Aulizwe mama mtu ndie anajua hata mtoto alipatikanaje , wapi, saa ngapi, kitanda gani, shuka likikuwa rangi gani etc, yaani mama asijue baba ni nani kwan alipata ujauzito kwa kunywa chai hotelini.Mkuu, unaenda mbele halafu unarudi nyuma.. mwanzoni umesema kuwa kwa upanda wa Baba yake hakuna anayemfaham hata mmoja, halafu hapa unasema lazima wawepo, watakuwepoje wakati hawafahamiani!?? Au unataka sisi tukakusaidie kuwatafuta ndugu zake!??
Maana majibu tayari unayo.
Kama kuna uwezekano wa kuwatafuta hao ndugu zake, basi watafutwe, kama hakuna uwezekano basi mama yake na wajomba wapokee mahari
Kama haujui desturi na mila uwe unakaa kimya. Huu ukisasa ndio unaleta mambo ya hovyo kwenye jamii. Halafu watoto wakianza haribikiwa mnaanza kusema shetani kafanya nini kumbe watoto wanakuwa haunted na ancestors blood. Watoto hawatulii akili sababu mizimu ya ukoo wa baba yao imechukia mbegu yao haijatambulishwa kwao sasa hamtakaa nayo kwa amani italeta mikosi.Kwenye hii scenario upande wa baba hauhusiki kwenye hiyo mahari wala haihitaji mjadala.
Kwa wanawake wanatazama swala la kupokea mahari kama swala la kupokea malipo ya kuuza mtoto. Kumbe mahari sio hivyo. Mtu ambaye hajui maana ya jambo huwa hawezi elewa taratibu zake.Achana nao hao, hawajui mila, ulizia zaidi kwa wakubwa mahari sio jambo dogo la mzaha, usukumani inapotokea hivyo upande wa kiume hupokea mahari na hugawanywa kwa makaka wa dada
Sijawahi kuona mtoto ambaye familia ya mwanaume wamethibisha ni wao kwa kukagua na kujiridhisha halafu itokee issue kama ya mahari wakate shiriki kwasababu kijana wao na binti upande wa pili hawapo pamoja.Kwani waoaji wanataka kumpatia nani? Pia, waoaji watataka kumuona baba wa mtoto. Kwani huyo baba aliikataa hiyo mimba au huyo mtoto?
Kama kalelewa kwa mama na baba hakuwa na mchango wowote na kumkataa directly au indirectly, mjomba anapokea hiyo mahari, ingawaje sijui kwa makabila mengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nimcheka balaaKwa waislamu (tukiacha posa maana sina ujuzi nayo) mahari anapewa muolewaji. Mahari ni zawadi ya bwana kumpa bibi na wala si thamani ya binti kwamba ananunuliwa kwayo!
Utofauti wa zawadi hii na zawadi nyingine ni kuwa muoaji haamui tu yeye mwenyewe bali lazima amuulize huyo mwanamke anayetaka kumuoa kwamba angependa zawadi gani.
Kwahiyo mahari atakayotaja bibi basi bwana ataileta na itapokelewa na walii wa muolewaji (walii ni baba wa muolewaji au mwanaume yeyote wa upande wa baba wa muolewaji aliyepewa jukumu la kumuozesha binti)
Akishapokea huyo walii atampa binti mahari yake yote iliyotolewa kisha ndoa inafungwa. Maamuzi ya mahari achukue au awaachie wazazi au atumieje yanabaki kwa binti mwenyewe.
Watu sasa (hasa watu wa mila za Kitanzania) kwa kuona sheria hiyo wakaingiza mambo kibao hapo ili wapate ulaji kupitia ndoa. Mara mkaja, mara blanketi, mara makosa, mara... Yaani unakuta unataka kuoa lakini unawalipa hela wana ukoo wote wa binti! Matokeo yake kukitokea jambo kidogo mtu anakimbilia kwenye mahari anaanza kuwianisha thamani ya ndoa au mtu na mahari.
Ndio maana tunawaelekeza hapa ukiona unaenda kwenye familia ya binti unakuta mama ndie kiherehere na mwisho wa siku anataka yeye kumaliza kila kitu sepa mapema. Hiyo siyo familia ya kuoa.Ogopa mapel binti anaelelewa na mama tu hafai kuwa mke ,hamsikii tu kwa sasa ndoa ni utapeli wa hali ya juu?
Ni kosa. Mtoto hapewi jina la mama yake uzao unakuwa na mushkeri na utapandikiza mbegu ya umalaya. Kama unabisha tazama jamii ambazo watoto hupewa ubini wa mama sifa yao kubwa ni nini?! Hata kama hawapewi ubini wa mama ila tu kitendo cha malezi bila baba around shida huanzia hapo.Siyo lazima, kama Hujui kitu kaa kimya, tena mtoto ana haki ya kutumia ubini wa mama yake yani ujombani, usipotoshe vitu usivyovijuwa.
Unaelewa ni Kwa nini Yesu anaitwa Issa bin Mariam?
Fikiri kwa mapana usijifungie kwenye chungu ukahisi wewe ndio unazijua mila na desturi.Kama haujui desturi na mila uwe unakaa kimya. Huu ukisasa ndio unaleta mambo ya hovyo kwenye jamii. Halafu watoto wakianza haribikiwa mnaanza kusema shetani kafanya nini kumbe watoto wanakuwa haunted na ancestors blood. Watoto hawatulii akili sababu mizimu ya ukoo wa baba yao imechukia mbegu yao haijatambulishwa kwao sasa hamtakaa nayo kwa amani italeta mikosi.
Huyo Kabila lake la Muhammad wala usipate shida kumuuliza hilo swali, labda uliza mila za Waarabu ndio mtaelewana, huyo siyo Mwafrica huyo ni mwislamu na Mwarabu.
Sasa unamuhukumu Binti kwa kutomjua Baba ake kwani kosa ni lake au Wazazi wake!?Issue kubwa ni kujua baba au ndugu wa baba. Siyo kila binti anastahili kutolewa mahari na kuolewa. Ukizingua hapo umeisha.
Wala huelewi hata hoja unayoisimamia, unahororoja tu.Ni kosa. Mtoto hapewi jina la mama yake uzao unakuwa na mushkeri na utapandikiza mbegu ya umalaya. Kama unabisha tazama jamii ambazo watoto hupewa ubini wa mama sifa yao kubwa ni nini?! Hata kama hawapewi ubini wa mama ila tu kitendo cha malezi bila baba around shida huanzia hapo.
Unaposema hapa majority mmelelewa na single mother unamaanisha nini?Kuna maswali ya kipumbavu sana na yanakera. Hapa majority tumelelewa na single mothers. Na hata ukute mtoa mada amelelewa na single mother. Nature ya sisi waaftica inajulikana.
Mfano, huwa wanasema watoto waliozaliwa na mama wakiwa waislam bila ndoa watoto huwa mali ya mama. Mahari hupokea nani? Kwamba hujawahi kuona mahari ikipokelewa upande wa mama? Wababa wangapi wameescape majukumu na hawajulikani watoto wamelelewa umamani? Mahari hupokea nani? Baba apokee kwa kipi ama nduguze? Unataka kuescape kulipa mahari ama? Binti angekua yatima je ama analelewa na bibi tu tena umamani je? Acha ubabaifu wewe... ina maana hata mkaja wa mama wataka upeleka ubabani?
Mwanaume makini hawezi fanya kosa la kijinga kama hilo. Ndo maana hamkai kwenye ndoa.
Weka hapa hiyo maana ya mahari na faida zake kwa wanandoaTatizo mnaendekeza usasa usiyo na maana hata kidogo. Kama hujui maana ya mahari, kaa kimya ujifunze kwa wakubwa zako
Tatizo mnaendekeza uzamani usiyo na maana na umepitwa na wakati. Kutoa mahari ni kufanya biashara kama zilivyo biashara zingine.Tatizo mnaendekeza usasa usiyo na maana hata kidogo. Kama hujui maana ya mahari, kaa kimya ujifunze kwa wakubwa zako
Kuna umri unakulimit kujuwa baadhi ya vitu, subiri ukikuwa wala hutohitaji kuambiwa na mtu utaijuwa dunia Kwa mapana yake.Weka hapa hiyo maana ya mahari na faida zake kwa wanandoa
Tatizo mnaendekeza uzamani usiyo na maana na umepitwa na wakati. Kutoa mahari ni kufanya biashara kama zilivyo biashara zingine.
Weka hapa maana ya mahari unayoijua wewe ili.
1. Tuipime inaendana na maisha ya sasa
2. Tupime inafaida gani kwa wanandoa
3. Tupime isipokuwepo kuna hasara zipi kwa wanandoa.
Usije na habari za zawadi, kwa sababu zawadi haina negotiation ( nipe hiki, hapana sina nakupa kile). Zawadi ni jambo la hiari.
Usije na habari eti binti anatoka kwao anakufuata ( haendi kifungoni) huyu binti anakwenda kutengeneza familia yake isiyokuwa na mipaka, watoto wanao uhuru wa kutembelea, kujumuika hata kusaidia ndugu wa pande zote bila masharti yoyote.
Kwl kbsa mkuu kwa sasa mambo ni mabaya mno ni kuviziana tuNdio maana tunawaelekeza hapa ukiona unaenda kwenye familia ya binti unakuta mama ndie kiherehere na mwisho wa siku anataka yeye kumaliza kila kitu sepa mapema. Hiyo siyo familia ya kuoa.
Hakuna mila ya siku hizi, mila ni moja tu, inavyosema ndivyo itakavyofatwa.
Hakuna mahari Kwa tajiri ya baba fuatilia vizuri utagunduwa hili.
Na kama umeowa pitia upya barua ya majibu ya poss uliyomposa mke wako walipokujibu barua walikuandikia wanataka nini katika orodha.
Mtu ambaye ana pesa direct inatamkwa ni mjaja wa mama labda na pesa ambayo ni binti anayeposwa, siyo ya baba wala ya mama.
Binti ndio mwenye mandate ya kugawa posho Kwa ndugu waliokuja wanaotambulika kimila kupata chochote.
Wewe sijui kama unaelewa kusoma na kama huelewi kiswahili nikiandika English utaelewa?Hizo ni tamaduni za huko unakokujua,ila kwa jamii nyingi za kiafrika kibantu mahari ni kwaajili ya wazazi,