Duu, binadamu baba! Mwenzako kasema waislamu ni dhaifu umemjibu ni comment mbaya, ila wewe unamuita mtu mzima kichaa iwe sawa!No Bunge letu kama Bunge, halikuwahi kuning'ata bali ni yule kichaa!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu, binadamu baba! Mwenzako kasema waislamu ni dhaifu umemjibu ni comment mbaya, ila wewe unamuita mtu mzima kichaa iwe sawa!No Bunge letu kama Bunge, halikuwahi kuning'ata bali ni yule kichaa!.
P
Una HAKIKA hao 250 Wana mikia?Yes hii sio rocket science, bunge la ccm ni kibogoyo, former president Magufuli aliweza to silence bunge zima,mtu mmoja anawafanya wabunge zaidi ya 250 kufwiata mikia yao
Mikia yao ilikatwa labda imeanza kuota upya sasa, they get their voices backUna HAKIKA hao 250 Wana mikia?
2025 iwe mwisho wa kutengeneza taasisi ya kihuni kama hiiHiyo Taasisi Njaa tupu hao hao wameandika kitabu cha kumkashifu Magufuli.
Wako upande wa serikali tunahitaji taasisi huru kujadili haya mambo
Ninavyofahamu Tanzania hutuna bunge kwa sasa.Wanabodi
Niko hapa ukumbi wa hoteli ya Serena, jinini Dar es Salaam, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai, ulioandaliwa na taasisi mpya kabisa ya habari inayoitwa MB (Media Brains), inayoundwa na Manguli wabobezi na wabobevu wa habari nchini Tanzania, Jesse Kwayu, Absalom Kibanda, Dennis Msaki na Neville Meena.
Kwenye mjadala huo, Bunge letu tukufu, limeelezwa kuwa ni Bunge dhaifu, na Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu,
Na kwa vile mjadala huu ulikuwa live online, unaweza kuufuatilia hapa
Natumaini unaweza kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo, swali langu ninalo uliza hapa ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu na Bunge kibogoyo?. Hoja za Jenerali Ulimwengu zina ukweli wowote?.
Jenerali Ulimwengu alimalizia kwa kumpongeza Rais Samia kwa mambo mazuri anayoyafanya na kusisitiza, Rais Samia akifanya vizuri tumpogeze, akikosea tumkosoe, ila pia amempa angalizo Rais Samia, akemee wanaojiita chawa wa Mama, haipendezi Rais Wetu kuwa na chawa!.
Paskali
Mkuu Kisamv , mnachohitaji ni kuelimishwa tuu kuhusu mikataba, hakuna mkataba wa milele hapa duniani!.Pascal Mayalla
Ungana na wananchi wenyewe kupinga kubinafisishwa bandari zetu kwa mkataba wa milele
Achana na kina msukuma
Mkuu lugano27 , kuita Waislamu ni dhaifu ni unfair generalization, lakini kama mtu kweli ni kichaa, kumuita kichaa sio kumtukana!, tena the reality, tuna vichaa wengi kuliko tunavyojitambua Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?Duu, binadamu baba! Mwenzako kasema waislamu ni dhaifu umemjibu ni comment mbaya, ila wewe unamuita mtu mzima kichaa iwe sawa!
ndiyo sababu nikasema "tuanzie hapo". Nawe umeanza vizuri....Mimi na wewe tujiulize.....wabunge hawa wanaounda bunge la sasa ni wabunge waliochaguliwa na wananchi kwa uhalali, kwa kura isiyo na mizengwe? Wao wenyewe wana ujasiri wa kutokea wakajigamba kuwa walichaguliwa na wananchi kwa 100% na hawakupata ubunge kwa nguvu ya dola au nguvu na utashi wa rais wa wakati ule? Je mbunge anayepatikana namna hiyo, yuko bungeni kutetea maslahi ya nani...aliyemuweka au mwananchi?Mkuu Utingo , huku kuuliza kama tuna Bunge ni kuuliza gani wakati ni ukweli tuna Bunge?, lipo, tunaliona, linakutana, unapouliza kama tuna Bunge, unamaanisha nini?
P
Humu ndani tuna two types of people, wishful thinkers na realists, wishful thinkers wao kazi yao ni ku wish tuu, hata kitu kiwepo physically na wanakiona kwa macho yao, wataji please hakipo!. Ma realist ni watu wanaukubali ukweli, hata kama hukubaliani nao ni ukweli na upo.ndiyo sababu nikasema "tuanzie hapo". Nawe umeanza vizuri....Mimi na wewe tujiulize.....wabunge hawa wanaounda bunge la sasa ni wabunge waliochaguliwa na wananchi kwa uhalali, kwa kura isiyo na mizengwe? Wao wenyewe wana ujasiri wa kutokea wakajigamba kuwa walichaguliwa na wananchi kwa 100% na hawakupata ubunge kwa nguvu ya dola au nguvu na utashi wa rais wa wakati ule? Je mbunge anayepatikana namna hiyo, yuko bungeni kutetea maslahi ya nani...aliyemuweka au mwananchi?
you are very very wrong. idealists ndiyo ninyi mnaoshabikia hilo bunge lililopatikana kwa mizengwe na dhuluma kubwa. na ccm wengi ni idealists mabingwa wa propaganda tu. you are always afraid of reality and truth.Humu ndani tuna two types of people, wishful thinkers na realists, wishful thinkers wao kazi yao ni ku wish tuu, hata kitu kiwepo physically na wanakiona kwa macho yao, wataji please hakipo!. Ma realist ni watu wanaukubali ukweli, hata kama hukubaliani nao ni ukweli na upo.
Bunge lipo, lina exist in reality, huwezi kuuliza kama Bunge lipo!.
P
Mkuu Pascal asante kwa kueleza kuwa kichaa sio lazima aokote makopo ( kwa maana hiyo tuna wabunge wengi ambao ni vichaa!). Sasa kama hawaokoti makopo na ni vichaa hapo tunakuwa wishful thinkers au realists? Kwa mtizamo huo huo ni sawa nikisema bunge halipo ( kimaumbile lipo ila kiutendaji kwa mujibu ya katiba halitekelezi hivyo ni sawa na kusema halipo). Bunge linapokuwa ni rubber stamp ya serikali, mtu akisema hatuna bunge kwanini tuone hayupo sawa?Humu ndani tuna two types of people, wishful thinkers na realists, wishful thinkers wao kazi yao ni ku wish tuu, hata kitu kiwepo physically na wanakiona kwa macho yao, wataji please hakipo!. Ma realist ni watu wanaukubali ukweli, hata kama hukubaliani nao ni ukweli na upo.
Bunge lipo, lina exist in reality, huwezi kuuliza kama Bunge lipo!.
P
Absolute true. Kwa realist gani akubali kuwa bunge hili lililopeleka wabunge Dubai kuona hao DPW walivyo linafanya hayo kwa maslahi ya watanzania ambao mpaka sasa wengi wameonyesha kutokubaliana na hilo? Pascal huwa namuona ni aina ya watu watakao wanaposema jambo basi lazima uingie kwenye ufahamu wake, haoni kuishi hivyo ni ideal tu maana haiwezekani!you are very very wrong. idealists ndiyo ninyi mnaoshabikia hilo bunge lililopatikana kwa mizengwe na dhuluma kubwa. na ccm wengi ni idealists mabingwa wa propaganda tu. you are always afraid of reality and truth.
Ni kama sasa kwa mfano (ni mfano tu) ccm wengi hawakubali kuwa kuna mambo ya kurekebishwa kwenye mkataba wa bandari ili uendane hata na sheria zetu-because they are just idealists kila kitu wanameza tu to please their idealistic mentality. But realists wanaona miaka mingi ijayo mkataba huu usipofanyiwa marekebisho unaweza kuleta shida za kufikishana hata kwenye vyombo vya usuluhishi na ukadumaza hata utendaji wa bandari kuliko ilivyo hivi sasa.
Realists always stands on the truth, purity and sustainability unlike idealists who stand on deception and they always don't care about the future as long as their short term agenda is met.