Je, na Wagombea wengine wa 'Urais' nchini Tanzania nao watakuwa na 'Confidence' kubwa ya Kuongea Kiingereza na Balozi wa US kama alivyoweza Lissu?

Umenena vema. Wasiojitambua hujitoa ufahamu na kumkiri mtu anayeongea kiingereza kuwa ni wa maana sana kuliko hata mzazi wake asiyejua Kiingereza.
Mbona ulishindwa kwenda Afrika Kusini kufundisha kiswahili, utabaki na ujinga wako unakaanga chips mayai mtaani.
 
Duh...yaani wewe kweli hujaelimika....yaani bado unafikiri kufahamu kiingereza ndiyo sifa?! Nenda mwananyamala na kinondoni utawakuta wamalawi wengi ma-houseboy na wakata michongoma wanaongea English..
Hao wamalawi wametumia fulsa ya kiingereza kupata kazi kwa wazungu, huko hakuna mshahara wa shilingi elfu sitini. Malawi akiachiwa kitu na bosi wake anao uwezo wa kusoma maelekezo na kukitumia ndiyo sababu wazungu wanapenda kuwaajiri, hebu nawe na kiswahili chako nenda Malawi ukaajiriwe na mzungu kama hukuonekans kituko.
 
Kwaio unachagua kiongoz anae weza kuongea vizur kingereza dah ivi una miaka mingap mkuu mbona mawazo yako na akil vinatia shaka ivi una Familia kweli? Next election tumpe uongoz Dada wema sepetu bas mana hata yeye anaongea kingereza kizur tu
 
Huo mstari ulioandika neno nasikia , ni uthibitisho tosha kwamba unapakatwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Law healer, heri ya mjinga kuliko mpumbavu wewe. Do you know the official language of Tanzania?
 
Lissu wenu anataka kuuza nchi...na baada ya uchaguzi anataka kutangaza serikali uhamishoni ...
Mwaka 1954 ni mwaka ambao TANU ilizaliwa ikiundwa na watanganyika werevu na wenye busara, sasa wewe choko unautumia huo mwaka kama identity kwa kuutia najisi na tabia zako za kichoko choko.
Unatumia nguvu nyingi kuandika ujinga hapa jf ukiamini ki reply kila comment kunakufanya uonekane umeandika senses kumbe ndio unazidi kujianika jinsi ulivyo mtupu kwenye hilo sanduku lako la kubebea meno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Rais unamfananisha na mjusi?! Yaani unafika huko na kumdharau Rais wa TZ kiasi hicho?! Ukikamatwa na kuburuzwa mahakamani utasema huo ni uminywaji wa demokrasia? Huna heshima kwa Rais wako na ambaye ni alama ya taifa? Duh
Acha upumbavu bwege wewe, tangu lini Rais akawa alama ya taifa tena rais mwenyewe mbaguzi anawezaje kuwa alama ya taifa.

Ndio nyinyi huwa mnasema uchapakazi wake ulimfanya awe mwenyekiti wa Sadc, sijui huko shule mlikuwa mnasomea jinsi ya kuwa mpumbavu mbobezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusiishie hapo, tuanze rasmi kukataa misaada ya aina yoyote kutoka Ulaya na Marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Makao makuu ya WB iliyotoa pesa ya kujenga ubungo interchange, barabara ya mwendo kasi ipo Washington na kule kiswahili is not a media of communication.Pesa iliyojenga daraja la Tazara imetoka Tokyo ambako pia kiswahili hakipo.Ugumu wa maisha unaowakabili watanzania for 5 years now kutokujua kiingereza cha mtu tuliyemuweka mbele unachangia kwa kiasi kikubwa
 
Kwa hiyo wewe hapa umeandika sense?! Kutumia neno 'choko' ndio umeandika sense?! Sasa aliyejuanika hapa kuwa ni Nani Kati yako na Mimi?! Unatumia silaha ya matusi kunyamazisha wengine hapa?! Kaanze Kwanza kumwambia baba yako mzazi na mama yako mzazi kuwa ni machoko pengine kwa kufanya hivyo utaelewa maana yake na labda hutawatamkia wengine neno Hilo....kwa uelewa wako mwaka 1954 unahusu TANU tu...kutumia matusi katika kujenga hija ni isanity na wewe pengine unaelekea huko? Hivi Mimi kuhoji kwanini mwenzetu anamfananisha Rais wetu na mjusi ndiyo uniite choko ?! Kwanini?! Nchi hii imeanza kuwa na wendawazimu wengi...
 
Kingereza hakijawahi kunijengea hata kilomita moja ya barabara ya lami
Umenifurahisha sana, Mkuu. Yaani roho yangu kwatu asubuhi hii.
====
Ajabu sana, kuna baadhi ya watanzania wanafikiria kuongea kiingereza ni ishara ya weledi na ustaarabu!!! Mambo ya ajabu sana haya, hawajui kuwa kuna wahuni na wapuuzi wanatema "ung'eng'e" uliopangika kuzidi hata walimu wa lugha hiyo kutoka UK kwenyewe!!!
 
Hao wamalawi hawaajiriwi na wazungu tu...Kama umeshawahi kukaa mwananyamala na kinondoni utakuja na jibu zuri hapa...English siyo Kila kitu...watu hao baadhi yao hawajui hata kusoma na kuandika..jengeni hoja nzuri...English is not everything...hayo ni mawazo ya ukoloni...wale walioweza kuongea English wakati huo walikuwa wanajiona na kujifananisha na wazungu...
 
Kuw mzalendo wa lugha yako ya Taifa kwanza
 
Kingereza kinamsaidia nini mtu mweusi wa hapa Africa...nadhani JF ina watoto wengi sana
 
Mbona ulishindwa kwenda Afrika Kusini kufundisha kiswahili, utabaki na ujinga wako unakaanga chips mayai mtaani.
Mimi si mwalimu, kwahiyo siwezi kufundisha. Lakini pia sina ujinga, nafahamu mambo mengi.

Kukanga chips mtaani si dhambi bali ni biashara. Naitamani biashara hiyo ila sina kipaji nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…