mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
uzuri wa nyumba ni Mali isiyohamishika na ina dumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii biashara inawafaa watu wenye mitaji mikubwa ambao wana focus kwenye long term plan....na sio kutegemea umeinvest leo return yake upate kesho big NO.Mimi huwa naamini kuwa real estate ni biashara kichaa
Mkuu nikupe taarifa waarabu na wahindi ndiyo wameikamata biashara ya real estate bongo. Usiangalie vijumba vya Mkurunga, nenda prime areas mikocheni, Posta, Upanga, Masaki e.t.c kuna ma apartment ya maana wameya shusha. Wao wanafanya seriously kwakua wana mitaji mikubwa. Kuna jengo lile refu ambalo linaichungulia Ikulu, mmiliki wa lile dude ana balaa kwenye real estate industry.Wahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani
Hoja yako nini hapa? Kwa sababu kuwa na bahati ya kupata eneo kama hilo ni bahati sana na inatokea kwa wachache mno!Kwa mfano kwa dar es salaam, Pale maeneo ya mlimani city njia ya kwenda chuo pembeni kuna nyumba zipo pale ni za ovyo ovyo yani chumba,sebule,jiko na choo na ndani kubovubovu tu lakini kodi ni laki3
wahindi hela zao za majini, usiwaigeWahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani
Mkuu naomba unielezee kwa Lugha Raisi, hapo! Nikitaka kuweka mpunga wangu kwa miezi mitatu faida inakua kiasi gani, hii chart hapa chini sijaielewa.View attachment 1208896
Kuna Mtanzania mweusi wa kujenga Apartments Mikocheni (ukiacha Kimei)?Mkuu nikupe taarifa waarabu na wahindi ndiyo wameikamata biashara ya real estate bongo. Usiangalie vijumba vya Mkurunga, nenda prime areas mikocheni, Posta, Upanga, Masaki e.t.c kuna ma apartment ya maana wameya shusha. Wao wanafanya seriously kwakua wana mitaji mikubwa. Kuna jengo lile refu ambalo linaichungulia Ikulu, mmiliki wa lile dude ana balaa kwenye real estate industry.
Hapa nimefaulu uwezekaji japo wankijinga ila ni,epiga bao miaka ya 2012 nilinunua shamba la miti eka 30 njombe ikiwa na miaka 4 wiki jana kwakweli nimepiga bao .... by then miliona kama ghali ila kilichonifanya ninunue nilikuwa sijapangilia nn chakufanya baada kupa mpunga flaninhivi na haikutosha kufanyia nilichopanga...... leo bei ya mti iko juu sana kwa sasa around 70000 hafi 100000Mfano umeweka mil 2 na tukitumia mfano interest ya 4.5% then itakua
2mili×3/12×4.5%(1-0.1)=Tsh. 20,450
Huo ndio mpunga utakaopewa mzee baba.
Kitunze tu kwanzaNimenunua plot Dar miaka 5 iliyopita sijajenga hadi leo nimejaribu kuuza bei iko chini ya nilichonunulia
Nimewaza kujenga naona gharama kubwa sana na hela zangu hazitarudi