Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Ndoa ni hiari ya tendo la ndoa, kosa la kubaka linatokana na kukosa hiari kwa mwanamke, hivyo hakuna kubaka wawili wakiwa kwenye ndoa labda kama wametengana.
 
Ndoa ni hiari ya tendo la ndoa, kosa la kubaka linatokana na kukusa hiari kwa mwanamke, hivyo hakuna kubaka wawili wakiwa kwenye ndoa labda kama wametengana.
Kwa sheria za Tanzania marital rape haipo.
 
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa mwanamke anaebakwa na mumewe mara nyingi anaamini kuwa wanawake wote wanabakwa. Nina ndugu anabakwa na mumewe daily. Anakiri hajapata orgasm for the past 5 years (nahisi ya mumewe manake siamini kama hana affair aisee).
Tunabakwa kila siku na hatusemi (naomba mungu my huby asisome hapa BE)

Hii sheria ni muhimu saaa. Mwanaume wa kweli furaha yake ni kuona mwanamke anafurahia tendo. Tena mwanaume wa kweli akiona mwenza hafurahii yuko tayari kukatisha mechi na kujadili mbinu mbadala.

Usiongelee tu alietoka kwenye pombe na kuparamia mke. Kuna anaetoka atokako, anampiga mkewe na kulazimisha tendo. Na wanawake badala ya kuchukua hatua, anaamua kuwa na affair amanake mapenzi hayapo hapo. Well, binafsi labda nisingeenda mahakamani, lakini seriously nitamuacha. Tena tendo la kubaka halitafanikiwa manake nitamtukana hadi kibamia kita-cease!
Sheria inayotumika ni hii hii ya kawaida ya kubakana ila tatizo kwetu sisi ni mwanamke gani yupo tayari kwenda kusimama kizimbani kumshitaki mumewe kambaka?

Ila watafiti wanasema wanawake waliomo kwenye ndoa wengi wanabakwa na waume zao!!

Kwa mfano mwanaume katoka huko na mipombe yake saa saba za usiku kakuta mkewe kalala then kamkurupua usingizini bila hata ya kumuandaa anaanza kulazimisha tendo........huo ndiyo ubakaji ndani ya ndoa brooo!!! Kwa sababu tendo la ndoa ni maandalizi ndugu yangu!!

Ukimfanyia hivyo mkeo, akaenda polisi kutoa maelezo akapewa PF3 na kwenda hospital na daktari akaconfirm kwamba kweli anamichubuko inayotokana na kulazimishwa tendo la ndoa na akakusimamisha kizimbani umembaka!!! Loh!! Unakwenda jela miaka yako kadhaa kama wabakaji wa kawaida tu!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mahari ni tooeeh. Tena dume kadha tu naja home nina hamu na tunda tena haswa apo na kama wik sija kugusa eti we una nijibu fyoko fyoko sitaki kuguswa we we unazani nita acha kukubaka kweli dah. Liwalo na liwe nakubaka na ukileta ugumu vitanzi apo apo una kula.
 
Hata mume ku-mdo mkewe bila kumfikisha kileleni ni ubakaji!

(Inabidi kama hicho kipengele hakipo hyo sheria iwe reviewed)

Kwi kwiiiiiiiii msinirushie mawe wajameniiii!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wachangiaji wengi wameonyesha kwa ubakwaji kwa akina mama ktk ndoa upo. Lakini hakuna aliyenifafanulia iwapo na mume anaweza kubakwa na mke katika ndoa au la! Na vipi sheria inasema nini kuhusu hili? Au inawapendelea akina mama peke yao? Je mwanaume akibakwa na yeye niende polisi kupata PF3 aende kwa daktari?

Mwanaume huwa hakatai papuchi.. .. So hakuna mwanaume kubakwa.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Shame on you!!!!!!!do you think that' funny?em tell me it's just a joke can't believe kuna wanaume ambao bado wana mila za kizamani eti ooh nimetoa mali,kwa hiyo we kwa maoni yako unafikiri huyo mkeo anakupenda bado kwa hiyo tabia yako au??????kama ni kweli una hiyo tabia hebu badilika!!!!!!!
Mahari ni tooeeh. Tena dume kadha tu naja home nina hamu na tunda tena haswa apo na kama wik sija kugusa eti we una nijibu fyoko fyoko sitaki kuguswa we we unazani nita acha kukubaka kweli dah. Liwalo na liwe nakubaka na ukileta ugumu vitanzi apo apo una kula.
 
Nafikiri mume kubaka ni pale anapolazimisha tendo wakati mke hayupo tayari

nawewe mwanamke ukilazimisha hubaki? mbona huu naona ushetani maana kwenye ndoa si kila mmoja atakuwa kufanya tendo ila inategemeana na mwenzi wako anataka basi manapeana
 
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa mwanamke anaebakwa na mumewe mara nyingi anaamini kuwa wanawake wote wanabakwa. Nina ndugu anabakwa na mumewe daily. Anakiri hajapata orgasm for the past 5 years (nahisi ya mumewe manake siamini kama hana affair aisee).

hii sheria ni muhimu saaa. Mwanaume wa kweli furaha yake ni kuona mwanamke anafurahia tendo. Tena mwanaume wa kweli akiona mwenza hafurahii yuko tayari kukatisha mechi na kujadili mbinu mbadala.
Usiongelee tu alietoka kwenye pombe na kuparamia mke. Kuna anaetoka atokako, anampiga mkewe na kulazimisha tendo. Na wanawake badala ya kuchukua hatua, anaamua kuwa na affair amanake mapenzi hayapo hapo. Well, binafsi labda nisingeenda mahakamani, lakini seriously nitamuacha. Tena tendo la kubaka halitafanikiwa manake nitamtukana hadi kibamia kita-cease!

Kooote sijaona nimeona hapo tu kwenye red ha ha ha ha acha vituko wewe
 
Statistics has it that 64% of married women in United states are raped everyday. Assumption is there is always no consent when it comes to sexual intercourse. Reasons for this is fatigue from daily works that one fails to give consent and as a result ending up in pleasing the spouse rather than participating in the act.
I hope when you understand the word consent you can be able to deduce that even men are prone to be raped.
 
Haya nimeyaona, unajua tuliopo kwenye ndoa maranyingi tunapata shida sana pale unapokuwa na mke halafu muda mwningine anakufanyia makusudi, mfano toka ukiwa kazini mfano umempigia simu na kumtaarifu jambo lako...na bila sababu jioni unajua utapata,ikifika muda anaanza kuleta shida mara atakuambia amechoka au hajisikii... au anakubali fore play kwenye mchezo kamili anakataa... kwa nini hapo mtu asilazimishie...ndo wanadai wamebakwa..
 
Statistics has it that 64% of married women in United states are raped everyday. Assumption is there is always no consent when it comes to sexual intercourse. Reasons for this is fatigue from daily works that one fails to give consent and as a result ending up in pleasing the spouse rather than participating in the act.
I hope when you understand the word consent you can be able to deduce that even men are prone to be raped.

u've offered a precise definition of rape. I concur with you and actualy i dismis the moderator's conception of rape as simply missing orgasm
 
mhh! Kwa tanzania bwana hii haipo. Kama tutachukulia wikipedia kama source ya information, tanzania inatambua marital rape pale mume na mke wanapokuwa wametengana.
marital rape - wikipedia, the free encyclopedia
next time dena mpe tu kwa raha zenu....

siyo wikipedia tu, sheria ya ndoa tanzania ya 1971, iko hivyo, tatizo ni watu ambao hawajasoma sheria pamoja na wanaharakati uchwara huko mitaani wanapotosha ukweli huu, lakini kubakwa itategemea endapo mtakuwa mumetengana, hapo ukilazimisha yako bila malidhiano ni ubakaji kisheria!
 
Very well said Best...:yo::yo::yo:

Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa mwanamke anaebakwa na mumewe mara nyingi anaamini kuwa wanawake wote wanabakwa. Nina ndugu anabakwa na mumewe daily. Anakiri hajapata orgasm for the past 5 years (nahisi ya mumewe manake siamini kama hana affair aisee).

hii sheria ni muhimu saaa. Mwanaume wa kweli furaha yake ni kuona mwanamke anafurahia tendo.
Tena mwanaume wa kweli akiona mwenza hafurahii yuko tayari kukatisha mechi na kujadili mbinu mbadala.
Usiongelee tu alietoka kwenye pombe na kuparamia mke. Kuna anaetoka atokako, anampiga mkewe na kulazimisha tendo. Na wanawake badala ya kuchukua hatua, anaamua kuwa na affair amanake mapenzi hayapo hapo. Well, binafsi labda nisingeenda mahakamani, lakini seriously nitamuacha. Tena tendo la kubaka halitafanikiwa manake nitamtukana hadi kibamia kita-cease!
 
cho thue kho HoÃ-ng Mai HN

Di?n tÃ-ch cho thue kho: Hon 2000 m2 (kho) vÃ- 370 m2 x 2 t?ng (nhÃ- di?u hÃ-nh)

H? th?ng cho thue kho n?m trong KCN, xu?ng d?p, cao, xe container ra vÃ-o r?t thu?n ti?n, b?o v? 24/24, r?t thu?n l?i cho vi?c lÃ-m xu?ng s?n xu?t, lÃ-m kho hÃ-ng, m? trung tâm dÃ-o t?o vÃ- d?y ngh?.

Gi?y t? d?y d?, xu?t du?c hóa don. Di?n 3 pha, nu?c d?y d?.

uu tiên cho thue kho lâu dÃ-i.

Quý khách có nhu c?u vui lòng liên h?:

Ms Dung: 0462733819

Email: dungkmass@gmail.com

Công ty CP Tu v?n BDS Kmass Vi?t Nam

P 213, 51 D?c Ng?, Ba Dình, HÃ- N?i, VN

http://kmassproperty.com

http://batdongsankmass.com
 
Back
Top Bottom