Je, Mwenyezi Mungu anaweza kutenda hivi?

Je, Mwenyezi Mungu anaweza kutenda hivi?

Jibu ni moja "Jifunze kuongea na Mungu" ukifanikiwa hilo we muulize maswali yako yote atakujibu.
 
Naweza kuongea na mmoja niliyemchagua, atanihakikishia ana uwezo kuliko mwenzake, lkn mwenzake naye akasema ana uwezo kuliko yeye. Sasa hapo unafanyaje? Waelewane kwanza halafu watoe muongozo mmoja kwa watu wao
 
Kwanza wanadamu tunajiangaisha bure na hizo sijui jehanamu au Pepo. Hakuna atakayeingia huko ht mmoja mana miungu wenyewe hawaelewani. Huyu Wa wakristo anayeitwa Jehova atawachoma moto watu wote wasiyomfuata Yesu na kumfanya kuwa Bwana na Mwokozi wao. Na Yesu mwenyewe, kwenye hivyo vitabu vyao, alisema huwezi kwenda kwa Baba yake (Jehova) bila kupitia kwake. Watakaochomwa moto ni pamoja na Wabudha, Waislaam, Wahindu, Washinto na wote wasiyofuata masharti ya Jehova. Sasa hapo pia mjue yupo Allah, Subhannah Wa Taalah, naye kasema watu wote wasiomtambua km yeye yupo peke yake na Mudi ndiye mjumbe (Mtume) wake nao watatiwa motoni wote, tena kwa kushindiliwa humo kwa unyayo wake mwenyewe. Ss akiona Jehova kawatia watu wake motoni unafikiri atakubali? Naye atawatia motoni watu wote wa Johova (Wakristo) wote motoni wakiwemo wahindu, wabudha, Washinto na wote wasiyo timiza masharti yake. In short hakuna atakaye bikiri mahurulain, kunywa pombe kwenye Wala watakaofurahi kwa kuimba huko mbinguni. Wote motoni dadadeki. Wangemaliza tofauti zao hawa miungu ili tujue la kufanya Sisi watu wao. Lkn kwa mashindano yao haya hata ukiamua kujipendekeza kwa mmoja wao ukafuata masharti yake yote bado ni kazi bure tu mana wote wana nguvu kubwa tu, kwa mujibu wa hivyo vitabu vyao. Wafia Dini mnajisumbua bure tu. Wote motoniii......
Umenena hakika
 
Hata huyo yesu unayemtaja alivyoleta ujumbe wake wengi walimpinga na kusema kuwa ni mzushi na muongo, endeleeni kumdhihaki mungu ila kila jambo lina mwisho wake na kila kiumbe kitavuna kilichopanda
Hujajibu swali mkuu.. Yesu ni wa dhehebu lipi?
 
Hii miungu ni ya ajabu mno,Imagine mungu anaamrisha watu wenye midevu waliovalia makobazi wajifunge mabomu viunoni wakajilipue ili kuua wengine.Si mda kuna mmoja wetu povu litaanza kummiminika kinywani lakini ndio uhalisia
 
Tunaenda pamoja. Je Madhehebu yote wanaamini wao ni wamoja?
Siyo lazima kuamini hivyo maana kwenye mapokeo na mafundisho utafauti lazima utatokea, ila wote wanaamini uwepo wa mungu, tofauti na wewe na mleta mada mliojawa viburi kisa tu mpo hai na mnavuta pumzi ya bure hadi mnafikia kumdhihaki mungu ,siku yenu haipo mbali, hata farao alikuwa na akili mbovu kama zenu angalia kilichomkuta
Usidanganyike fanya utubu acha ujuaji
 
Siyo lazima kuamini hivyo maana kwenye mapokeo na mafundisho utafauti lazima utatokea, ila wote wanaamini uwepo wa mungu, tofauti na wewe na mleta mada mliojawa viburi kisa tu mpo hai na mnavuta pumzi ya bure hadi mnafikia kumdhihaki mungu ,siku yenu haipo mbali, hata farao alikuwa na akili mbovu kama zenu angalia kilichomkuta
Usidanganyike fanya utubu acha ujuaji
🔵Narudia tena. Mungu yupo, Dini ni Hadithi. Mungu kwenye Maandiko ni complicated mpaka watu wametengana.

Iko sheria ya Hekima inayokubalika na kila Dini, Falsafa, kabila, kila Tabaka na kila mtu.. Inaitwa;

👉GOLDEN RULE: Watendee wengine sawa na unavyopenda kutendewa wewe.

🟤Kama ni jambo lisilofaa kumtendea mwingine kuna Alarm inakufanya usite kwanza. Hii iko Automatic na hutakiwi kupingana nayo [Hutakiwi kushindana na kitu usichoweza kukibadili}. Wanaoshindana na alert hii huishia kujutia au kupata matokeo yenye maumivu.

🟢Wanaoisikia alert hii na Kujizuia Ni kundi la watu Wenye nguvu nyingi. ambao wanamafanikio makubwa sana Wana uwezo wa kushinda kishawishi chochote, Kutumia pesa vizuri nk. Hii alert inatusaidia kujiepusha na vingi [Tamaa, Upumbavu, Udhalimu nk}


NB: Mungu ametuumba na kutupa vieelelezo vya kutosha ambavyo tukitafakari kwa kina {Meditation} Tunauona uwezo wake like Mfumo wa miili yetu wenyewe, Mimea, Wanyama, Maji, Mvua, Jua, Nyota. Vinatosha kua kielekezo cha kutafakari na kuona nguvu zake na kuthibitisha kua yupo na Kwamba Anaweza kutufanyia chochote akiamua.

🟢 Dini ni matokeo ya fikra za wanadamu. Labda walioanzisha walikua na nia njema lakini wakakosa Hekima ya kumuelezea. Wakapunguza ubora wa Mungu kwenye maandiko: Wakamdhihaki Eti mfano Mungu atachoma moto wanadamu kwa uzembe wake mwenyewe wa kumuumba Shetani.

Binafsi hua nasoma Biblia. Kuna concept zingine ziko safi tu lakini nyingi ziko very complicated.. like Utatu Mtakatifu, Kunena kwa lugha, Siku rasmi ya kuabudu, Ulaji, Uvaaji, Unywaji, Sadaka, Michango, Ndoa, Taraka, Namna ya kusali, Kufunga, Ubatizo, Moto wa milele, Simulizi ya yesu kutoka miaka12 hadi anarudi na kubatizwa akiwa na miaka30 kufichwa na vingine vingi. Vinafanya utengano kimadhehebu.

MUNGU YUPO!! Muamini Tenda mema. Ukimkosea mtu mara moja mteendee wema mara 2,3,4..

Dini ni Fursa ya wahuni kupigia pesa.. Umewahi kujiuliza zile sadaka zinaenda wapi? 😂😂
 
Halafu wanasema ana uwezo wote, anajua yote, yaani anajua mwisho kabla ya mwanzo. Kwa hiyo alijua hata angemkataza vipi Adam kula tunda la mti wa Kati Adam angekula tu. Sasa alimlamu kwanini wakati alijua Huo mtihani hataushinda? Hizi Ni fikra za watu baada ya kukosa majibu ya maswali waliyokuwa wakiulizwa huko Zamani. Hizi hekaya haziingii kwenye akili za watu wanaohoji. Unatakiwa ukubali tu ht km kitu hakina mazntiki ndo uitwe mwenye Imani
.
 
Ukweli mchungu ni huu :

1. Asilimia zaidi ya 98 % ya wafata dini za Ibrahim (Ukristo, uislam na Uyahudi/Judaism) hawajui kwa undani mafundisho ya vitabu vya dini hizo.

Nasema hivo kwa sababu, waumini wa hizi dini iwe maimamu, ma-askofu, rabi au waumini wa kawaida, ukiwauliza maswali kutoka humo humo kwenye vitabu vya dini.zao, wanakuwaga hawana majibu zaidi ya kudana dana tu.

Ukiisoma biblia au Quran, unaibuka na maswali chungu nzima ambayo wahusika/waumini wa hizo dini hawana majibu ya kueleweka.

Na watu wakishakosa majibu ya maswali yao ndiyo wanaanza kuona dini miyeyusho.

Mimi ni mkristo (mluteli) juzi kuna mpuuzi mmoja msabato juzi hapa nilimzaba kibao baada ya kunipigia makelele eti niamini YESU ni MUNGU.

Nilijaribu kusoma vitabu vyote vya injili kuanzia Mathayo,luka, marko na yohana sijaona mahali YESU amejiita yeye ni Mungu.

Na nikakutana na mstari mmoja unasema Yesu alikuwa akipita mahali kuna mtu alimfata akawa anamwita "Mwalimu mwema" lakini Yesu alimkanya kumwita jina hilo na akamjibu kuwa "Hakuna aliye Mwema ila Mungu pekee"

Hapo Yesu aliweka Wazi kuwa hakuwa Mungu.

Na katika shughuli zake zote Yesu kwenye Biblia amejitambulisha kuwa Mwana wa Mungu na siyo Mungu, au mwana wa Adam.

Na mara kibao alikuwa anaonekana kumwomba Mungu amsaidie.

Sasa sijui kundi hili la wakristo limekujaje kurasimisha kuwa Yesu ni Mungu.

Yesu alisamehe dhambi sawa, alifufua watu sawa ila hiyo haitoshi kusema kuwa ndiyo alikuwa Mungu.

Na siku ya kiama amesema atakuja mwenyewe kutuchukua maana alienda kwa Baba (Mungu) kutuandalia makao ili alipo yeye na sisi tuwepo, na kwa sasa ameketi mkono wa kuume wa Baba (Mungu).

Lakini tuachane na hizo hadithi, zote tumezikuta na zitaendelea na suala ni za kweli au uwongo hilo utajua mwenyewe na roho yako.

NB : Suala la Mungu yupo au Hayupo, hilo ni yeye mwenyewe tu akuambie, kwa kusoma vitabu vya dini utachanganyikiwa na kupata wazimu bure.

Ukiisoma biblia yote vizuri unaweza unajikuta unampa Mungu sifa ya UGAIDI, lakini ndiyo alikuumba ataamua yeye akutumieje.

Kitu kimoja tu kinachonifanyaga niamini kuna Mungu, ni uumbaji wa huu ulimwengu ulivyo pamoja na viumbe vyake.

Asikudanganye mtu eti ni asili (nature) hakuna nature inaweza kuumba kwa mpangilio huo.

Lazima kuna aliyevipangalia, jina lake ni nani maimi ndiyo sijui utamwita Mungu au nani utajua mwenyewe.
KAMA NA WEWE UPO KWENYE MADHEHEBU YA DINI BASI JUA TU KUWA NA WEWE NDIYO WALE WALE WAPUMBAVU
 
Dini na uwepo wa MUNGU is so complicated tunaishi Kwa Imani tu kuamini . Mfano mwanadamu anaeza asiliamini jambo flani katika maisha au asimwamini mtu flani , je akiwaza dini na uwepo wa MUNGU akawa na mashaka akawa haamini je anakuwa na kosa? Mana MUNGU kamuumba na hisia za uaminifu Yani kuamini au kutokuamini jambo pia kamuumba na maarifa na maarifa hayo hayo ndo mwanadamu kayatumia kufikiria juu ya uwepo aliyemuumba .Note; swala ni kuamini na kutokuamini Wala sio kukaidi mana hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo . Ko usiseme flani amekaidi dini sijui anamkufuru MUNGU mana swala ni IMANI ( kuamini au kutokuamini)
 
Kwanza wanadamu tunajiangaisha bure na hizo sijui jehanamu au Pepo. Hakuna atakayeingia huko ht mmoja mana miungu wenyewe hawaelewani. Huyu Wa wakristo anayeitwa Jehova atawachoma moto watu wote wasiyomfuata Yesu na kumfanya kuwa Bwana na Mwokozi wao. Na Yesu mwenyewe, kwenye hivyo vitabu vyao, alisema huwezi kwenda kwa Baba yake (Jehova) bila kupitia kwake. Watakaochomwa moto ni pamoja na Wabudha, Waislaam, Wahindu, Washinto na wote wasiyofuata masharti ya Jehova. Sasa hapo pia mjue yupo Allah, Subhannah Wa Taalah, naye kasema watu wote wasiomtambua km yeye yupo peke yake na Mudi ndiye mjumbe (Mtume) wake nao watatiwa motoni wote, tena kwa kushindiliwa humo kwa unyayo wake mwenyewe. Ss akiona Jehova kawatia watu wake motoni unafikiri atakubali? Naye atawatia motoni watu wote wa Johova (Wakristo) wote motoni wakiwemo wahindu, wabudha, Washinto na wote wasiyo timiza masharti yake. In short hakuna atakaye bikiri mahurulain, kunywa pombe kwenye Wala watakaofurahi kwa kuimba huko mbinguni. Wote motoni dadadeki. Wangemaliza tofauti zao hawa miungu ili tujue la kufanya Sisi watu wao. Lkn kwa mashindano yao haya hata ukiamua kujipendekeza kwa mmoja wao ukafuata masharti yake yote bado ni kazi bure tu mana wote wana nguvu kubwa tu, kwa mujibu wa hivyo vitabu vyao. Wafia Dini mnajisumbua bure tu. Wote motoniii......

🤣🤣🤣🤣
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Kiranga
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Habari za mwenyezi Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu, kiuhalisia, nje ya hizo hadithi za kutungwa na watu, huyo Mungu hayupo.
 
Ukweli mchungu ni huu :

1. Asilimia zaidi ya 98 % ya wafata dini za Ibrahim (Ukristo, uislam na Uyahudi/Judaism) hawajui kwa undani mafundisho ya vitabu vya dini hizo.

Nasema hivo kwa sababu, waumini wa hizi dini iwe maimamu, ma-askofu, rabi au waumini wa kawaida, ukiwauliza maswali kutoka humo humo kwenye vitabu vya dini.zao, wanakuwaga hawana majibu zaidi ya kudana dana tu.

Ukiisoma biblia au Quran, unaibuka na maswali chungu nzima ambayo wahusika/waumini wa hizo dini hawana majibu ya kueleweka.

Na watu wakishakosa majibu ya maswali yao ndiyo wanaanza kuona dini miyeyusho.

Mimi ni mkristo (mluteli) juzi kuna mpuuzi mmoja msabato juzi hapa nilimzaba kibao baada ya kunipigia makelele eti niamini YESU ni MUNGU.

Nilijaribu kusoma vitabu vyote vya injili kuanzia Mathayo,luka, marko na yohana sijaona mahali YESU amejiita yeye ni Mungu.

Na nikakutana na mstari mmoja unasema Yesu alikuwa akipita mahali kuna mtu alimfata akawa anamwita "Mwalimu mwema" lakini Yesu alimkanya kumwita jina hilo na akamjibu kuwa "Hakuna aliye Mwema ila Mungu pekee"

Hapo Yesu aliweka Wazi kuwa hakuwa Mungu.

Na katika shughuli zake zote Yesu kwenye Biblia amejitambulisha kuwa Mwana wa Mungu na siyo Mungu, au mwana wa Adam.

Na mara kibao alikuwa anaonekana kumwomba Mungu amsaidie.

Sasa sijui kundi hili la wakristo limekujaje kurasimisha kuwa Yesu ni Mungu.

Yesu alisamehe dhambi sawa, alifufua watu sawa ila hiyo haitoshi kusema kuwa ndiyo alikuwa Mungu.

Na siku ya kiama amesema atakuja mwenyewe kutuchukua maana alienda kwa Baba (Mungu) kutuandalia makao ili alipo yeye na sisi tuwepo, na kwa sasa ameketi mkono wa kuume wa Baba (Mungu).

Lakini tuachane na hizo hadithi, zote tumezikuta na zitaendelea na suala ni za kweli au uwongo hilo utajua mwenyewe na roho yako.

NB : Suala la Mungu yupo au Hayupo, hilo ni yeye mwenyewe tu akuambie, kwa kusoma vitabu vya dini utachanganyikiwa na kupata wazimu bure.

Ukiisoma biblia yote vizuri unaweza unajikuta unampa Mungu sifa ya UGAIDI, lakini ndiyo alikuumba ataamua yeye akutumieje.

Kitu kimoja tu kinachonifanyaga niamini kuna Mungu, ni uumbaji wa huu ulimwengu ulivyo pamoja na viumbe vyake.

Asikudanganye mtu eti ni asili (nature) hakuna nature inaweza kuumba kwa mpangilio huo.

Lazima kuna aliyevipangalia, jina lake ni nani maimi ndiyo sijui utamwita Mungu au nani utajua mwenyewe.
Umemaliza Bro,Hamna Haja ya kuongeza
 
Back
Top Bottom