MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Magoli ya Mayele huwa yanakukera eh?Popoma kalala mayele ndani ya ID mpya
Mambo ya kiufundi washamaliza wanakazia tu kwenye mbinu za kocha la Madrid pablo franco🤣🤣🤣🤣🤣Najiandaa kuona je, na Orlando Pirates FC nao kabla ya kucheza na Simba SC Kwao Afrika Kusini na wao watahamasisha Mashabiki wao Kuzurula hovyo Mitaani ili Kuujaza Uwanja na Washinde kwa Nyimbo za Hamasa na Tambo za Hekaya za Abunuasi?
Najiandaa kuona je, na Orlando Pirates FC nao kabla ya kucheza na Simba SC Kwao Afrika Kusini na wao watahamasisha Mashabiki wao Kuzurula hovyo Mitaani ili Kuujaza Uwanja na Washinde kwa Nyimbo za Hamasa na Tambo za Hekaya za Abunuasi?
Mbona Id ya 2015 mkuu hivi inakuajeIla huyu kiande Ina Mambo mengi Hadi sio poa ,ujuaji mwingi alaf wajanja wanamchora tu kwa kila I'd mpya akiibuka nayo
Dah!Style moja ya uandishi inapelekea hata ukibadili id wajumbe wanajua tu ndo yuleyule mnyarwanda wa mkoa wa Mara a.k.a tiss wa mchongo.
Comment bora sana.Umemuona Pablo huko mitaani?
Je ni lazima tufanye kama wanavyofanya Pirates?Kwani wao hawawezi kutuiga sisi?
Au wewe unapata mshawasha gani watu wakiendelea na mambo yao?
alikuwa nazo ID nyingi tangu enzi hizo. Nyakati hizi unaweza ukaedit tu jina la ID, ndicho anachokifanya huyu. maana akipigwa ban, anaingia kwa ID nyingine baada ya kuieditMbona Id ya 2015 mkuu hivi inakuaje
Mbona Id ya 2015 mkuu hivi inakuaje