Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Wahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani
Hahahaha,kumbe umegundua mkuu.
Mimi nilikuwa na rafiki zangu wahindi tunafanya nao kazi ndio walinifungua akili.
Walikuwa wananiuliza umeinvest kiasi gani Hadi Sasa na akaunti yako Ina pesa kiasi gani?
Mimi nikawa nawajibu sina kitu hela zote nimenunua kiwanja na kuanza ujenzi,Kisha wananiuliza kwa mfano ukifukuzwa kazi ghafla utafanya nini?
Basi walikuwa wananicheka sana.
 
mbu wa dengue,
Mkuu mm nimeamua ku-invest kwenye Career & biashara za vifaa vya ujenzi at least kila mwezi na-save 500,000/= kutoka kwenye mshahara pia nina Hardware Tegeta hata ikitokea lolote naweza ku-survive kwa kipindi kirefu. Sasa wewe jiloge ukajenge Msata kazi izingue utakula tiles
 
Kuna mmoja yeye ni dereva kwenye ubarozi wa nchi ya kibeberu flani. Amechukua mkopo milio 30,
Akanunua gari Subaru foresta nyingine akaanza kujengea saa hizi hiyo nyumba kaishia kupaua na hela naona imekata.
Mimi ndo nataka nijilipue hivyo mkuu daah...nataka outlander na nifanye ujenzi..biashara ipo lakini inasua sua nimeshaweka kama 10m kwenye biashara lakini mzunguko bado sio mkubwa unanishauri vipi hapo mkuu..?
 
Wala usimcheke na kumbeza ni hatua muhimu kwenye maisha hela isipopotea hutajua thamani yake na ndo shida ya elemu ya mtaaani au maisha kuipata gharama zake ninkubwa sana trust me iko siku utarudi hapa na kutueleza jamaaa wa subara kazishia mafumba ya hatare kbs
Mkopo Hadi amalize ni miaka 5 au 6 atakuwa ameshapigwa gepu na watu wengi sana.
 
Mimi ndo nataka nijilipue hivyo mkuu daah...nataka outlander na nifanye ujenzi..biashara ipo lakini inasua sua nimeshaweka kama 10m kwenye biashara lakini mzunguko bado sio mkubwa unanishauri vipi hapo mkuu..?
Mm nimeanguka mara 12 zote chali juzi nimefanya mahesabau nanwife 100m zemeenda biashara inachangamotk zake sanankwa hapa tanzania uliwa mkweli hupati faida kbs
 
Unaishi dunia gani nyumba ya TZS 150 M kwa laki 6? acha uongo,halafu thamani ya nyumba ni tofauti na lori,thamani ya nyumba inaongezeka wakati thamani ya magari inashuka,tatizo Watanzania wengi hatutaki kuwekeza ,tunataka tuanze biashara na faida hapohapo hatuangalii mbele au miaka 10 ijayo,halafu unajiita mfanyabiashara.
Waaambie, uzuri wa nyumba huonekana uzeeni pale ambapo unakula kodi bila purukushani yoyote.

Sasa issue kubwa ni kuufikia huo uzee sasa.
 
Nna hakika unaongea from experience of somesort
Kidogo
Hata asie na experience tizama tu majengo ya kupangisha hata ofisi

Yako wazi..mengine hata floor za chini tu ambazo zina demand kubwa ziko wazi

Ama kama wapo hayajajaa..

Na mengine yako maeneo mazuri kabisa mf kariakoo

Zama hizi mhhh...
 
Mkuu mm nimeamua ku-invest kwenye Career & biashara za vifaa vya ujenzi at least kila mwezi na-save 500,000/= kutoka kwenye mshahara pia nina Hardware Tegeta hata ikitokea lolote naweza ku-survive kwa kipindi kirefu. Sasa wewe jiloge ukajenge Msata kazi izingue utakula tiles
Hata Mimi nasaka mtaji niweke investment Kama hizo.
Kumbe wewe tutakuwa tunafahamiana,huko tegeta ndio mitaa yangu.
 
....usijenge nyumba ya kupangisha sehemu ambako mji ndio kwanza unaanza hiyo itakula kwako
Boss wangu anafanya real estate investment,yeye ananunua sehemu ambayo ahata akijenga godown ,lazima waje watu wenye pesa kupanga pale kama ni nyumba basi utaskia either ubalozi wamepanga pale
... contradiction! Ambako mji "umekomaa" kiwanja utakiweza Mkuu? Hiyo 150m/- kajaribu kuulizia kiwanja Mikocheni au Masaki uone kama utatoboa! Ndio maana wadau wanasema real estate business ni business ya matajiri!
 
Real Estate ndio sejta pekee duniani kote inayichangia KWA kiasi kikubwa ili nchi husika ionekane kuwa imeendelea. Unapofika ktk nchi yoyote ile indicator ya kwanza kukujukisha kuwa nchi husika imeendekea ni kuangalia maendeleo yake ktk delta hii ya real estate, e.g, ubora wa majengo, ukubwa wake mpangilio wake ktk ujenzi, n.k.
Tatizo kubwa ktk sekta hii ni kuwa, initial capital/cost for investment ni kubwa sana,hilo tu ndio tatizo lake.
Lakini ukiwekeza ktk sekta hii uhakika wa kupata returns ni mkubwa, tena ni investment ya milele, na risk yake ni ndogo ukilinganisha NA aina nyingine za investments.
Mawazo ya vitabuni ( PhD Holders) haya. Nenda Masaki na Oysterbay uone Real Estate inavyochechemea. Mjini PPF House wapangaji hamna
 
... assume una vyumba 20 na kwamba vinakuwa full mwezi mzima unapiga almost 18m/- Now, chukulia 50% ni running cost, unabaki na 9m/- How can you compare this na 600K kwa the same period?
Biashara hua haipo hivyo hakuna biashara ya kusema mwezi mzima ninaweza kujaza vyumba viwe full sana sana utajaza nusu vyumba..robo etc biashara hua haipo constant kiivyo..hapo hujapiga hesabu ya kuibiwa hata vyumba vikiwa full utaletewa i.em watu watano au 10 ndo walilala
 
Unatumia kigezo gani kuiuza hio nyumba milioni 200-300 yani ni jambo gani linalofanya uamue kuuza hivyo..
Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.
 
Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.
Kumbe unazungumzia ULAYA?
 
Mkuu kuna kitu haujui kwenye real estate business.., nayo ni Other Peoples Money.., pia kitu kinaitwa Property Ladder..

Moja hakuna mtu wala sio busara kujenga nyumba kwa cash au pesa yako.. (it takes long kwa return on investment)

Hivyo basi katika hii real estate.., mtu anakopa benki anajenga nyumba hata ikichukua miaka 20 kurudisha ile pesa, hajengi moja..., hio aliyoshajenga anaiombea mkopo benki anajenga nyingine na nyingine na nyingine hii miaka 20 inakuwa sio ya kupata pesa ya kula bali wapangaji ndio wanaomnunulia hizo nyumba.., after the end of 20 years anakuwa amejenga nyumba bila kutumia senti yake hata moja.. (thus other peoples money)... na property ladder unaanza na nyumba moja unakopa unajenga ya pili, tatu, nne n.k.

Cha maana ni Location, Location, Location na sio muda wa kumaliza hio investment.., Walijisemea wachina wote tungetaka kupata kivuli cha miti tunayopanda hakuna mtu angepanda mti..., 20 years in nothing if someone else is paying..

nakuacha na msemo mwingine "As Safe as a House..."
 
Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.
Mfumo wa housing wa nchi zilizoendelea ni tofauti na kwetu wazungu hua hawahangaiki na kununua nyumba wao wanafanya mambo mengine i.e kusave hela ili waende vacation
 
Back
Top Bottom