uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
toa majibu. kama huna majibu kaa kimya mdau
Hakuna ulichouiza, umeandika tu mitazamo yako ya kijinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toa majibu. kama huna majibu kaa kimya mdau
mimi tena nimeandika wapi mkuu hiyo mitazamoHakuna ulichouiza, umeandika tu mitazamo yako ya kijinga.
Imeandikwa husimjaribu Bwana Mungu wako. 🙏🙏🙏🙏Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.
Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?
Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.
Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.
Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Nimekuuliza wewe ushawahi kumuona?Haya ipo siku utamuona
Its okay akiniheshimu ila siwezi kumchoma moto wa milele akishindwa kufanya hivyowatoto uliowazaa au mke uliyemuoa au mtu uliyemuajiri huhitaji akuheshimu?
Hayo mambo ya dini sio ya kweli. Ni watu waliotunga dini ndio waliamua kuingiza vitisho ili watu waogope waanze kumuabudu huyo hewa anaeitwa mungu.Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.
Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?
Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.
Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.
Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
why wakuheshimu sasaIts okay akiniheshimu ila siwezi kumchoma moto wa milele akishindwa kufanya hivyo
mambo ya dini ya ukweli ila kuna namna yamepotoshwa sanaHayo mambo ya dini sio ya kweli. Ni watu waliotunga dini ndio waliamua kuingiza vitisho ili watu waogope waanze kumuabudu huyo hewa anaeitwa mungu.
Mungu wa kwenye dini hatupo, zile ni hadithi za kutunga.
Msingi mkuu wa dini ni uwepo wa mungu na maisha baada ya kifo yanayotolewa na mungu.mambo ya dini ya ukweli ila kuna namna yamepotoshwa sana
Ukweli mchungu ni huu :Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.
Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?
Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.
Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.
Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
aiseeHayo mambo ya dini sio ya kweli. Ni watu waliotunga dini ndio waliamua kuingiza vitisho ili watu waogope waanze kumuabudu huyo hewa anaeitwa mungu.
Mungu wa kwenye dini hayupo, zile ni hadithi za kutunga.
mungu wa kwenye dini hayupo ,ni mungu yupi yupo mkuuMsingi mkuu wa dini ni uwepo wa mungu na maisha baada ya kifo yanayotolewa na mungu.
Sasa kama mungu hayupo mambo mengine yote yaliyobaki yanakua hayana maana.
Mungu wa kwenye dini hayupo, zile ni stori zisizo na kichwa wala miguu.
Mungu ana kitu kinaitwa Mungu hakipo. Zile ni hadithi kama hadithi nyingine za sungura na fisi.mungu wa kwenye dini hayupo ,ni mungu yupi yupo mkuu
Mungu Yupo . Ameumba kila kitu ili kila mmoja achague maisha yatayompa Raha. Hatamuadhibu yoyote, Lifestyle yako itaamua urefu wa maisha yako. Hizo habari za Jehunum, Uzima wa milele ni hadithi za kale. Dini ni BiasharaHabari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.
Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?
Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.
Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.
Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Hatukupingi Mungu yupo na anapenda wema. Tatizo hizo dini ,ngoja nikuulize swali. Yesu amejitoa sadaka kwaajili ya dhehebu lipi? Roman? Luheran? TAG?SDA? Mashaidi wa Yehova? Anglican? Ukifikiri vuzuri utagundua Mungu yupo ila mengine ni Hadithi za Uongo.Hizo pumzi ndio zinawatia viburi haya endeleeni kumdhihaki mungu
Ila mkipata mitihani kidogo tu ndio mnajifanya mnasali hadi mnalia, kumbuka ipo siku isiyokuwa na jina malaika wa mauti atakutokea na hapo muda wako wa kutubu utakuwa umeisha
Hata huyo yesu unayemtaja alivyoleta ujumbe wake wengi walimpinga na kusema kuwa ni mzushi na muongo, endeleeni kumdhihaki mungu ila kila jambo lina mwisho wake na kila kiumbe kitavuna kilichopandaHatukupingi Mungu yupo na anapenda wema. Tatizo hizo dini ,ngoja nikuulize swali. Yesu amejitoa sadaka kwaajili ya dhehebu lipi? Roman? Luheran? TAG?SDA? Mashaidi wa Yehova? Anglican? Ukifikiri vuzuri utagundua Mungu yupo ila mengine ni Hadithi za Uongo.
Kwanza wanadamu tunajiangaisha bure na hizo sijui jehanamu au Pepo. Hakuna atakayeingia huko ht mmoja mana miungu wenyewe hawaelewani. Huyu Wa wakristo anayeitwa Jehova atawachoma moto watu wote wasiyomfuata Yesu na kumfanya kuwa Bwana na Mwokozi wao. Na Yesu mwenyewe, kwenye hivyo vitabu vyao, alisema huwezi kwenda kwa Baba yake (Jehova) bila kupitia kwake. Watakaochomwa moto ni pamoja na Wabudha, Waislaam, Wahindu, Washinto na wote wasiyofuata masharti ya Jehova. Sasa hapo pia mjue yupo Allah, Subhannah Wa Taalah, naye kasema watu wote wasiomtambua km yeye yupo peke yake na Mudi ndiye mjumbe (Mtume) wake nao watatiwa motoni wote, tena kwa kushindiliwa humo kwa unyayo wake mwenyewe. Ss akiona Jehova kawatia watu wake motoni unafikiri atakubali? Naye atawatia motoni watu wote wa Johova (Wakristo) wote motoni wakiwemo wahindu, wabudha, Washinto na wote wasiyo timiza masharti yake. In short hakuna atakaye bikiri mahurulain, kunywa pombe kwenye Wala watakaofurahi kwa kuimba huko mbinguni. Wote motoni dadadeki. Wangemaliza tofauti zao hawa miungu ili tujue la kufanya Sisi watu wao. Lkn kwa mashindano yao haya hata ukiamua kujipendekeza kwa mmoja wao ukafuata masharti yake yote bado ni kazi bure tu mana wote wana nguvu kubwa tu, kwa mujibu wa hivyo vitabu vyao. Wafia Dini mnajisumbua bure tu. Wote motoniii......Hatukupingi Mungu yupo na anapenda wema. Tatizo hizo dini ,ngoja nikuulize swali. Yesu amejitoa sadaka kwaajili ya dhehebu lipi? Roman? Luheran? TAG?SDA? Mashaidi wa Yehova? Anglican? Ukifikiri vuzuri utagundua Mungu yupo ila mengine ni Hadithi za Uongo.