a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
1)walianza mambo ya women empowerment kutetea haki za usawa wa kijinsia ,kuwawezesha wanawake ,feminism..mfumo JIKE .matokeo yake tumeyaona.
2)sasa wapo wameingia ten na huku kutetea haki za watoto wasichapwe walelewe KILELEMAMA kimayai mayai...matokeo yake tutayapata soon or later.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
2)sasa wapo wameingia ten na huku kutetea haki za watoto wasichapwe walelewe KILELEMAMA kimayai mayai...matokeo yake tutayapata soon or later.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.