Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

Miaka ya nyuma nilienda kulala huko usiku Saa tano nikiwa ndani nikaambiwa usikooe we tulia kaa kimya, basi mapolisi wakawawanasukuma mlango waingie ndani wakashindwa walipoondoka nikaendelea kuchakata alfajiri nikawahi kuondoka toka siku hio sikuwahi na simu nikablock kabisa.
 
Kifua cha kahaba kimebeba laana na mikosi mbalimbali maana kwake ni SAwa na swimming pool unaingia na uchafu unaacha kisha unaondoka na uchafu baada ya kuoga.
 
Tukuyu for sale.jpg
 
Back
Top Bottom