MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,065
Michi you [emoji6]ya nini ung'ang'anie koloni la mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michi you [emoji6]ya nini ung'ang'anie koloni la mtu?
Bro asante sana,kwa ushauri wako,na kusema ukweli sijawahi kuona upendo wa dhati kama ninavyouona kwa huyu dada,ki ukweli namuheshimu mno na hii inatokana na nidhamu yake.Kaka kama unaona mwenye Mtoto shidaaa Fanta Jitihada Muoe Mwema Sepetu hana miimba wala Mtoto Wa kusingizia..mtaanza fresh...Si m nataka mdanganywe Eti mnaenda kwa wasio Na Watoto kumbeee ni wauaji Wa kuubwa wameuaa viumbe..bora mkweli Na mwenye hofu ya kutokuua kumbe akazaa..wanaotoaa?? Hata kawaoeni haoo Pasua Vichwa.Mi Nina ushahidi tena mkubwa..MTU kaka ninyi fresh yaani hakuzaa kabla ila Miimba iikawa haishikii..kuzungukaaa Ma hospital Kizazi kiliharibiwa kwa kuchoropoaa so amekua amepoteza muda Na Pesa...Kurudi nyuma haoo wanasema usioe mwanamke mwenye Mtoto ukiwachunguza saana Wao ndoo waliozalisha wakiwa mashuleni ma chuoni mtaani ..halafu wakasema..Leo hii Wa nakuja humu Eti msioe mwenye watoto...Huoo ni UCHAWI Wa mchana kweupe....Ivi tuseme ukweli ninyi baadhi yenu hamjalelewa Na single mothers Baada ya Baba Zenuu msiowajua kuwakimbiaa mama zetu wakajifunga mikanda mkiwa mmebebwa migongoni wakauza matunda wakauza maandazi mihogo kichwani mkafika nlipo Leo??ni kipindi Hasa kinachowasukuma Kuna Hapa kusema those nonsense! You Boy..wherever you are respect Single mothers!!!
miss u tooMichi you [emoji6]
hii ni kama watu huwa wanasahauSasa kama baba alitelekeza mimba mpaka mtoto,hapo kutakuwa na mawaailiano kweli??????
usijaribu,Jamani mimi ni kijana na nina ndoto ya kuja kuwa na familia,lakini ninachojiuliza ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto.
ni afadhali hao vichomi kuliko kuchukua mke wa mtu live,atakapo mtaka atajipigia tuLakini pia hawa ambao hawajazaa ni vichomi mbaya.
Usimpotoshe mwenzio si kila mwenye mtoto anashida ya kulelewa mtoto wake.uwe tayali kulea, ukipenda boga penda na ua lake
Duuu Hana watoto wangapi huyo single mama mkuu.Kuna jamaang leo kaenda kujitambulisha huko nyumbani kwa single mama.
Sijaelewa!!!!!!!! Picha inauhusiana gani na madaSiyo kosa!
View attachment 2286246
Haha Jua lisha zamaDuuu Hana watoto wangapi huyo single mama mkuu.
Duuh mwamba ana roho ngumuKuna jamaang leo kaenda kujitambulisha huko nyumbani kwa single mama.