajichue tena ka vijana wadogo? Upo pale ili kujaza choo au?

Kuna mama mmoja ameleta thread hapa kuwa pamoja na kipondo cha kila siku, alipokimbilia kwao ameenda kukuta ni mja mzito. Can you believe that? Namsifu sana huyu mama, alimpenda mwenzake kwa moyo wake wote.

Hata akikupiga, kama akiweka mkono juu ya pichu yako tayari unasahau kipigo unatamani umsikie ndani yako tu. Hakuna ubakaji ndani ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…