Je, nani anapokea mahari kwa binti aliyelelewa na mama pekee?

Binti Mhaya?
 
Komeni kuzaa kama fashion kabla ya ndoa.

Mahari ya binti asiyelelewa na baba hupokelewa na mjomba
 
Achana nao hao, hawajui mila, ulizia zaidi kwa wakubwa mahari sio jambo dogo la mzaha, usukumani inapotokea hivyo upande wa kiume hupokea mahari na hugawanywa kwa makaka wa dada
Sasa upande wa kiume hajulikani hata mmoja.
 


Kama ni.ndoa.ya kiisilamu Mahari ni mali ya muolewaji.
 
Kama binti hamjui ndugu yeyote upande wa baba, je anafaa kuwa mke?
 
Sawa umeeleweka kuhusu utaratibu wa mahari kwa dini ya kiislam. Ila nauliza utaratibu upike kama binti hajui ndugu yeyote upande wa baba? Je anafaa kuolewa?
 
Siwezi peleka upande mmoja. Huyu binti atakuwa afai kuwa mke
Elewa kuwa km ni Islamic kuna baba aina 3, baba mlezi, baba aliyekusomesha, na baba mzazi. Hao woote hakuna kuna Baba wa hiari, Kuna wakati mtoto anaweza kuwa wa mama peke yake sbb baba yake kamkataa na Mjomba akasimama km Baba. Kama hutaki unalo lako linalokusibu.
 
Kweli mkuu, tatizo humu jf wamejaa singo Maza wengi ambao wana binti zao na wanategemea kuwaozesha bila uwepo wa baba au ndugu wa baba wa binti.

Kwa mwanaume anayejielewa hawezi kuoa binti aliyekulia katika hayo mazingira kwani tabia ya binti uwa ni copy ya tabia ya mama yake na ndo maana ndoa nyingi hazikai kwa kipindi hiki kwa sababu ya watoto walio lelewa upande mmoja
 
Kama hafai kuolewa kwann ulianzisha mahuiano nae? Mahari inapokelewa hata na mjomba
Mwanaume makini hawezi fanya kosa la kijinga kama hilo. Ndo maana hamkai kwenye ndoa.
 
Tatizo siyo kupokea mahari bali ni kwanini binti hajui ndugu yake yeyote upande wa baba? Unadhani huyo binti anaweza kuwa mke mwema?
 
Kweli mkuu, kuna mambo madogo madogo waoaji huwa wanayapuuzia. Kama binti hatambui ndugu yeyote upande wa baba, technically hafai kuwa mke. La sivyo utamuona leo baada ya wiki kesharudi kwao.

Na pili cha kujiuliza ni kwamba mkizaa mtoto akawaletea mchumba ambaye ni ndugu wa upande wa baba wa mke wako je utamfanya nini mtoto wako?
 
Kama alivyosema Mwanamayu kwa usukumani iwapo baba yupo na haeleweki ama keshatangulia basi uJombani wanapokea mahari kiroho safi tu yani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mahari inapeleka ujombani lakini binti anatambua ndugu zake upande wa baba hiyo haina shida.

Shida nao kwamba binti hatambui ndugu yeyote upande wa baba. Je huyo binti anafaa kuwa mke?
 
Kwa mim ninavyoelewa mahari maana yake ni shukran ya mume kwa wakwe(wazazi wa anaeolewa) kama ni mzaz mmoja ndo amewajibika kumlea mtoto tangu yupo tumbon huyo ndo anastahili hyo shukrani.

Mm naelewa hvyo
 
Kiislaam, hata baba akiwepo na kamlea na anaishi nae, mahari ni ya anaeolewa si ya baba wala ya mwengine yeyote.
Sawa anaweza kupokea binti. Ila binti kutotambua ndugu yeyote upande wa baba je ni sawa?
 
Pesa yasumbuwa sana binadamu. Kwani lazima huyo binti atolewe mahari? Kwani binti anaozeshwa au anauzwa kama mbuzi? Kwani lazima wazazi wote wagombanie mahari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…