Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
mkopo unageuka kuwa mzigoMuda wa marejesho ukiwa mrefu na deni linakua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkopo unageuka kuwa mzigoMuda wa marejesho ukiwa mrefu na deni linakua.
We acha kabisa kulinganisha mikopo na biashara kichaa inayoitwa ndoa.Wale wa kataa ndoa wangeanzisha tu kataa mikopo, mikopo inanyonya mikopo ni kausha damu
Suluhu kurudisha pesa yao mapemamkopo unageuka kuwa mzigo
RIba 5MInakppa 3 unalopa 8, dah! Tenakopo wa niashara.
Unauza nini maana na sisi tuzamie hivohivo
KweliTanzania kuna sacos zilizojifisha benk kwa jina micro benk
Hiyo ndogo niliulizia 8 million narudisha 24 millions 😂😂😂RIba 5M
🙆Kumbe nawe ni mwanachamaWe acha kabisa kulinganisha mikopo na biashara kichaa inayoitwa ndoa.
Yaani mkopo ata ukipigika vipi roho yako itabaki na utafaidi walau vihela ulivyokopa, ila ndoa kama siyo kuua litoto la mtu basi ni kujiua wewe.
Tena ukisalimika ni mwendo wa 50 kwa 50 😂😂😂😂
Utakuwa unawatumikia waoHiyo ndogo niliulizia 8 million narudisha 24 millions 😂😂😂
Usipopambana kurudisha mapemamkopo unageuka kuwa mzigo
Siyo kwamba tunahitaji elimu ya mikopo kwanza kabla ya kukopa?Banks Siyo Rafiki Wa Masikini
Hapana ni kuwawahi kabla hawajakuwahi (fununu)Utakuwa unawatumikia wao
Nimefukuza wengi tu, ila hv sasa ninaye mwingine naye ananionesha dalili za kuondoka🙆Kumbe nawe ni mwanachama
Omba barua ya balance ya mkopo wako Banc ABC then nenda na barua Crdb.Wasalaam
Jamani nilikwama nikajiingiza kwao Banc ABC kukopa nilichukua 3 million ila ilitakiwa nirejeshe 8 million sasa naona bora hili dwni nilipeleke CRDB bank.
Sasa je kuna mtu anafahamu utaratibu wa kuhamisha deni tafadhari wakati nikiwa na lengo la kulipa hapo baadae.?
Asante
Pamoja sanaOmba barua ya balance ya mkopo wako Banc ABC then nenda na barua Crdb.
Kawaida tu mbonaUnakopa 3 M unarudisha 8M aisee
mbona mnatukatisha tamaa