Usikope kuanzisha mradi ama biashara, kopa ili kuendeleza....si maneno yangu bali ni maneno ya kijana wangu mmoja aliepo makao makuu CRDB.Genius
Asante sana. Umetoa somo mubashara sana Chief.
Wengi sana wakichukua mikopo hufanya makosa kama ulivyoainisha hapo juu nakuishia kulia na kuhangaika. Sometimes mkopo hubadilika kua laana. Asilimia kubwa sana ya watu hawana elimu uliyotoa hapa - wengi sana
Mkuu mm nimeamua ku-invest kwenye Career & biashara za vifaa vya ujenzi at least kila mwezi na-save 500,000/= kutoka kwenye mshahara pia nina Hardware Tegeta hata ikitokea lolote naweza ku-survive kwa kipindi kirefu. Sasa wewe jiloge ukajenge Msata kazi izingue utakula tiles
This is far better kuliko ujenziπ€£π€£π€£π€£π€£ niliwaasa jamaa zangu, wakajifanya wasomi, Financial Management ya 3rd Year iliwapa jeuri.
Mimi ndo nataka nijilipue hivyo mkuu daah...nataka outlander na nifanye ujenzi..biashara ipo lakini inasua sua nimeshaweka kama 10m kwenye biashara lakini mzunguko bado sio mkubwa unanishauri vipi hapo mkuu..?
Kiukweli wahindi hawanaga usenge wa kupanga matofali kabisa na wana hela mbaya kabisa. Huo ufala tunao sisi weusi πππ ati nyumba ni heshima.Jamaa wana akili sana. Wanayatazama maisha kwa upana na urefu sana. Hawana mawazo mgando
Uoe/uolewe afu bado mkae kwa wazazi kibongo bongo hivii?..Ni kweli kwa hilo wahindi wanapatia sana
Nilifanya kazi benki kati ya mwaka 2013 mpaka 2015 na nilikua na process applications za products fulani ambazo zililazimu kuona salary slips na savings za watu. Nilishangaa kuona wahindi wengi wana hela benki kati ya million 50 mpaka 100 na zaidi lakini kwenye makazi wameandia STAYING WITH PARENTS
Mm nimeanguka mara 12 zote chali juzi nimefanya mahesabau nanwife 100m zemeenda biashara inachangamotk zake sanankwa hapa tanzania uliwa mkweli hupati faida kbs
Ni heshima tena kubwa sanaKiukweli wahindi hawanaga usenge wa kupanga matofali kabisa na wana hela mbaya kabisa. Huo ufala tunao sisi weusi πππ ati nyumba ni heshima.
π€£π€£π€£π€£π€£ kweli it was a great idea ila kwa Vodacom, haikuwa mahala sahihi pa kuweka pesa. Kampuni ilikuwa ina struggle na biashara hisa ilikuwa lazma ziporomoke tu. Maswala ya hisa niambie kwenye kampuni za madini huko tutaelewana.This is far better kuliko ujenzi
Unajenga nyumba ya 50Mil kusubiri kodi ya almost 800K kwa mwaka.
Mwaka wa tatu tu utasikia bomoa, mara uchakavu mara makao makuu yamehama mara sijui nini
Kidogo
Hata asie na experience tizama tu majengo ya kupangisha hata ofisi
Yako wazi..mengine hata floor za chini tu ambazo zina demand kubwa ziko wazi
Ama kama wapo hayajajaa..
Na mengine yako maeneo mazuri kabisa mf kariakoo
Zama hizi mhhh...
Ya family ni hakika hata mimi lazma nijenge kuweka address ya wanangu sawa. Ila kwa nyumba ya biashara ni uongo.Ni heshima tena kubwa sana
Hasa nyumba ya kuishi ya familia
Tena ukiona mtu kajenga kamaliza msalimie shkamoo kujenga si mchezo..unamimina pesa htr
Uwekezaji ktk real estate (ujenzi wa majengo) ni dead project??? Siyo kweli hata kidogo.Achana na hao
Nenda kwenye makampuni makubwa ya kibiashara Vodacom airtel benk n.k
Wote hawa kuishia kupanga tu na sio kujenga mzee
Ujenzi ni dead project Mzee
Leo tunalaumu mifuko ya hifadhi za jamii kwakuwa mpesa yote wamepeleka kwenye ujenzi
Mojawapo ya demand for the 'stimulus package' pale USA ilikuwa ni wadau kuchukua pesa yao na kuizamisha kwenye ujenzi
Pata hela fanya biashara huwezi tia kwenye fixed account au kanunue hisa huko
Huwezi hayo yote ni bora upige tu chipsi zege na mayai na kuku sio ujenzi mkuu
Biashara hua haipo hivyo hakuna biashara ya kusema mwezi mzima ninaweza kujaza vyumba viwe full sana sana utajaza nusu vyumba..robo etc biashara hua haipo constant kiivyo..hapo hujapiga hesabu ya kuibiwa hata vyumba vikiwa full utaletewa i.em watu watano au 10 ndo walilala
Mimi huwa naamini nyumba hazipandi thamani bali hela yetu inashuka thamani na kusababisha vitu kuwa ghali hivyo nyumba nayo inapanda bei. Ibadili kwa dollar ndio utajua huwa haipandi bei
Labda nyumba ya biasharaKiukweli wahindi hawanaga usenge wa kupanga matofali kabisa na wana hela mbaya kabisa. Huo ufala tunao sisi weusi πππ ati nyumba ni heshima.
Real Estates ni kupiga Apartments na maofisi. Sio kujenga kanyumba kamoja kisha unasubiria kodi zije. Halafu nadhani kuna namna ya management ya Real estates.Uwekezaji ktk real estate (ujenzi wa majengo) ni dead project??? Siyo kweli hata kidogo.
Tatizo kubwa zaidi kwa Waafrika na watu wengi duniani, sema Watu hawana mitaji ya kutosha ya kuwekeza, pia hawana Elimu ya kutosha sana juu ya uwekezaji huu wa real estates.
Wao hawana guarantee ya maisha, hapa sio kwao na ndio maana hawajengi...Wengi wananunua tu!Labda nyumba ya biashara
Ila ya kuishi familia ni stara kubwa sana
Nyumba mbali na kuifanyia biashara ni assets kwako, waweza itumia kupata mkopo na kufanya biashara. Usitegemee kodi ya pango kuwa mapato yako. Rafikio anaetaka uza nyumba akafanye biashara mshauri. Akikwama biashara ataumia sana.Uwekezaji kwenye real estate, shares au Treasury bill una faida mbili (1) Ni return on investment (2) Appreciation in value of investment. Nyumba kama nyumba utaona hiyo kodi ya TZS 600,000 ni ndogo sana lakini ukiuza hiyo nyumba utapata zaidi mfano hiyo nyumba ya TZS 150,000,000 unaweza ukauza TZS 300,000,000.
Kwa wale tunaowekeza kwa ajili ya elimu ya watoto wetu; bado kuwekeza kwenye nyumba ni bora zaidi kuliko "Fixed deposit" kwani wakati nyumba ikiongezeka thamani kuendana na wakati, Principal amount kwenye Fixed Deposit haiongezeki thamani kinyume chake inapungua thamani (inflation).
Ushauri wangu wekeza kwenye nyumba pesa ambayo huna matumizi nayo yaani mtaji uliozidiki kwenye biashara yako na usiwekeze kwa matazamio ya kuvuna faida
Ndio hivyo ni wepesi sana kutoboa hata wasipokuwa na mtaji.Jamaa wana akili sana. Wanayatazama maisha kwa upana na urefu sana. Hawana mawazo mgando