Je, naweza kuhamisha mkopo kutoka Benki ya ABC kwenda benki zingine kubwa?

Je, naweza kuhamisha mkopo kutoka Benki ya ABC kwenda benki zingine kubwa?

Wale wa kataa ndoa wangeanzisha tu kataa mikopo, mikopo inanyonya mikopo ni kausha damu
We acha kabisa kulinganisha mikopo na biashara kichaa inayoitwa ndoa.

Yaani mkopo ata ukipigika vipi roho yako itabaki na utafaidi walau vihela ulivyokopa, ila ndoa kama siyo kuua litoto la mtu basi ni kujiua wewe.

Tena ukisalimika ni mwendo wa 50 kwa 50 😂😂😂😂
 
Wasalaam

Jamani nilikwama nikajiingiza kwao Banc ABC kukopa nilichukua 3 million ila ilitakiwa nirejeshe 8 million sasa naona bora hili dwni nilipeleke CRDB bank.

Sasa je kuna mtu anafahamu utaratibu wa kuhamisha deni tafadhari wakati nikiwa na lengo la kulipa hapo baadae.?
Omba barua ya balance ya mkopo wako Banc ABC then nenda na barua Crdb.
 
Back
Top Bottom