Kwanini mahari ni ya baba na si ya wote?
Kwa akili yako hapo umeona mali ila haujauna ujumbe wa mahali. [emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake tamaa ndio iliwaweka mbali na MUNGU na kuwavuta kwa shetani hii tabia inachefua sana kwakweli mpo rahisi sana kuuza roho zenu kwa shetani mkisikia pesa au mali imetajwa.
Mahari si pesa wala kitu cha thamani ya pesa, mahari ni ujumbe wa shukurani, ndio maana unaweza enda familia ukawapa hata 50,000 ili tu kutoa taarifa ya shukurani kwa kuletewa binti.
Baba ndie mtoa mbegu na uzao wa watoto bila baba mayai ya mama hayana maana. Baba mbegu yake ndio inaumba mtoto ndio baraka ya uzao. Ndio maana mwanaume asipoweza tungisha ujauzito basi na ukoo unakomea hapo hapo. Hapo watoto unaojivunia hawawezekani bila mwanaume kutia mbegu yake katika mji wako.
Nenda katazame hata katika kilimo na ufugaji, wakulima huangaika na mbegu maana ndio hutoa matokeo ya kazi yake unaweza kuwa na banda zuri la mifugo ukikosea mbegu basi ufugaji wako utakuwa wa hasara sana. Unaweza kuwa na hekari nyingi ila aina ya mbegu unatia katika udongo ndio itabariki kilimo chako kikawa na faida au hasara.
Kama haujasoma vema vitabu vya MUNGU (Bible/Quran tukufu) hakuna kitu utaelewa juu ya uzito wa mahari na kwann anatakiwa kupokea baba.
Tatizo wanawake mnajilinganisha na mwanaume kwa kila kitu mnahisi maisha ni mashindano makalio yenu ila uzuri mnaiibishwa mchana kweupe na shetani anayewatuma tokea pale bustani ya Eden.
Mahari inapokelewa upande wa kiumeni. Wewe kukosea choice ya mwanaume ndio ujilaumu maana hadi unalala na mwanaume unazaa nae kwann haukujipa muda wa kuichunguza familia anayotoka. Kama yeye ana mambo ya hovyo ila familia yake ina wazee wenye hekima na busara na ndugu wenye hekima na busara umeshindwa nini kwa adabu kuwashirikisha ili washiriki, na mtoto kwann haujaenda mkabidhisha kwa maana ya kumtambulisha kwa upande wa baba yake.
Ndio maana watoto wa siku hizi hawaeleweki akili za hovyo sababu wanawake wanazaa na mwanaume huyu wanagombana, halafu anaenda tambulisha mtoto kwa mwanaume mwingine anasema huyu ndio baba yako na anataka mtoto aishi akiamini ukoo wa huyu baba bandia ndio ukoo wake, hivi hizi ni akili au tope?
Rudini kwenye mstari. Mnakera bana aaaagh