Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee huwa huna hoja ya maana, kuna shoga alikupurura pesa na kizibo hakukupa why so uko bitter kwao. PoleeeeeBila viboko kutakua na ongezeko kubwa la mashoga mtoto lazima aonywe kwa fimbo kiasi
Mchanga wanabeba mabasha zao, mbona mna wivu kwa mashoga?Mtoto achapwe
Ndio maana IDADI ya watoto mashoga wanaongezeka!
Huwezi kukuta shoga mbeba mchanga
Ni wewe ndo umekula hela zanguWee huwa huna hoja ya maana, kuna shoga alikupurura pesa na kizibo hakukupa why so uko bitter kwao. Poleeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Serikali ndiyo chanzo /kisababishi no.1 cha kuporomoka kwa maadili hapa nchini.Kuna changamoto katika uekelezaji wa utoaji wa adhabu mashuleni, kwa mfano sheria inamtaka kabla mwalimu hajatoa adhabu, lazima apate kibali kutoka kwa mkuu wa shule, lakini pia na idadi ya viboko anayotakiwa kuchapwa mwanafunzi ni viboko vinne.
Lakini kuna baadhi ya walimu wachache hawafuati taratibu hizo, naiomba Serikali itoe tamko rasmi kwa walimu wote nchini juu ya wao kufuata sheria za utoaji adhabu kwa wanafunzi
[emoji23][emoji23][emoji23] em sema kwelii.Ni wewe ndo umekula hela zangu
Hii ndio product na akili ya mtu aliyechapwa viboko na kuwa treated kama ng'ombe asiyejitambua. Unatema pumba bila kujitambua!Watoto wafundishwe ukakamavu mashuleni na swala la Lishe bora mashuleni Serikali iwajibike pia Michezo irudi kama zamani.
Mboko kuchimba mashimo kama kawa! Wale Walimu wavaa KOMBATI mashuleni warudishwe.
Fedha za mavietii zimwagwe Wizara ya Elimu kuongeza bajeti ya Elimu. Walimu waheshimike kama zama za Mwalimu.
Kibaha Elimu SUPPLY irudi kama zama za Mchonga.
Well, kitu kizuri ni mtoto wa Tanzania hajanyimwa fimbo! Je mpaka leo mtoto wa Tanzania na nchi imefaidika vipi na matumizi ya viboko?Mtoto wa Tz akinyimwa fimbo ni bomu.
Hiyo kazi waachie walimu wa discipline wao ndio wanajua namna ya kudeal na matoto matukutu hadi yanakuja kunyooka.Mboko zikizidi sana kwa mtoto husababisha hofu, kutojiamini, Usugu/ununda kwa mtoto. Mboko iwe kiasi, mzazi usichoke kusema na mtoto mfanye kuwa rafiki. Unapomchapa sana utatengeneza kiambaza baina yako na yeye.