Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Ni vizuri mtu ujenge mahala pakuishi kwanza then uje na ujenzi wa nyumba za kupangisha...na tena nyumba za kupangisha iwe ni unajega ghorofa hata floor mbili tu ili uanze kukusanya haraka kodi, pia nyumba za kupangisha kama upo eneo ni zuri usitumie gharama kubwaa kujenga maana itakuchukua muda kurejesha,
Mi nadhani kama mtu unaamua kufanya biashara ya nyumba ya kupangisha,basi Ni lazima uachane na kujenga nyumba ya gharama,la sivyo hela yako haitarudi na mwishowe faida waje waitumie wanao.

Nyumba ya kupanga unajenga tu simple kwa material simple ila muhimu ni kupga finishing matata...hata kama ulitumia mbao za hovyo hazionekani..Matofali hata ukinunua used Fresh tu (nyumba ya kupanga hiyo) ilimradi kitu kiinuke.

Kusanya Kodi weka akiba mfukoni...Haya mambo ya kujenga nyumba za kupanga kwa sifa ili uonekane baba mwenye nyumba umetumia hela HUO NI UDUANZI na hiyo biashara hautoona matunda yake.
 
Ngwanakilala, Chukulia hyo 150 milioni ndio imeangukia kwenye long term return bness, utakuwa mpangaji milele? aisee ukiwa na kwako mambo mengi you can manage we jenga hyo hela uliyokuwa ulipe kodi invest it
 
Ndachuwa, Ukitaka kujua km Pesa ni Snitch, pata hizo mil 150 hlf puuzia kujenga nyumba ya kupangisha kwavile utachelewa kupata return yako hahaa uje kushtuka wakati unatafakari biashara ipi nzuri zaidi mwaka umeisha na mil zmebaki 50 [emoji3]

Hapo ndo utajua Pesa thamani yake ni hata kuangalia tu nyumba uliyijenga hata km haiingizi chochote.
 
Wahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani

Point ya msingi sana hii

Hili suala ni mtambuka sana na watu wengi bado uelewa wao ni mdogo nawa kizamani. Mtu anaeaminini katika kujenga nyumba ni mtu aliekua na mawazo sahihi zamani
 
Hii biashara inawafaa watu wenye mitaji mikubwa ambao wana focus kwenye long term plan....na sio kutegemea umeinvest leo return yake upate kesho big NO....all in all in other way round unaweza ukajenga ukapangangisha kisha ukakopa ...hiyo nyumba ukaweka kama dhamana fedha ya mkopo utakayopata ukamambo mengine....ku accerelate further investment ambazo sio real estate....

Mawazo yako ni mazuri na nimeyapenda kwa kizungu inaitwa think outside the box

Jenga nyumba na uipangishe
chukua hati ya nyumba ichukulie mkopo - zungusha hela ya mkopo
Kikubwa ujue utafanya nini kabla hujachukua huo mkopo -feasibility study na uwe focused usiingize mambo mengine yalioko nje ya mipango ya mkopo huo
 
Ukitaka kujua km Pesa ni Snitch, pata hizo mil 150 hlf puuzia kujenga nyumba ya kupangisha kwavile utachelewa kupata return yako hahaa uje kushtuka wakati unatafakari biashara ipi nzuri zaidi mwaka umeisha na mil zmebaki 50 [emoji3]
Hapo ndo utajua Pesa thamani yake ni hata kuangalia tu nyumba uliyijenga hata km haiingizi chochote.
Kwa hiyo TZS 150,000,000 ukiwekeza kwenye nyumba na ukawa unapata TZS 7,200,000 watoto wako wawili wana uhakika wa kusoma mpaka chuo kikuu bila bugtha ya kukwama ada hata kama Mungu atakuwa amekupenda zaidi
 
Kwa mfano kwa dar es salaam, Pale maeneo ya mlimani city njia ya kwenda chuo pembeni kuna nyumba zipo pale ni za ovyo ovyo yani chumba,sebule,jiko na choo na ndani kubovubovu tu lakini kodi ni laki3

Panaitwa Survey
 
Ukitaka kujua km Pesa ni Snitch, pata hizo mil 150 hlf puuzia kujenga nyumba ya kupangisha kwavile utachelewa kupata return yako hahaa uje kushtuka wakati unatafakari biashara ipi nzuri zaidi mwaka umeisha na mil zmebaki 50 [emoji3]
Hapo ndo utajua Pesa thamani yake ni hata kuangalia tu nyumba uliyijenga hata km haiingizi chochote.
Unaongea kama mlevi wa gongo. Eg. Pata 150m?? Tafakari biashara?? Nyumba za kupangisha??
 
Chukulia hyo 150 milioni ndio imeangukia kwenye long term return bness, utakuwa mpangaji milele? aisee ukiwa na kwako mambo mengi you can manage we jenga hyo hela uliyokuwa ulipe kodi invest it
250,000/Mwezi (kodi) utainvest nn?
 
Ni vizuri mtu ujenge mahala pakuishi kwanza then uje na ujenzi wa nyumba za kupangisha...na tena nyumba za kupangisha iwe ni unajega ghorofa hata floor mbili tu ili uanze kukusanya haraka kodi, pia nyumba za kupangisha kama upo eneo ni zuri usitumie gharama kubwaa kujenga maana itakuchukua muda kurejesha,
Nakubaliana na wewe mkuu au hata km utatumia gharama kubwa kujenga kwa lengo la kuipa thamani kubwa nyumba yako lakini iwe pale tu unapokuwa na pesa ya ziada siyo ukope benki ujenge nyumba ya kifahari zaidi. Itakucost
 
Kuna mmoja yeye ni dereva kwenye ubarozi wa nchi ya kibeberu flani. Amechukua mkopo milio 30,
Akanunua gari Subaru foresta nyingine akaanza kujengea saa hizi hiyo nyumba kaishia kupaua na hela naona imekata.
Makosa makubwa sana hayo
 
inategemea hiyo nyumba umeijengaje.. na umeijenga wapi...

kwa milioni 20 tu watu wanajenga nyumba na wanapangisha laki 5 .. hapo mchawi location tu..
The good location means price iko juu and vice versa labda kama ulirithi kiwanja Buguruni otherwise utanunua kiwanja bei mbaya Bunju,Mbweni huko hyo 20 m ndio bei ya plot
 
Ukijenga nyumba kwa million 150 na kuanza kukusanya kodi ya 600,00. Itakupa rental yield ya 4.8%, siyo nzuri saana, lakini haijambo.
Rental yield ya kuanzia 7% kwenda juu ni nzuri zaidi. Nyumba ni long-term investment. Wanaweza kuja kufaidi matunda watoto wako/wajukuu/vitukuu. Kila kitu ni timing. Hali ya real estate Tanzania kwa sasa ni tete sana.
Tete kwa maana ya...??? fafanua kdg
 
Unaishi dunia gani nyumba ya TZS 150 M kwa laki 6? acha uongo,halafu thamani ya nyumba ni tofauti na lori,thamani ya nyumba inaongezeka wakati thamani ya magari inashuka,tatizo Watanzania wengi hatutaki kuwekeza ,tunataka tuanze biashara na faida hapohapo hatuangalii mbele au miaka 10 ijayo,halafu unajiita mfanyabiashara.
Ukijenga nyumba ya 150m Magomeni Kagera utapata bei gani? Trust me kuna nyumba za zaidi ya 150m hapo Magomeni Kagera kama unaelekea kwa Mtogole. Watu wa real estate wanasema LOCATION,LOCATION,LOCATION.
 
... assume una vyumba 20 na kwamba vinakuwa full mwezi mzima unapiga almost 18m/- Now, chukulia 50% ni running cost, unabaki na 9m/- How can you compare this na 600K kwa the same period?
Assume vyumba vyote visijae (visipate wateja). Kodi na mishahara ya wafanyakazi ipo pale pale. Nani wa kwenda gesti siku hizi yaan mtu aache kunyetuka au akipata mwanamke wakamalizane kwenye kichochoro au kwenye gari akuletee 70,000/= hapo Namnani?
 
Ndachuwa,

Good Analysis, lakini real estate inachangamoto na ni kama kamari fulani kwa mtu ambaye huna mtaji mkubwa.

Rear estate kwa matajiri ni biashara nzuri na ni nzuri for the long term ya vizazi na vizazi lakini kwa mwezangu na mimi ambaye unahitaji kuwa na daily income ya kusustain maisha ya kila siku naiona kama ghost business.
 
Back
Top Bottom