Kuwa Mchagga ni dhambi?Sasa dhambi iko wapi? Kwani ndugai ni mwanafamilia wa malecela? Huyo lissu wenu mmesema amekuwa mwanafamilia wa mbowe, maana tundu alikuwa hakubaliki chadema Hadi apewe uchaga?
Na kweli Yale Yale ya BALALIKwani huyu mtu yupo! Atakuwa ametoweka kama Governor Daudi Balali!
Kuwa mchaga siyo dhambi, lissu kuwa siyo mchaga kwani ni dhambi Hadi apewe uana family wa Mbowe ndo akubalike chadema?Kuwa Mchagga ni dhambi?
Hivi hamuwezi kajadili jambo bila kutaja Wachagga?
Kwani Mbowe kupewa unafamilia wa Lissu ni lazima?Kuwa mchaga siyo dhambi, lissu kuwa siyo mchaga kwani ni dhambi Hadi apewe uana family wa Mbowe ndo akubalike chadema?
Mbona mbowe hajapewa uana family wa lissu?
Huwajui ccm wewe! Nafsi iwasute? Kwanza hawana nafsi hao huyo hajaenda kwakuwa bado haamini kilichomtokea maana kutoka kwenye ubabe hadi kudhihakiwa na katibu wa ccm wa kitongoji huko njombe na hawezi kumfanya chochote sio swala dogoNajiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Ndugai ni shetani kabisaNajiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Alifanya kosa kusema ukweli?Tusichanganye mambo hapa...mtumishi akifanya kosa anawekwa pembeni mara moja.huwezi kuondolewa bila kufanya makosa.afya ni usalama wa nchi.Nenda popote duniani hata Marekani .
Mnakera, kufuatilia maisha ya mwanaume mwenzenu sio poaHoji nawe kivyakovyako?
Haituhusu.Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
Uhuni,wivu na kukosa kazi.Utakuwa umepigwa na kitu kizito Agwee.
Sio Kwa povu Hilo bila Shaka utakuwa wa Mkoka au Mbandee
Ni spika wa Bunge pekee mwenye mamlaka ya kuhoji kuhusu hilo.Unaakili gani wewe zaidi yakuremba maelezo?? Unawekaweka maemoji yakiduanzi!!!
Huyo naniiyako nimbunge na analipwa mshahara...
kama amekwambia hataki kuulizwa mwambie ajiuzulu ubunge mkapumzike vyema!!!
Anashikilia jimbo huku haendi kazini wakati enzizake alituhumu sana watu kwa utoro nawengine akafukuza!!
Usitetee upuuzi shabiki andazi mwambie aende kazini angepumzika baada ya vikao!!!
Tamaa mbele.....kaponzeka!!!
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
We fwala kodiyangu inalipa wabunge ninahaki yakuhoji ninayemlipa asipoenda kazini!!Ni spika wa Bunge pekee mwenye mamlaka ya kuhoji kuhusu hilo.
Wewe ni ka mtu ka pembeni sana.
Pambania hali yako achana na kuharibu ka-bundle uchwara kako kwa kuhoji ujinga.
Wewe unaweka **ko kuandika huku hujui kule bungeni ametoa udhuru gani.
Watu wa Kongwa wana imani nae na pia watakuwa wamesikitika nae.
Nyinyi kaeni na machungu ya vijiwe mpaka hiyo 2030.
Maana hata 2025 siwaoni kivilee.
Isitoshe Ndugai kwa sasa hana njaa kabisa.
Aboud Jumbe baada yakuwekwa kizuizini Kigamboni aliruhusiwa kuhudhuria misiba ?Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
Sisi wachaggaTaja kabila au mkoa ambao viongozi wake hawajaboronga
Ndugai hayupo msibani.Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.