Je, nguvu kubwa ya Simba SC iwe ni katika hamasa ya Mitaani au kuiandaa timu Kisayansi (Kiufundi) ili ishinde?

Najiandaa kuona je, na Orlando Pirates FC nao kabla ya kucheza na Simba SC Kwao Afrika Kusini na wao watahamasisha Mashabiki wao Kuzurula hovyo Mitaani ili Kuujaza Uwanja na Washinde kwa Nyimbo za Hamasa na Tambo za Hekaya za Abunuasi?
Mambo ya kiufundi washamaliza wanakazia tu kwenye mbinu za kocha la Madrid pablo franco🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umemuona Pablo huko mitaani?

Je ni lazima tufanye kama wanavyofanya Pirates?Kwani wao hawawezi kutuiga sisi?

Au wewe unapata mshawasha gani watu wakiendelea na mambo yao?
Najiandaa kuona je, na Orlando Pirates FC nao kabla ya kucheza na Simba SC Kwao Afrika Kusini na wao watahamasisha Mashabiki wao Kuzurula hovyo Mitaani ili Kuujaza Uwanja na Washinde kwa Nyimbo za Hamasa na Tambo za Hekaya za Abunuasi?
 
Simba Sport club nguvu moja. Piga hao mabakabaka wa kisouth bao tano
Nalog off Z
 
Kwahiyo kuiandaa timu kisayansi kunazuia watendaji wengne wa klabu kuendelea kuhamasisha?
Au umeona viongozi wakipuuzia program za mazoezi za mwalimu na kuziunguka mitaani na wachezaji kuhamasisha watu ili wajae taifa?
Kila mtu anafanya kwa nafasi yake kuelekea game ya Jumapili kikubwa ni ushindi tena wa kishindo
Yaani msemaji ashindwe kufanya media tour na kuzungukia matawi kisa tu timu inaandaliwa kisayansi
 
Umemuona Pablo huko mitaani?

Je ni lazima tufanye kama wanavyofanya Pirates?Kwani wao hawawezi kutuiga sisi?

Au wewe unapata mshawasha gani watu wakiendelea na mambo yao?
Comment bora sana.
 
Wazee wa kukosoa! Kila mtu ana majukumu yake. Hao wanaokiamsha hiyo ndiyo kazi yao. Mambo ya kiufundi ni jukumu la kocha na wachezaji wake. Kwahiyo tuliza mshono!
 
Mbona Id ya 2015 mkuu hivi inakuaje
alikuwa nazo ID nyingi tangu enzi hizo. Nyakati hizi unaweza ukaedit tu jina la ID, ndicho anachokifanya huyu. maana akipigwa ban, anaingia kwa ID nyingine baada ya kuiedit
 
Matola, Pablo na wachezaji wapo mtaani? Au ni mimi tu ndio sijawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…