Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
K
Mzee wacha akae ale na pasaka huko naona alidhani anawatu huwezi kwenda kwenye mitandao ukashutumu idara ya usalama na Raisi hadharani kwa rushwa bila kuwa na uthibitisho, eti nimeambiwa na mwana usalama mmoja halafu uachwe salama. Mzee mnafiki ni huyu huyu alimchongea Mbowe kwa JPM akatiwa ndani na siku alihojiwa akasema mahakama iachwe kufanya maamuzi. Sasa unafiki umefika mwisho wako wapi wafuasi wake wa kwenye mitandao? serikali ikitaka inakujia tu....akitoka hakumbuki hata nyumba yake ipo wapi.....
karma
 
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Timing, situation, circumstances na hata influence ni tofauti. Acha kufananisha vitu visivyoelekeana.
That old man since he became Jiwe's stooge sitomuamini tena na sielewi ex-chawa wa Mwendakuzimu anauhusiano gani na harakati, ni opportunist aliyekubuhu hivyo apambane na hali yake.
Duh
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.

Muache aendelee kusota kwa maana amechagua kuishi maisha ya kujitoa ufahamu
 
Si mapya haya. Seif Sharifu alisota jela kwa miaka kwa mashitaka ya uhaini. Uchunguzi ulikuwa haukamiliki. Mahakama ya rufaa haikutoa maamuzi, kilichoendelea ni kupigwa kalenda tu.

Baada ya watawala kuamuwa kuwa imetosha wakaondosha kesi mahakamani. Hapo ndiyo Mahakama ya Rufaa ikaja na hukumu kwa hakuwezi kuwa na kesi ya uhaini Zanzibar kwa sababu si nchi,
 
Dr Slaa kisiasa amechuja,hana madhala,wala hana wafuasi wa kutisha.
Mwachie huru na ikiwezekana ajifungie kwenye nyumba za watawa (Convent) kwani uraiani pamemshinda.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nenda mahakamani kawaulize unaniuliza mimi
Nimekuuliza wewe baada ya kauli yako "atakaa ndani hadi maji aite.." ndio nimekuuliza hiyo ndio new order of the day kwamba watu watakaa rumande kukomolewa ilhali kosa lina dhamana?
 
Kwa jibu langu la mitaani tunamshikisha adabu akitoka hapo ataamkia watoto shikamoo
Adabu kwa kosa gani, mnamshikisha adabu kwa kosa ambalo bado lina dhamana na bado mahakama ilidai bado uchunguzi haujakamilika na mtu anashikiliwa kwa kosa lenye dhamana, akili za wapi hizo?

Nenda Kenya hapo ujifunze standards za kimahakama.
 
Slaa si ndo alisema anachukia watu wakisema Mbowe sio Gaidi? Mwache asoteshwe aisee.... huyo mzee ana roho mbaya na mropokaji mno. Angeweza kuuchuna tu ila sio kuchukia watu walivyokuwa wakimtetea Mbowe.
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Manasara lazima mjue kuwa nyinyi ni makafiri sehemu yenu ni jela tu ...sisi waisiharamu hatutaki mchezo na manasara kwetu uzalendo ni mavii na mzalendo ni adui
 
Back
Top Bottom