Alikuja kuishi kama mwanadam, ile hali ya uungu ndani yake haikuwepo.Hakuna kitu kipo asilimia mia hapa duniani na hapo kuna siri kubwa.....
Ndio mana Yesu alikula baada ya njaa kumshika kwahiyo kama angekamilika asinge hisi njaa hata kidogo au asinge hisi yale maumivu ya misumari kwenye ile movie
Mana hata MOVIE yenyewe inamapungufu πππ
Hewa ina kasoro ndiyo maana kuna air pollution na inapitisha virusi watu wanavaa mask.Hewa tunayovuta naona haina kasoro.
Hata uwe wapi hewa ipo na wewe
Wewe kunya tu ni kasoro tayari.Mi Sina kasoro
Labda lengo la kifo halikuwa kuua watu wote kwa pamoja since kila siku kila saa watu wapya wanazaliwa.Hili swali halina uhusiano na kasoro ya kifo.
Yani ni kama nakwambia hili bomu lina ufanisi wa kuua dunia nzima kwa sekunde moja.
Halafu wewe unaniukiza, likiua watu wote, nani atamzika mwenzake?
Hata watu wakishindwa kuzikana, hilo ni jambo tofauti ambalo halikanushi kwamba bomu limeua watu wote kwa pamoja.
Ndiyo kimeshindwa kufanya kazi yake kwa 100% efficiency hivyo.Labda lengo la kifo halikuwa kuua watu wote kwa pamoja since kila siku kila saa watu wapya wanazaliwa.
Kuna watu wanafariki punde tu wakizaliwaNdiyo kimeshindwa kufanya kazi yake kwa 100% efficiency hivyo.
Mara mtu anaumwa anapona.
Mara anapata bonge la ajali anapona.
Kingekuwa hakina kasoro kungekuwa hakuna mtu, wote tungekuwa tushakufa.
Kwa vile tupo, kina mapungufu, kinangojea tuzeeke tudhoofike ndiyo kinatuchukua wengine.
Mara unasikia kibibi kima miaka karibu 120 ndiyo kinakufa.
Hapo kifo kimezembea saana tu.
Tukiwa vijana wengi kinatushindwa.
Unasema nn??Hewa tunayovuta naona haina kasoro.
Hata uwe wapi hewa ipo na wewe
Sijawahi kuingia hukoUnasema nn??
Ushawahi kuingia mgodini?? Nenda machimboni huko ingia kwny mgodi wenye mita 100 horizontal afu urudi hapa useme "hata uwe wapi hewa ipo na ww"
HahaaaMuda nao unakimbia sana hio ni kasoro
Inapiga ban hata wasio na hatiaJamii Forum
Asante sana Guru KirangaJe, mapungufu yana upungufu katika upungufu wake? Kwa sababu mapungufu hayajakamilika?
Hivyo, je, kwa kuwa hayajakamilika katika kukamilika, yamekamilika katika upungufu wake?
Au, hayajakamilika hata kwenye upungufu, kwa kuwa yangekamilika kwenye upungufu yasingekuwapo na yasingejulikana kuwa ni mapungufu?
Ukifikiria sana utaona, kitu ambacho hakina mapungufu hakipo. Kipo, lakini, kuwapo kwake kuna maana hakipo.
Kitu hicho ni nothingness, nothingness ni kutokuwepo chochote, hata vacuum in space si nothingness, kwa sababu ina space. Nothingness yenyewe hata space haina. Haina space, haipo kwenye time. Haipo. Inafikirika tu.
Hiyo nothingness haipo. Kwa kuwa kuwapo kwake ni kutokuwapo.Ikiweza kuwapo nje ya hapo tu, inakuwa si nothingness tena.
Hiyo dhana ya nothingness, kinadharia, ndiyo haina makosa. Kwa sababu ina lowet entropy, hauwezi kupunguza entropy hapo. Huwezi kuharibu, ili uharibu, inabidi uitoe kwenye nothingness.
Hiyo nothingness ndiyo haina mapungufu.
Kitabu cha kusoma ni "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story" cha Jim Holt.
Huyu mtu hua amejikoki kubishana tu,Here just for Kiranga 's replies.
Uzee sio umri ila ni matokeo ya umri,umri ni matokeo ya muda(time)Uzee ni umri kwenda,nilimaanisha kua umri hausimami,sikumaanisha kua Uzee ni ile hali ya kiafya baada ya umri kusogea.
Ukiingiza dini kwenye mada za kisayansi utatupotezaMada nzuri sana.
Kwa upande wangu, Dunia Ina Kila aina ya Mapungufu kwa sababu ya Anguko la Adam na Hawa.
Kabla ya Anguko Dunia haikuwa na Mapungufu.
Kikubwa ni kumkiri Yesu kama Bwana na Mokozi wa Ulimwengu.
We amini tu hujachelewa.
Hautopongukiwa na chochote.