To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂😂😂hatareePenye kuzirura sasa hapo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂hatareePenye kuzirura sasa hapo!!!
Ila kama ni mpango wa Mungu atatulia.Itakula kwako,kumtuliza MTU aliyezoea mikuyenge ya kila namna yahitaji moyo sana
Aisee,jamaa unaimani Kali kweli...daa❤Ila kama ni mpango wa Mungu atatulia.
Hamna kipya chini ya jua, wala hamna aliye mdhambi zaidi ya wengineAisee,jamaa unaimani Kali kweli...daa❤
Kutembeatembea au kuzubaazubaa kwenye chumba/eneo lisilo lako bila kutoa maelezo shawishi kuhusu uwepo wako huo ni purely uzurulaji.Bila kujali muda.Halafu,kuna muendelezo,muongozo na ushahidi wa kimazingira utakupunyua tu.Haiwezekani uelezee watu wazima kwamba ulienda kununua bamia kwenye duka la vipuri vya magari.Utaleta some laughters.Teh teh!❤afu eti ule kondoo wako kweli? Waambie wajibu swali ipasavyo....kwamba je,MTU anaweza zurura chumbani kweli?
😂😂😂tulia weweKutembeatembea au kuzubaazubaa kwenye chumba/eneo lisilo lako bila kutoa maelezo shawishi kuhusu uwepo wako huo ni purely uzurulaji.Bila kujali muda.Halafu,kuna muendelezo,muongozo na ushahidi wa kimazingira utakupunyua tu.Haiwezekani uelezee watu wazima kwamba ulienda kununua bamia kwenye duka la vipuri vya magari.Utaleta some laughters.Teh teh!
Hakika👊Hamna kipya chini ya jua, wala hamna aliye mdhambi zaidi ya wengine
Nani kawahi kufungwa kwa namna hiyo? Malaya wanafungwa ni wale wanaojiuza mabarabarani, wale wenye mageto yao labda wakamatwe wakiwa nje. Nao hawafungwi kwa kosa la ukahaba, ila uzururajiKutembeatembea au kuzubaazubaa kwenye chumba/eneo lisilo lako bila kutoa maelezo shawishi kuhusu uwepo wako huo ni purely uzurulaji.Bila kujali muda.Halafu,kuna muendelezo,muongozo na ushahidi wa kimazingira utakupunyua tu.Haiwezekani uelezee watu wazima kwamba ulienda kununua bamia kwenye duka la vipuri vya magari.Utaleta some laughters.Teh teh!
Mbona nimetulia paleee!Niite bush-lawyer!😂😂😂😂😂😂tulia wewe
Umetisha Bush lawyerMbona nimetulia paleee!Niite bush-lawyer!😂😂😂
Anaweza.Na mke bila kuwa kahaba kwa mumewe hanogi.😂😂😂😂Je kahaba hawezi kuwa mke?
Vitu vingine havipo kwenye sheria ila ni kosaNi kosa kwa mujibu wa sheria ipi?
Barikiwa
Kwani kakutwa guest?Yeah polisi watatoa ushahidi gani? Kosa la uzururaji? Mtu kalipia chumba gesti anawezaje kuzurura ndani ya chumba?
Mimi nikiwa kama wakili wake nitawauliza polisi tafsiri ya uzururaji ninini
Mke mlokoleAnaweza.Na mke bila kuwa kahaba kwa mumewe hanogi.😂😂😂😂
Kosa hilo ambalo haliko kisheria, adhabu zake zinatolewa vipi?Vitu vingine havipo kwenye sheria ila ni kosa
Ndiyo.Akiwa na mumewe faraghani anajiwehusha kidogo kikahaba ili mumewe asikodoe macho nje ya ndoa.Awe lihuni chumbani tu kwa mumewe.Mke mlokole
Mke analala nansuruali ya jinzi yuko kwenye mfungoNdiyo.Akiwa na mumewe faraghani anajiwehusha kidogo kikahaba ili mumewe asikodoe macho nje ya ndoa.Awe lihuni chumbani tu kwa mumewe.