mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hahahaha,kumbe umegundua mkuu.Wahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani
Mimi ndo nataka nijilipue hivyo mkuu daah...nataka outlander na nifanye ujenzi..biashara ipo lakini inasua sua nimeshaweka kama 10m kwenye biashara lakini mzunguko bado sio mkubwa unanishauri vipi hapo mkuu..?Kuna mmoja yeye ni dereva kwenye ubarozi wa nchi ya kibeberu flani. Amechukua mkopo milio 30,
Akanunua gari Subaru foresta nyingine akaanza kujengea saa hizi hiyo nyumba kaishia kupaua na hela naona imekata.
Unatumia kigezo gani kuiuza hio nyumba milioni 200-300 yani ni jambo gani linalofanya uamue kuuza hivyo..Tuseme baada ya miaka kumi umepata kiasi cha million 72. Je ukiamua kuiuza hiyo nyumba utapata kiasi gani? Million 200 au hata 300. Jumlisha na ile 72?
Thamani ya nyumba/ardhi huongezeka
Mkopo Hadi amalize ni miaka 5 au 6 atakuwa ameshapigwa gepu na watu wengi sana.Wala usimcheke na kumbeza ni hatua muhimu kwenye maisha hela isipopotea hutajua thamani yake na ndo shida ya elemu ya mtaaani au maisha kuipata gharama zake ninkubwa sana trust me iko siku utarudi hapa na kutueleza jamaaa wa subara kazishia mafumba ya hatare kbs
Mm nimeanguka mara 12 zote chali juzi nimefanya mahesabau nanwife 100m zemeenda biashara inachangamotk zake sanankwa hapa tanzania uliwa mkweli hupati faida kbsMimi ndo nataka nijilipue hivyo mkuu daah...nataka outlander na nifanye ujenzi..biashara ipo lakini inasua sua nimeshaweka kama 10m kwenye biashara lakini mzunguko bado sio mkubwa unanishauri vipi hapo mkuu..?
Waaambie, uzuri wa nyumba huonekana uzeeni pale ambapo unakula kodi bila purukushani yoyote.Unaishi dunia gani nyumba ya TZS 150 M kwa laki 6? acha uongo,halafu thamani ya nyumba ni tofauti na lori,thamani ya nyumba inaongezeka wakati thamani ya magari inashuka,tatizo Watanzania wengi hatutaki kuwekeza ,tunataka tuanze biashara na faida hapohapo hatuangalii mbele au miaka 10 ijayo,halafu unajiita mfanyabiashara.
Kuna jiraninyangu kagenga alinunua plot 75m ameweka nadhanimkiwango hicho au zaidi sasa anauza 370m tunapita kama hatuionaUnatumia kigezo gani kuiuza hio nyumba milioni 200-300 yani ni jambo gani linalofanya uamue kuuza hivyo..
KidogoNna hakika unaongea from experience of somesort
Hata Mimi nasaka mtaji niweke investment Kama hizo.Mkuu mm nimeamua ku-invest kwenye Career & biashara za vifaa vya ujenzi at least kila mwezi na-save 500,000/= kutoka kwenye mshahara pia nina Hardware Tegeta hata ikitokea lolote naweza ku-survive kwa kipindi kirefu. Sasa wewe jiloge ukajenge Msata kazi izingue utakula tiles
... contradiction! Ambako mji "umekomaa" kiwanja utakiweza Mkuu? Hiyo 150m/- kajaribu kuulizia kiwanja Mikocheni au Masaki uone kama utatoboa! Ndio maana wadau wanasema real estate business ni business ya matajiri!....usijenge nyumba ya kupangisha sehemu ambako mji ndio kwanza unaanza hiyo itakula kwako
Boss wangu anafanya real estate investment,yeye ananunua sehemu ambayo ahata akijenga godown ,lazima waje watu wenye pesa kupanga pale kama ni nyumba basi utaskia either ubalozi wamepanga pale
Mawazo ya vitabuni ( PhD Holders) haya. Nenda Masaki na Oysterbay uone Real Estate inavyochechemea. Mjini PPF House wapangaji hamnaReal Estate ndio sejta pekee duniani kote inayichangia KWA kiasi kikubwa ili nchi husika ionekane kuwa imeendelea. Unapofika ktk nchi yoyote ile indicator ya kwanza kukujukisha kuwa nchi husika imeendekea ni kuangalia maendeleo yake ktk delta hii ya real estate, e.g, ubora wa majengo, ukubwa wake mpangilio wake ktk ujenzi, n.k.
Tatizo kubwa ktk sekta hii ni kuwa, initial capital/cost for investment ni kubwa sana,hilo tu ndio tatizo lake.
Lakini ukiwekeza ktk sekta hii uhakika wa kupata returns ni mkubwa, tena ni investment ya milele, na risk yake ni ndogo ukilinganisha NA aina nyingine za investments.
Mkuu watu wa uswahilini hizi ndo akiliNa hizi ndizo akili za mwafrica per se.
Uzuri ni mtumishi ana makato ya mweziMakosa makubwa sana hayo
Biashara hua haipo hivyo hakuna biashara ya kusema mwezi mzima ninaweza kujaza vyumba viwe full sana sana utajaza nusu vyumba..robo etc biashara hua haipo constant kiivyo..hapo hujapiga hesabu ya kuibiwa hata vyumba vikiwa full utaletewa i.em watu watano au 10 ndo walilala... assume una vyumba 20 na kwamba vinakuwa full mwezi mzima unapiga almost 18m/- Now, chukulia 50% ni running cost, unabaki na 9m/- How can you compare this na 600K kwa the same period?
Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .Unatumia kigezo gani kuiuza hio nyumba milioni 200-300 yani ni jambo gani linalofanya uamue kuuza hivyo..
Kumbe unazungumzia ULAYA?Kama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.
Mfumo wa housing wa nchi zilizoendelea ni tofauti na kwetu wazungu hua hawahangaiki na kununua nyumba wao wanafanya mambo mengine i.e kusave hela ili waende vacationKama tayari kuna 72M, hata ikiuzwa 180M sioni ubaya. .
Ulaya mtu anakopa nyumba au apartment. Anakuwa analipa riba kwa miaka. Deni lake linabaki like lile. Value ikipanda, anauza na kulipa ile principal na faida juu.
Ile riba inakuwa kama kodi ya nyumba tu.