Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya poaMke wa pili hapana my friend.
Unajua maana ya laanaIn whatever situation, hata kama mama mkwe amekunyea kumpiga ni laana, its a curse..
Kama wameona hawapeani mimba basi kila mtu ashike njia yake, jibu litapatikana baada ya mwaka ni nani mwenye tatizo.
Kwa trend hii inaonekana shida IPO kwa Mwanaume.Ni shida sana hapo bado haijulikani shida lko kwa Mwanaume au Mwanamke, kupata Watoto/Mtoto ni majaliwa ya Mungu wazazi wanatakiwa kutambua hilo.
Shida ilianza wapi ujue ni pale mama alipopewa UNUNGU wao wanaonaga wao watukufu sanaIla mambo mengine yanakera jamani, kwani wazazi wakiacha kuhangaika na ndoa za watoto wao watapungukiwa nini? Vipi kama huyo bi dada ndio angekua mtoto wake angemuambia mkwe wake amuache mwanaye kisa hazai?
Na hapo ukute mwanaume ndio anashida.
Tatizo hutaki tukutane......Si ulisema wewe ni jirani yangu...mbona unaniuliza Tena[emoji15]