Tatabhyala
Member
- Aug 16, 2015
- 43
- 11
Safi
sana kiongozi nimekukubali
Haina shida ila muhimu ujue kwa nini yuko single na ana mtoto?
Ama alikuwa macho juu juu akapigwa kitu shuleni
Ama alikuwa waya mkali kitaa akatumia papuchi ili mkono uende kinywani
Ama anapenda sana hii kitu hii/ yaani ndio furaha yake
Lakini kubwa zaidi kupata mimba ina maana alitoa mnofu yaani hakujali. Sasa vipi ndani ya ndoa asije kumpa mnofu muuza samaki, msugua kucha, muuza genge, dereva bodaboda..... Kwani wanawake wana akili basi!?
sana kiongozi nimekukubali