Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano ukiwa chumba cha mtihani😄Kila activity/quest inaenda per unit time, kama utafanya slow muda unakuacha kabla hujamaliza
Ila ukiwa Jela unaona kabisa kua Muda hauendi.Mfano ukiwa chumba cha mtihani😄
Siku moja unaona ni kama wiki daahIla ukiwa Jela unaona kabisa kua Muda hauendi.
Hewa ina kasoro,kuna hewa safi na hewa chafu,Air pollution.Hewa tunayovuta naona haina kasoro.
Hata uwe wapi hewa ipo na wewe
Aliamuru mti usio na matunda ukaukeYesu ana kasoro.
Aliwachia nguruwe wasio na kosa waangukie ziwani na kufa.
Angekuwa anaishi leo watu wa PETA (People for tje Ethical Treatment of Animals) wangemshitaki kwa ukatili wake dhidi ya wanyama.
Na hewa chafu inaleta magonjwaHewa ina kasoro,kuna hewa safi na hewa chafu,Air pollution.
Kasoro yako ipo kwenye uandishi wako.Mi Sina kasoro
Yesu anamapungufu pia maana njaa ilimshika piaHakuna kasoro katika kuokoka, kuamin ni Yesu Kristo aliyemwokozi wako, kuliamin jina na damu take.
Ni kasoro sana kumwamin Kristo bila kuokaka.
Ni kasoro kumwamin Yesu Kristo bila kuliamin jina na damu yake.
Happy dominika kwa wote
Sio ile ya chooniHewa tunayovuta naona haina kasoro.
Hata uwe wapi hewa ipo na wewe
Au ya dampoSio ile ya chooni
Like sio pungufu ni somo darasa!Yesu anamapungufu pia maana njaa ilimshika pia
Hio tayari ni kasoroAu ya dampo
Mbona mzee Musuguri ana miaka 100 anatembea bila fimbo ila mzee bujibuji miaka 65 mgongo umepindaUzee,
Kila mtu ambaye atapewa umri mrefu ni lazima uzee umfike,hilo halikwepeki.
Uzee ni umri kwenda,nilimaanisha kua umri hausimami,sikumaanisha kua Uzee ni ile hali ya kiafya baada ya umri kusogea.Mbona mzee Musuguri ana miaka 100 anatembea bila fimbo ila mzee bujibuji miaka 65 mgongo umepinda
Hakuna kitu kipo asilimia mia hapa duniani na hapo kuna siri kubwa.....Like sio pungufu ni somo darasa!
Usikate tamaa au kuivagaa dhambi kisa hujala siku mmoja au madaa 10
Umri/Age
Kadiri siku zinavyokwenda,na umri wako ndio unavyokwenda.
Hili swali halina uhusiano na kasoro ya kifo.Kikiondoa watu wote kwa pamoja nani atamsitiri mwenzake?