Je, ni Kweli Bunge letu ni Dhaifu na Kibogoyo?

Je, ni Kweli Bunge letu ni Dhaifu na Kibogoyo?

Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?

Paskali
Je, liwe dhaifu mara ngapi??????
 
Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?

Paskali
Sio kitu ya kuuliza mara mbili!!
 
Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?

Paskali

Duuuh La General anaitwa soon na 2CRY.
 
Mnadhani hii ni nchi yenu peke yenu. Akiingia raisi muislamu choko choko haziishi.
Badilikeni
Mwaka 2010 raisi kikwete alipata shida kuchaguliwa mhula wa pili kwasbb ya tuhuma na kampaini ambazo ziliendeshwa na kanisa katoliki, wote walitaka dr slaa apite ila walishindwa na mara hi tena mtashindwa tena.
 
Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Kulwa jilala nakukemea roho chafu ya udini na ukabila ikutoke!!!
 
Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?

Paskali
Even Prof. Assad was right ✔️
 
Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?

Paskal
Bunge la hovyo kuwahi kutokea duniani
 
Ila JPM alituona fala sana yaan tunatumia mabilioni ya uchaguzi kumbe kajifungia chumbani na wahuni wachache wanaamua nani awe mbunge na nani awe diwani. Kwa ambayo Huwa mnamsifu hebu oneni aibu jmn
 
Wanabodi

Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.

Kwa vile mjadala huu uko live online,

nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?

Jenerali Ulimwengu alimalizia kwa kumpongeza Rais Samia, akifanya vizuri tumpogeze, akikosea tumkosoe, ila pia amempa angalizo Rais Samia, akemee wanaojiita chawa wa Mama, haipendezi Rais Wetu kuwa na chawa!.

Paskali
HAKUNA BUNGE kuna Wajumbe wa CCM ndani ya Majengo ya BUNGE huwezi kuwa na Bunge linalitumia Akili sheria kanuni na utaratibu za Chama
 
Bunge sehemu ya kuhoji serikali wanafanya kazi za mawaziri? Siku ile mawaziri walifanya kazi gani? Walihojiwa nini kuhusu mkataba wa bandari zaidi ya hotuba za kimkakati na mipasho?

Lazima tuwe na bunge tutaloliamini linaweza kuhoji serikali sio kutwa kuisifu serikali.
 
CCM ndio Dhaifu sana. DP world wapewe CCM waiendeshe kwa manufaa ya wanaccm wenyewe ila sio bandari zetu
Mkuu Akasankara , tujifunze kujadili hoja iliyopo mezani, kwa kujifunza kutenganisha CCM na Bunge, letu au CCM na serikali yetu, hata kama serikali ni serikali ya CCM na Bunge ni Bunge la CCM predominantly.

Japo CCM ndicho chama tawala, kinachoendesha serikali, CCM sio serikali!.
Japo CCM ndio chama tawala kinacholimiliki Bunge letu kwa kuwa na wabunge wengi, lakini CCM sio Bunge!.

Hapa tumelizungumzia Bunge letu Tukufu, hatuzungumzii CCM!.
P
 
Back
Top Bottom