John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Je, liwe dhaifu mara ngapi??????Wanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?
Paskali
Sio kitu ya kuuliza mara mbili!!Wanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?
Paskali
Wanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi Bunge letu?
Paskali
Mbona Israel wameingiza dini na wameshinda?Mkuingiza dini hamta shinda vita za kidini pambania hoja za bandari muache dini, hi nchi itagawanyika vipande, waislamu kuka kimya sio kwamba hawaoni kampaini inayo pitishwa makanisani.
Mwaka 2010 raisi kikwete alipata shida kuchaguliwa mhula wa pili kwasbb ya tuhuma na kampaini ambazo ziliendeshwa na kanisa katoliki, wote walitaka dr slaa apite ila walishindwa na mara hi tena mtashindwa tena.Mnadhani hii ni nchi yenu peke yenu. Akiingia raisi muislamu choko choko haziishi.
Badilikeni
Kulwa jilala nakukemea roho chafu ya udini na ukabila ikutoke!!!Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Thubutu 🤣🤣🤣 anaanzaje kwa mfano!!Pascal Mayalla
Ungana na wananchi wenyewe kupinga kubinafisishwa bandari zetu kwa mkataba wa milele
Achana na kina msukuma
Even Prof. Assad was right ✔️Wanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?
Paskali
Bunge la hovyo kuwahi kutokea dunianiWanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online, nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?
Paskal
Kuna bunge la Magufuli sio la wananchi, kafa kizembe huku akituachia bomu la bi tozohivi tz kuna bunge?....tuanzie hapo
we msenge mmoja.waislamu ni dhaifu iko hivyo yani mambo yao ni mdembwedo tu bora liende ndio mana awamu zao zinakuwa hazieleweki
Kumkosa Mtu kama huyu halafu badala yake anakwenda Babu Tale ni matusi.Bwege aliwaita Mbumbumbu
HAKUNA BUNGE kuna Wajumbe wa CCM ndani ya Majengo ya BUNGE huwezi kuwa na Bunge linalitumia Akili sheria kanuni na utaratibu za ChamaWanabodi
Niko hapa Serena, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai. Bunge letu tukufu, limeelezwa ni Bunge dhaifu, na pia ni Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu, swali langu ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu?. Je ni kweli Bunge letu ni Bunge kibogoyo?.
Kwa vile mjadala huu uko live online,
nakutafutia video ili uweze kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo?
Jenerali Ulimwengu alimalizia kwa kumpongeza Rais Samia, akifanya vizuri tumpogeze, akikosea tumkosoe, ila pia amempa angalizo Rais Samia, akemee wanaojiita chawa wa Mama, haipendezi Rais Wetu kuwa na chawa!.
Paskali
Mkuu Akasankara , tujifunze kujadili hoja iliyopo mezani, kwa kujifunza kutenganisha CCM na Bunge, letu au CCM na serikali yetu, hata kama serikali ni serikali ya CCM na Bunge ni Bunge la CCM predominantly.CCM ndio Dhaifu sana. DP world wapewe CCM waiendeshe kwa manufaa ya wanaccm wenyewe ila sio bandari zetu