mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Na hizi ndizo akili za mwafrica per se.nyumba za kupangisha inategemea na location, hakuna asset nzuri kama nyumba, siku umezeeka huna nguvu za kufanya kazi huku watoto wako hawaeleweki mara wengine wapiga debe, boda boda ndio utaona faida yake,