Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Okay. Nitajie matajiri (Watanzania weusi) waliofanikiwa kwenye Real estate -usinitajie madalali was viwanja)
Sekta ya real estate KWA Tz NA Afrika yote haijaendelea sana, kwanza ndio imeanza miaka ya hivi karibuni.
KWA Tz sekta hii imeathirika zaidi na zaidi kwa miaka mingi kutokana NA sera mbaya kabisa ya Ujamaa, Azimio LA Arusha NA Operesheni Vijiji ambayo IPO tangu enzi za Mwl. Nyerere.

Watu waliojaribu kujenga nyumba au majengo ya biashara walionekana kuwa ni maadui ktk nchi, NA walibatizwa majina mbalimbali NA mabaya yasiyofaa kama vile, kupe, wanyonyaji, makabaila, mabwanyenye, n.k. Nyumba zao ziltaifishwa NA Serikali, Leo hii nyingi zinamilikiwa NA NHC.
 
Kuna nyumba fulani ipo ilala ilianza kuuzwa 1.2bil hadi leo ipo 600m haijauzwa imepita lami hadi kwenye hio nyumba, pia kuna kasri moja lipo karibu na chuo cha DSJ yani ni opposite na DSJ linauzwa 1.2bil hadi leo halijajengwa hio nyumba ukitoka nje tu lami ukitembea dakika 5-7 umefika kituoni lakini bado hakuna wanunuzi
Bei kali sana daah.,

Real estate kwa kweli yataka pesa
 
Watu siku hizi wamekuwa wajanja wengi hawanunui nyumba au viwanja vya bei kali maana pccb wanafuatilia walivyopata hela zao. Mtu anaona bora akae na cash ndani
Kuna nyumba fulani ipo ilala ilianza kuuzwa 1.2bil hadi leo ipo 600m haijauzwa imepita lami hadi kwenye hio nyumba, pia kuna kasri moja lipo karibu na chuo cha DSJ yani ni opposite na DSJ linauzwa 1.2bil hadi leo halijajengwa hio nyumba ukitoka nje tu lami ukitembea dakika 5-7 umefika kituoni lakini bado hakuna wanunuzi
 
Labda location,hali ya uchumi, maendeleo yaliyopita hapo mf lami nk

Mfano mbezi goba ilivyokuwa kabla na baada ya lami...inakua kwa kasi sana hata bei za viwanja ni usipimee
Goba viwanja bei gani? Ukitoka barabara kuu ya lami huko ndani kuna barabara nzuri?
 
Watu siku hizi wamekuwa wajanja wengi hawanunui nyumba au viwanja vya bei kali maana pccb wanafuatilia walivyopata hela zao. Mtu anaona bora akae na cash ndani
Mimi nilijua watu hawana hela.
Kumbe hela wanazo ila wanatumia kwa timing.
 
Sekta ya real estate KWA Tz NA Afrika yote haijaendelea sana, kwanza ndio imeanza miaka ya hivi karibuni.
KWA Tz sekta hii imeathirika zaidi na zaidi kwa miaka mingi kutokana NA sera mbaya kabisa ya Ujamaa, Azimio LA Arusha NA Operesheni Vijiji ambayo IPO tangu enzi za Mwl. Nyerere.

Watu waliojaribu kujenga nyumba au majengo ya biashara walionekana kuwa ni maadui ktk nchi, NA walibatizwa majina mbalimbali NA mabaya yasiyofaa kama vile, kupe, wanyonyaji, makabaila, mabwanyenye, n.k. Nyumba zao ziltaifishwa NA Serikali, Leo hii nyingi zinamilikiwa NA NHC.
Umekaa ki-academic zaidi.....
Pls try to touch the base/reality
 
Mimi huwa naamini nyumba hazipandi thamani bali hela yetu inashuka thamani na kusababisha vitu kuwa ghali hivyo nyumba nayo inapanda bei. Ibadili kwa dollar ndio utajua huwa haipandi bei
Popote duniani nyumba huwa zinapanda bei. Japo kuna mara chache zinaweza kuteremka lakini si kawaida sana
 
Nyumba ya kupanga ni biashara kichaa bora ujenge lodge ukiwa na location nzuri unaweza kubreak even mapema kiasi.
mnajidanganyaaa, Nyumba ya kupangisha inalipa sana, inategemea na eneo tu, mi nna Chumba sebule jiko, napangisha laki na nusu, na upande mwingine Ivyo Ivyo,

Yaan Nyumba moja ila ina pande mbili, kwaiyo nakusanya laki tatu kwa mwezi, na ya kawaida tu nje, ila ndani finishing nzuri,

Imenigharimu milioni 30,kujenga,
nimepaulia miti badala ya mbao za 4by 2..ila kwa upande wa 2by2 nimetumia mbao za Dawa, pia fishabodi mbao za dawa, mabati nimenunua ya gage 32 kwa Bei ya 16,000. Nimetumia bati sabini na tano tu, nyumba inalipa sana, ila usijenge kitajiri kama ni yakupangisha, na ikibidi mpaka mchanga nenda kanunue mwenyewe usimtume mtu, na misumari pia kanunue mwenyewe,

Yaan iyo million 150 mi najenga nyumba nne hapo za kodi ya laki tatu kwa mwezi,, ela Ya urithi niliifanyia jambo la maana nashukuru kwakweli
 
Ukijenga nyumba kwa million 150 na kuanza kukusanya kodi ya 600,00. Itakupa rental yield ya 4.8%, siyo nzuri saana, lakini haijambo.
Rental yield ya kuanzia 7% kwenda juu ni nzuri zaidi. Nyumba ni long-term investment. Wanaweza kuja kufaidi matunda watoto wako/wajukuu/vitukuu. Kila kitu ni timing. Hali ya real estate Tanzania kwa sasa ni tete sana.
Huwa nashindwa kuwaelewa mnaposema kuwa nyumba watakuja kufaidi watoto wakati wewe mjengaji unaanza kuchukuwa kodi hapo kwa papo. Fanya hivi: kama kodi yako ni sh 600,000 kwa mwezi basi laki 300, 000 ni fedha uliyowekeza na 300,000 ni faida.
 
Umekaa ki-academic zaidi.....
Pls try to touch the base/reality

Are you sure????

Kwani Watu walishindwa kujenga nyumba za maana za biashara wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere unafikiri kwamba walikuwa hawana pesa za kujenga nyumba??
Kwani Watu hawakunyang'anywa nyumba NA majengo yao ya biashara enzi hizo kutokana na Sera ya Ujamaa?? Reality gani hasa unayotaka wewe ni-base???

Mimi mwenyewe binafsi wazazi wangu walinyang'anywa nyumba zao mbili kisha zikataifishwa NA Nyerere, halafu wewe unaleta siasa zako za ushabiki.Unataka nieleze reality gani zaidi ya huu ukweli mchungu nilioelezea????
 
mnajidanganyaaa, Nyumba ya kupangisha inalipa sana, inategemea na eneo tu, mi nna Chumba sebule jiko, napangisha laki na nusu, na upande mwingine Ivyo Ivyo,

Yaan Nyumba moja ila ina pande mbili, kwaiyo nakusanya laki tatu kwa mwezi, na ya kawaida tu nje, ila ndani finishing nzuri,

Imenigharimu milioni 30,kujenga,
nimepaulia miti badala ya mbao za 4by 2..ila kwa upande wa 2by2 nimetumia mbao za Dawa, pia fishabodi mbao za dawa, mabati nimenunua ya gage 32 kwa Bei ya 16,000. Nimetumia bati sabini na tano tu, nyumba inalipa sana, ila usijenge kitajiri kama ni yakupangisha, na ikibidi mpaka mchanga nenda kanunue mwenyewe usimtume mtu, na misumari pia kanunue mwenyewe,

Yaan iyo million 150 mi najenga nyumba nne hapo za kodi ya laki tatu kwa mwezi,, ela Ya urithi niliifanyia jambo la maana nashukuru kwakweli
Ujenzi unawezakuta ili kuokoa gharama mpaka tofali utapakia na kushusha mwenyewe kwenye roli
Sekta ya ujenzi ni ya kimchundo sana aiseh
 
Hivyo viwango ni vya mwaka mmoja. Mfano TZS 100,000,000 kwa 3% kwa muda wa miezi mitatu = 100,000,000 X 3% X3/12 = TZS 750,000 faida kwa hiyo miezi mitatu. TRA watachukuwa hapo 10% kodi ya zuio hivyo utalipwa TZS 675,000

Faida ni ndogo sana. Una imvest million 100 unapata faida 250,000 kwa mwezi daaah faida ndogo sana. Kwa million 100 zipo biashara nyingi zinazoweza kukupatia faidazaidi ya million 1 kwa mwezi
 
Mzee wangu alifanya investment kwenye real estate na matunda nakula mimi na wajukuu zake. Biashara hiyo haina tofauti na minazi faida unaweza usipate wewe uliyeipanda

Ni kweli. It is a long term investment wala sio biashara ya mzunguko
 
mnajidanganyaaa, Nyumba ya kupangisha inalipa sana, inategemea na eneo tu, mi nna Chumba sebule jiko, napangisha laki na nusu, na upande mwingine Ivyo Ivyo,

Yaan Nyumba moja ila ina pande mbili, kwaiyo nakusanya laki tatu kwa mwezi, na ya kawaida tu nje, ila ndani finishing nzuri,

Imenigharimu milioni 30,kujenga,
nimepaulia miti badala ya mbao za 4by 2..ila kwa upande wa 2by2 nimetumia mbao za Dawa, pia fishabodi mbao za dawa, mabati nimenunua ya gage 32 kwa Bei ya 16,000. Nimetumia bati sabini na tano tu, nyumba inalipa sana, ila usijenge kitajiri kama ni yakupangisha, na ikibidi mpaka mchanga nenda kanunue mwenyewe usimtume mtu, na misumari pia kanunue mwenyewe,

Yaan iyo million 150 mi najenga nyumba nne hapo za kodi ya laki tatu kwa mwezi,, ela Ya urithi niliifanyia jambo la maana nashukuru kwakweli
Uko sahihi. Halafu jambo jingine linawangusha wafanyabiashara kwa ujumla Tanzania ni kuigana. Na mbaya zaidi watu wanaiga mpaka mabaya. Kwa mfano sasa kuna nyumba nyingi sana za kodi ya laki tatu kwenda juu hazina wapangangaji. Ukichunguza utakatu wapangaji walifanya makosa yafuatayo: 1. Walijenga maeneo mabovu 2. Walikadiria kodi kubwa sana. 3. Wanafuata mkumbo ule ule wa kutoza kodi ya ya kuanzia miezi sita. Ukiwa na shida ya nyumba ya kupanga kila nyumba utakayokwenda utakutana na hizo kero. Wewe unafanya tofauti ndiyo maana unaona faida yake. Hiyo milioni 30 ungeamua kufungua biashara ninaweza kuhisi sasa hivi ingekuwa pengine imeshakufa au inasuasua tu. Ukizingatia kanuni za kujenga nyumba ya kupanga, hutajuta na faida yake inakuja bila kuhangaisha kichwa wala kukimbizana na wateja.
 
Mi nadhani kama mtu unaamua kufanya biashara ya nyumba ya kupangisha,basi Ni lazima uachane na kujenga nyumba ya gharama,la sivyo hela yako haitarudi na mwishowe faida waje waitumie wanao.

Nyumba ya kupanga unajenga tu simple kwa material simple ila muhimu ni kupga finishing matata...hata kama ulitumia mbao za hovyo hazionekani..Matofali hata ukinunua used Fresh tu (nyumba ya kupanga hiyo) ilimradi kitu kiinuke.

Kusanya Kodi weka akiba mfukoni...Haya mambo ya kujenga nyumba za kupanga kwa sifa ili uonekane baba mwenye nyumba umetumia hela HUO NI UDUANZI na hiyo biashara hautoona matunda yake.

uko sahihi nimependa mawazo yako ya kimkakati
 
Back
Top Bottom